Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Jibu zuri sana hilo kwa huyo mdogo wake na @ Fayza FoxyAndamana
Jibu zuri sana hilo kwa huyo mdogo wake na @ Fayza FoxyAndamana
Hakuongopa maana hilo walishalipanga kuwa ccm lazima ipite tuInajenga picha kwamba sio mnafiq
Huyo mama kwanza sio muongo muongo maana kama mnakumbuka alivyosema kipindi kile cha kampeni kwamba hata mkimpgia kura mgombea mwingine lakini wa ccm ndio atakayeshinda. Kwani aliongopa?
Si M'BAGUZI tu, bali ni M'DINI pia!Acheni kushambulia watu katika masuala binafsi, wewe unaweza lithibitishia jamvi hapa ni jinsi gani wewe sio mbaguzi ?
Wakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Salam Aleykum kwa ninavyoelewa ni "Amani iwe nawe/nanyi". Tatizo tumeiunganisha na Uislamu (wakati ni maneno ya Kiarabu), ni salamu ya kawaida kabisa ambayoo hata Yesu aliitumia. Akishaitamka hivyo nadhani inatosha, mengine ni mbwembwe na duplication tu.Wakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Salam Aleykum kwa ninavyoelewa ni "Amani iwe nawe/nanyi". Tatizo tumeiunganisha na Uislamu (wakati ni maneno ya Kiarabu), ni salamu ya kawaida kabisa ambayoo hata Yesu aliitumia. Akishaitamka hivyo nadhani inatosha, mengine ni mbwembwe na duplication tu.
Kutawaliwa. Bado tunatumia lugha za waliotutawala kwenye maneno mengi tu.Kwa nini haitamkwi kiswahili, kisukuma au kinyaturu?
Kwani LAZIMA ACHA UKUKUWakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Kutawaliwa. Bado tunatumia lugha za waliotutawala kwenye maneno mengi tu.
Hio Asalam alaykm imezoeleka mpaka watu wanaona kama ni kiswahili tu. Ingawa ndio watu wengine pia wanaona kama maamkizi ya kiislam.
Kwani shikamoo/marahaba na cheichei ni kiswahili au.????
Kwahiyo unawadhalau wakristo wanaotumia hizo salaam?? Inamaana wakristo wanao salimia kiislam kwenye halaiki ya uma unawaona hawana akili?? Ila unawatetea wanaotumia salamu moja ya kiima na huku halaiki ni ya wanadini zote? Kama nikweli anatumia salamu moja ni vyema na yeye atumie salamu zote au kama anaona hawezi basi asisalimie kwa imani ya dini yoyote.Inajenga picha kwamba sio mnafiq.
Huyo mama kwanza sio muongo muongo maana kama mnakumbuka alivyosema kipindi kile cha kampeni kwamba hata mkimpgia kura mgombea mwingine lakini wa CCM ndio atakayeshinda. Kwani aliongopa?
We umegundua hata dawa ya kuua sisimizi?Kwa hiyo hapa tunajadili jinsi ya kusalimiana?
Watu wapo kwenye innovation sisi tunajadili jinsi ya kusalimiana?
Halafu huko mbeleni tuje kusema tumechelewa sana?
Msimpe sifa asiyo stahiki. FaizaFoxy na mapungufu yake yote huwa habishi ili mradi anabisha. Hutoa facts. Ila hiki ki CCM wanna be huwa kinatoaga majibu kama uharo, bila kufirkiri wala kuwaza. Yani kanabwatuka tu.Jibu zuri sana hilo kwa huyo mdogo wake na @ Fayza Foxy
Ana akili wakati ni blender????!!!Huyu ana akili.
Si M'BAGUZI tu, bali ni M'DINI pia!
Anaona akitoa hizo salamu ambazo wengi wa kutoka Dini yake, wanaona ni salamu zetu sisi watuitao MAKAFIRI, atakuwa AMETUINUA JUUUUU!
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Inajenga picha kwamba haoni mantiki ya kusalimia kwa salamu za dini zote duniani.
Zaidi salamu za kidini hazipaswi kuwepo kwenye Taifa kama letu lenye mchanganyiko wa dini nyingi.