GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Hivi kuna mwana JamiiForums aliyepigwa Bakora za 'Kishalubela' na kupewa Adhabu Kali kuanzia Shuleni na hadi Kitaani kama Mimi?
Ni kwanini Watoto wengi wa Kiafrika (hasa Kitanzania) tunakuzwa zaidi kwa Fimbo (Bakora) na Adhabu Kali ndipo tunanyooka na kuwa na 'Maadili' tofauti na Watoto wa Kizungu?
Leo nitakuwa Msomaji tu zaidi wa 'Comments' zenu hapa huku nikikumbuka Bakora nilizolambwa na Adhabu Kali nilizopewa nikiwa Mtoto ili ninyooke na hakika zimeninyoosha hasa.
Ni kwanini Watoto wengi wa Kiafrika (hasa Kitanzania) tunakuzwa zaidi kwa Fimbo (Bakora) na Adhabu Kali ndipo tunanyooka na kuwa na 'Maadili' tofauti na Watoto wa Kizungu?
Leo nitakuwa Msomaji tu zaidi wa 'Comments' zenu hapa huku nikikumbuka Bakora nilizolambwa na Adhabu Kali nilizopewa nikiwa Mtoto ili ninyooke na hakika zimeninyoosha hasa.