Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 5,752
- 10,523
Nchi ya marekani kila siku imekuwa ikihituhumu China kuhusu changamoto ya fentanly na matumizi yake ndani ya nchi ya marekani.
Marekani mara kadhaa inasema China ina zalisha kwa wingi na kupenyeza fentanly ndani ya marekani ili watu wake waathirike na waharibikiwe.
Sasa kupitia malalamiko hayo nayo nchi ya Venezuela chini ya Maduro inekubwa na malalamiko kama hayo toka kwa marekani.
Venezuela inalalamikiwa ni kiwanda cha madawa ya kulevya na serikali ya gang la madawa ya kulevya na marekani imeendesha operation kadhaa wakidai kudhiti usafishwaji wa madawa ya kulevya kwa njia ya boti ndogo ndogo juzi hapo wameripua both kadhaa.
Na kwa sasa marekani inatishia kuivamia Venezuela kijeshi ili kwenda kudhibiti madawa ya kulevya na kwenda kufanya regime change Venezuela kuiondosha serikali ya gang la madawa ya kulevya ya bwana Maduro.
Kwa nini huyu Marekani asiende South China Sea na kuendesha operation kadhaa za kulipua usafirishwaji wa fentanly kuelekea Marekani ? Na pia asijiandae kabisa kufanya regime change Beijing na kuiondosha serikali ile ya wakomunisti gang la kusafirisha fentanly Marekani ili watu wake wawe salama kama anachotaka kufanya Venezuela ?
Marekani mara kadhaa inasema China ina zalisha kwa wingi na kupenyeza fentanly ndani ya marekani ili watu wake waathirike na waharibikiwe.
Sasa kupitia malalamiko hayo nayo nchi ya Venezuela chini ya Maduro inekubwa na malalamiko kama hayo toka kwa marekani.
Venezuela inalalamikiwa ni kiwanda cha madawa ya kulevya na serikali ya gang la madawa ya kulevya na marekani imeendesha operation kadhaa wakidai kudhiti usafishwaji wa madawa ya kulevya kwa njia ya boti ndogo ndogo juzi hapo wameripua both kadhaa.
Na kwa sasa marekani inatishia kuivamia Venezuela kijeshi ili kwenda kudhibiti madawa ya kulevya na kwenda kufanya regime change Venezuela kuiondosha serikali ya gang la madawa ya kulevya ya bwana Maduro.
Kwa nini huyu Marekani asiende South China Sea na kuendesha operation kadhaa za kulipua usafirishwaji wa fentanly kuelekea Marekani ? Na pia asijiandae kabisa kufanya regime change Beijing na kuiondosha serikali ile ya wakomunisti gang la kusafirisha fentanly Marekani ili watu wake wawe salama kama anachotaka kufanya Venezuela ?