BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Mwenye kujua hili naomba anielimishe, ukipata kamisheni ya milioni 1 unakatwa laki moja. Hilo ni zoezi la kila mwezi, hii ni sahihi? Wakati huo TRA ulipe kodi, manispaa ulipe tena kodi.
Huu siyo unyonyaji kweli? Na hawa mawakala kwa nini wametulia tu au ni kutokujielewa?
Huu siyo unyonyaji kweli? Na hawa mawakala kwa nini wametulia tu au ni kutokujielewa?