MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,262
- 1,220
Wadau naomba kujua kwanini waliokufa kwa ajali ya ndege huko Bukoba jana, mazishi yao yanagharamiwa na Serikali. Mbona wanaokufa na treni, mabasi, boti hayagharamiwagi na Serikali?
Mwenye ujuzi atujuze...
Mwenye ujuzi atujuze...