Kwanini makanisa yetu yanageuzwa hivi??

Kwanini makanisa yetu yanageuzwa hivi??

Status
Not open for further replies.
Last edited by a moderator:
Schiendler aka MaxShimba aka Ishmael hapa tunataka kuokoa makanisa kuuzwa na kugeuzwa vilabu na Car wash!
We unatuletea habari za Syria!
Mbona kwenye Tv tunaona yote hayo!??

Haya ya makanisa kuuzwa huwa hawaonyeshi!

Sasa mi nilichofanya ni kuwapakulia tu!
We style zako za kizamaani!

Teh teh teh
kahtaan aka bill Cosby inapendeza sana mvaa kipedo ukipenda majina ya makafir.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna jambo jipya chini ya jua. Yaleyale Yesu aliyoyashuhudia na macho yake nyumba ya ibada kugeuzwa sehemu ya biashara Ndio yanayojiri duniani sasa.
 
Hahahahaaa ukiristo cku zote unashamiri sehemu zenye umaskini na matatizo km vijijini especialy vya africa ambako silahA kubwa ni kuwabadili watu dini kwa kuwapa fedha na Zawadi pamoja na maombi ya wachungaji ya uponyaji km yale ya kuponya vilema na n.k ....vitu ambavyo kwa ulaya havina nafasi huweZi kumdanganya ki rahisi kwa hiyo makanisa hayana kazi kwakuwa hamna waumini hamna ila uislamu unashamiri ktk mazingira yote espcialy europe ingawa unasemwa vibaya na media km dini ya ugaidi dini ya walala hoi lkn km Allah alivyoahid kuwa atailinda dini yake na itaZidi kukuwa siku hadi siku
 
Think big my friend.

Think of it as a mere building because at the end of the day that is what it really is.

What people do when they are there is what really matters.

God does not live in any of those buildings.

He lives in our hearts.

So when a building is turned into a car wash or whatever, our faith is not altered in any way.

Usisikitike sana.

Hapana. Your wrong karucee. Nyumbani ya ibada itabaki Kuwa nyumbani ya ibada. Tusimchezee Mwenyezi Mungu kazi hicho.
 
Karusee nimeanzisha uzi kwa lugha ya kwetu!
Hebu tusichanganye madawa kwanza!
Halafu la pili ni kuwa huku ulaya ambako ndiko shina la Ukristo kila siku makanisa yanauzwa!
Tena kwa bei rahisi mno! Kiasi kwamba waislamu wanayanunua vibaya mno! Na mengine wameyageuza madrasa na sehemu za kufanyia shughuli zao za kidini!

Serikali za huku zimefanya kila njia kuyaokoa lkn wapi!
Waendao makanisani huku SIO WAZUNGU! bali ni wahamiaji km mimi WAAFRIKA!
Yaani hali ya Makanisa huku inasikitisha mno! Ukristo unakufa siku hadi siku!
Mpaka sasa najiuliza! NI kwanini hasa Ukristo unapotea fasta namna hii!? Na Uislamu unakuja juu fasta namna hio!??

Au nyie wenzangu hamyaoni hayo!??

Use macho ni kweli bro. Kumbuka tupo katika nyakati za mwisho. Nyie wahamiaji endelee na moyo huyo huyo wa kwenda kanisani, Mungu atawabariki. Nikuondoe shaka pia, KAMWE ukiristo hautaweza kupotea katika USO wa Dunia hii mpaka Kristo ataporudi.
 
Hapa Australia makanisa kiukweli hayana watu kabisa J.pili. Hii dini yao inakufa kifo cha aibu sana. Na kilichofanya hiyo dini yao kukosa thamani huku ndicho kitakachoiua huko africa. Wameanzisha makanisa binafsi kama ----- ili kuchangisha fedha na kuuzia watu aples kwa bei ya ng'ombe kama wafanyavyo huko hivi sasa akina kakobe, lwakatare, mzee wa upako na lukuki ya makanisa
 
unapenda sana kumtaja kahtaan.
Inaonekana ameisha kubandua kisoda!

Kwi kwi kwi

allah anakuongezea swawabu kwa kila tusi kwa kutimiza vyema sunna na hadithi za mtume na unakwenda moja kwa moja firdaus.

swali linabaki palepale dhiki zenu mbona hamuwendi nchi waarabu mnakimbilia kwa makafir?
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa najua ni post ya maana nikaanza kufuatilia kumbe ni muendelezo tu wa ubishi wa dini.
 
allah anakuongezea swawabu kwa kila tusi kwa kutimiza vyema sunna na hadithi za mtume na unakwenda moja kwa moja firdaus.

swali linabaki palepale dhiki zenu mbona hamuwendi nchi waarabu mnakimbilia kwa makafir?

Tupo hapa kuwahubiria muache ukafir ndo maana unaona wakrsto weng wanaiona haki ss tukienda nchi za kiislam wote wakat tuna jukumu la kuifanya tz kuwa islmc state...matunda ya sisi kuwa hapa ndo unaona askofu ngogo,pastor john,pastor manon,pastor kessi,mwaipopo wote wamekuw waislamu nyny kaeni na mazoea kwakuwa baba mkirsto basi na ww ndo unakuwa mkiristo tena mnakuwa na chuki za kupitiliza kwakuwa mmejazwa sumu kwny bongo
 
allah anakuongezea swawabu kwa kila tusi kwa kutimiza vyema sunna na hadithi za mtume na unakwenda moja kwa moja firdaus.

swali linabaki palepale dhiki zenu mbona hamuwendi nchi waarabu mnakimbilia kwa makafir?

Teh ha ha ha kafiri ni kafiri tu. swawabu ndo nini? ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Ijumaa kuu yule mzungu pale msalabani amekufa kwa kiu kwa dhambi za ubahili wako,umeshindwa kutoa hata jero kumnunulia maji ya dasani

Kwa dhiki zako ukiona kisima cha mafuta lazima uvue Rozali.teh teh teh teh teh
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom