Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
- Thread starter
- #41
iyo simbank umelazimishwa kutumia?
Wanawake wa dizaini yako mna gubu sana
iyo simbank umelazimishwa kutumia?
Mimi siku hiz nasave equity bank hawana makato kabisa.. Hata baada ya mwaka hela yako ni ile ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na Simbanking....
Ni Ujambazi...
Hili swali lako linaonyesha how poyoyo you are.
Kwani Sim banking haijaidhinishwa na serikali?
hii ndio pasua kichwa.nikitaka kujirushia 1000 kutola a.c kuja kwemy mobire money wanakata 1400.Simu banking nilitumia week mbili tu nikaachana nayo kabsa. Ni gharama sana. Mfano ukihamisha hela kutoka kwenye bank kwenda mobile money gharama ni juu sana
Nilihamishaga laki toka nmb kwenda tigopesa makato 7000/=nilichoka kabisa na nikakoma.
Wanawake wa dizaini yako mna gubu sana
Na mabenki mengi wameongeza gharama ya kutoa hela bank Ili kuwalazimisha kutoa kwa sim banking au ATM au wakala...njia isiyo na Makati mengi ni ATM..kama hamna tafuta wakala ..huko mwingine wanakupiga saws saws..utajuta kuweka hela zako huko..hata Makato ya kutoa fedha kwenye mitandao ya simu ni kubwa mnooo
Benk za kikenya zote zenye branch hapa TZ hazina huo ujinga..kuanzia Equity na KCB bank..huwa ukiweka pesa unajikuta Kama Ilivyo..japo naona kwa sasa Kama Equity wanaanza kuleta huo ukumbafu wa kukata Makato.makubwa kwa transactionMbona nchi za wenetu hakuna makato ya kijinga kama hayo? Ukiachana na cm banking, hizi bank za kawaida pia zinamakato ya kijinga sana wakati bank za wenzetu hela ata ukiika miezi 6 unakuja kuiona ileile haijapungua ata cent 5, ni PBZ islamic bank na Amana bank pekeake ambazo hela yako haikatwi ila sijajua sasaivi kama na wao pia wamebadilika au laa
Acha tu mzee, sifanyagi huo ujinga tena sasa hvi.Bado huiakutana na tigo pia wanakusubiri
Kuja kutulia 14000 yote umeachia panya walafi.
Nitalifzatilia hilo mkuuIssue sio bank Gani ya kuhifadhi..tatizo ni akaunti Gani wafungua .? Mabenki karibu yote yana account maalum kwa ajili ya savings ..mfano Nbc Wana malengo account yaani unaweka hela zako bila Makato na KILA mwisho wa mwezi unapewa interest