Kwanini makanisa yetu yanageuzwa hivi??

Kwanini makanisa yetu yanageuzwa hivi??

Status
Not open for further replies.

Bill Cosby

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
2,588
Reaction score
1,554
Wana ukumbi.
Leo ktk pitapita zangu za weekend nimekuta kanisa moja limegeuzwa kuwa sehemu ya kuoshea magari!
(Car wash)!

Kusema ukweli nimesikitika sana kuona makanisa mengi huku ulaya yanageuzwa mno!
Mara Car wash, mara miskiti na kumbi za kujifunzia salsa ( miziki Ya kunyonga viuno!)

Naomba niulize! Je kunani huku ulaya na Haya makanisa!?
 

Attachments

  • 1397926259674.jpg
    1397926259674.jpg
    45.2 KB · Views: 1,085
Niliwahi kupita Birmingham UK nikakuta kanisa limegeuzwa gereza la watoto watukutu!
 
Think big my friend.

Think of it as a mere building because at the end of the day that is what it really is.

What people do when they are there is what really matters.

God does not live in any of those buildings.

He lives in our hearts.

So when a building is turned into a car wash or whatever, our faith is not altered in any way.

Usisikitike sana.
 
Mkuu cosby,hakika inasikitisha,yapo makanisa yaliyogeuzwa misikiti, kama yapo tuwekee picha la moja wapo.

Mkuu mfumo najaribu kukuwekea picha hapa lkn mtandao wetu wa kichina wa jf unakataa!
Ntajaribu kwa njia ingine.
 
Last edited by a moderator:
Think big my friend.

Think of it as a mere building because at the end of the day that is what it really is.

What people do when they are there is what really matters.

God does not live in any of those buildings.

He lives in our hearts.

So when a building is turned into a car wash or whatever, our faith is not altered in any way.

Usisikitike sana.

Karusee nimeanzisha uzi kwa lugha ya kwetu!
Hebu tusichanganye madawa kwanza!
Halafu la pili ni kuwa huku ulaya ambako ndiko shina la Ukristo kila siku makanisa yanauzwa!
Tena kwa bei rahisi mno! Kiasi kwamba waislamu wanayanunua vibaya mno! Na mengine wameyageuza madrasa na sehemu za kufanyia shughuli zao za kidini!

Serikali za huku zimefanya kila njia kuyaokoa lkn wapi!
Waendao makanisani huku SIO WAZUNGU! bali ni wahamiaji km mimi WAAFRIKA!
Yaani hali ya Makanisa huku inasikitisha mno! Ukristo unakufa siku hadi siku!
Mpaka sasa najiuliza! NI kwanini hasa Ukristo unapotea fasta namna hii!? Na Uislamu unakuja juu fasta namna hio!??

Au nyie wenzangu hamyaoni hayo!??
 
Niliwahi kupita Birmingham UK nikakuta kanisa limegeuzwa gereza la watoto watukutu!

Kama haya sio!

Manake haya ni baadhi ya makanisa yaliogezwa MISKITI ambayo yako karibu na ninapoishi!

Hio Car wash ndio imeanzishwa siku kadhaa tu zilizopita!

Cc mfumo
 

Attachments

  • 1397928554325.jpg
    1397928554325.jpg
    45.3 KB · Views: 364
  • 1397928569287.jpg
    1397928569287.jpg
    29.6 KB · Views: 356
Last edited by a moderator:
Natamani yesu aje leo aone kitu gani watu wanafanya!

Cc Eiyer Ishmael aka max!
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni huko UK labda nipo German misikiti kibao imegeuzwa magereza na kila kukicha makanisa kibao yanajengwa we unatuletea mamboyako hapa tena kwa ka mji kamoja zunguka wewe.
 
Ila Tusisahau na Kuwa Kuna Nyumba za Watu huku zinageuzwa Makanisa.. badala watu wachangie wajenge wanageuza nyumba ya Urithi kanisa
 
ulaya wamejaa watu aina ya kiranga ndyo wengi unafikiri makanisa yatadumu kweli.waarabu n tofouti sna na wazungu,mwarabu hata akiwa wapi lazima msikiti muhimu,anajali sna imani yake.
 
Wewe ni huko UK labda nipo German misikiti kibao imegeuzwa magereza na kila kukicha makanisa kibao yanajengwa we unatuletea mamboyako hapa tena kwa ka mji kamoja zunguka wewe.

Mkuu ungetupa faraja sana kama ungetuwekea picha za hio miskiti ilio geuzwa magereza!
Maneno peke yake yanazidi kutuhuzunisha sisi tunaoona nyumba za yesu zinageuzwa sehemu ya kuoshea magari!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom