Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,749
- 4,384
Hakuna jambo jipya chini ya jua. Yaleyale Yesu aliyoyashuhudia na macho yake nyumba ya ibada kugeuzwa sehemu ya biashara Ndio yanayojiri duniani sasa.
Usidanganyike na jina. Huyo jamaa sio mkristo. Ni 666. Ana Id kibao hapa.