Kwanini maisha ni Ubatili?

Hili dude linarecord mazungumzo siku ukirudi linaanzia mlipoishia πŸ˜„
Linayasoma mawazo Yako na kuyahifadhi Kwahiyo tufe ss si ndioπŸ™„
 
Linayasoma mawazo Yako na kuyahifadhi
Kwahiyo tufe ss si ndioπŸ™„
Linasoma maandishi sio mawazo...

Swali la pili ni rahisi lakini inabidi tuliache kutokana na jamii bado haijawa tayari kupokea ukweli
 
Existence ya viumbe wote hai Dunia inategemea KUZALIANA...... Binadamu wakikoma kuzaliana watapotea kwenye uso wa Dunia......
Ndio maana Kuna sababu kwanini Sex(reproduction) is so pleasurable ili kuchochea kuzaliana

Viumbe wote ni GREED na SELFISH, kila mmoja anataka kuwa na HUHAKIKA wa kupata mahitaji ya kushibisha nafsi yake kwanza...... hii ndio NATURE ya viumbe wote
Ndio maana watu wote TUNACHUANA kuwa kwenye NAFASI ya kuwa na UHAKIKA wa kukidhi matakwa ya nafsi zetu.

LIFE is about
Be born
Fight to stay alive
Then die

Ukiijua hii CODE huwezi kusema maisha ni ubatili

Kwanza watu watasukumwa na UTAMU wa kujamiiana, itafuata Mimba kisha Mtoto..... Kuna sababu kwanini viumbe vingi vya kike vinakua so protective kwa vichanga vyao
Kwasababu vichanga vikifa hakuna MUENDELEZO

Baada ya kukua unatakiwa upambane kuishi..... nothing given for granted.....
Hapa ndio uta pambanua maisha yako utakayo fanikiwa kuishi yatakua ya namna gani

Baada ya hapo YOU DIE......


Sasa KUFA isiwe ndio sababu ya kuona maisha ni UBATILI
Hata ukizaliwa ukafa na siku moja...... utakua tayari ume play part yako
 
Hauoni kama ni ubatili tena utapatu kabisa , just assume wewe unajua kama utakufa kwa akili ya kawaida ila haujui utakufa lini?

Just assume hata maisha yako hauna uhakika ila una utaratibu ulijipangia wa kuishi,leo unafanya biashara kesho unaweza kuanguka kweupe...Mimi nilikuwa kitengo miaka kama 2.5 nyum tena ajira za serikali za uhakika ,leo sipo kule ,hauoni kama ni kubeti huko?


Maisha yote ni ubatili hapo kweny kupambana ,: je ,uliambiwa kabla ya kuzaliwa au ulijikuta ushaingia mkenge Duniani kupitia tamaa za wazazi wako ? Binadamu ana akili usione watoto wakizaliwa wanalia kuna jambo hapa duniani..

Sheria za haki zote duniani ni ubatili , ingekuwa ziko sawa watu wangeanza kufanya kuzaa ni faragha ya anayezaliwa sio unajifanya maamuzi ya kuleta maisha ya mwingine tena hana hatia , maskini wanazaliana kama panya bila ya kuwa na huruma ya mtoto anayezaliwa kama wataweza kuwahudumia.
 
Hebu rudiarudia kusoma haya maelezo yako utoe tafakuri mpya.

Kwanini unafurahi kuishi gerezani ilihali huna hata nafasi ya unyapara?
 
Komenti zako huwa zina madini na maarifa mengi sana kwenye mambo mengi sana...πŸ‘

Whenever I see your comment, I pause scrolling down to get food for thought.
 
Komenti zako huwa zina madini na maarifa mengi sana kwenye mambo mengi sana...πŸ‘

Whenever I see your comment, I pause scrolling down to get food for thought.
Asante sana mkuu.

Hapo kwa anayependa kufuatilia mambo haya kujielimisha zaidi nimeweka mpaka kitabu kilichochambua mada kwa marefu na mapana kuliko ninavyoweza kuandika kwenye post moja.
 
Maisha ni ubatili .

Mfano Mwanasiasa anaanzisha VITA anapeleka wanajeshi vitani na wanakufa wakifa wanaitwa mashujaa Ila yeye hakubali kuuliwa au kufa kifo kibaya .

So maisha yapo ili kuyaishi ila Watu wachache wameamua kwa makusudi kujipatia Faida kupitia watu wengine wenye ufahamu mdogo.
 
"Jogoo Hatembei Na Vifaranga"
 
Hapa Kuna hoja.
 
Exactly πŸ’―..Mfano mzuri mzuri Putin...anakomaa hataki vita isimame wakati yeye kavaa suti katulia ikulu....hao underprivileged ndio wapo front wakiumia kwa kivuli cha kiapo....
Hakika ni ubatili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…