Kwanini maeneo haya yalipewa majina ya hivi?

Keko Magurumbasi: Mzee Magurumbasi alikuwa ni mzee mashuhuri mitaa hii, mzee huyu alikuwa anafuga mbuzi wengi tu. Mbuzi hao walikuwa wanafunguliwa asubuhi na kurudi jioni, walikuwa wanazurura hadi mitaa ya zamani KAMATA. Hakuna hata mmoja aliye potea au kuibiwa.
 
msasani: kuna mtu maarufu sana kipindi cha miaka ya nyuma alikuwa anaitwa Mussa Hasan, sasa wamakonde walishindwa kulitamka hilo jina wakawa wanasema msasani ndiyo hadi ikazoeleka
 
Kariakoo
Kuna mzungu alikuwa anateremka kwenye gari waswahili wakawa wanamshangaa. Ghafla akateleza akalia koo(kavunja goti) basi ikawa ndo mwanzo wa kalia koo= kariakoo
 
Mchamba wima. Walikuwa wanapenda kwenda kuoga vijana eneo hilo. Pembeni yake palikuwa na kamsitu flani ambako wanaenda ku puuh. Wakienda kipuuh wanarudi kuja kuoga pembezoni. Basi ikawa wakati wa kuchamba hawainami au kuchuchumaa kwa kuona aibu na pia kubabashiana.wakawa wanachamba wakiwa wamesiamam wima.

Ndo pakaitwa mchambawima.yaani mtu anayechama akiwa amesimama.
 
Kilimanyege..
Kuna kimlima ambacho wakati wa kupandisha wadada wanainama kidogo wanakuwa kama wana binua makalio kwa nyuma...wakawa wanasema hiki kilima na huu upandaji unaleta nyege sna...basi ikawa ni kilima nyege.
 
Makunduchi.
Kuna watu walikuwa wanapenda enda oga pale. Wakiwa wanajiachia tu...sasa wakiinama kujisugua wanaacha makundu yao yanaonekana... Ndo wazungu watalii wakawa wanasema " makundu yao yapo uchi, makundu uchi" yaani their asses open
 
Nyakato
Kulikuwa na demu wakisukuma anaitwa Nyaka.sasa akawa ameolewa siku moja akamcheat mume wake.jamaa aliyekuwa ana mgegeda akanasa. Ndo akawa analia akisema nyaka toa. Basi watu wakipita wanasikia anasema nyakatoa...pakabaki kuitwa nyakato.
 
Msasani:
Hapo zamani nasikia kuwa sehemu hii walikuwa wanaishi Wamakonde na kulikuwa na mtu mmoja maarufu iliyejulikana kwa jina la Musa Hasani. Sasa wamakonde walikuwa wanasema naenda kwa "Mucha Chani" na baadaye wazungu wakaibatiza sehemu ile kuwa Msasani kutokana na kushindwa kutamka "Mucha Chani" kama Wamakonde.

Hii mada imenikumbusha mbali sana, hilo eneo wakikaa wamakonde hatari kweli kweli miaka ya sitini. walikkuwa wamechanjwa uso wote na wakisemekana walikuwa wanakula watu. Nakumbuka wajirani wakiwazungumzia sana kuhusu kupotea kwa baadhi ya watoto maeneo yale. Loh!
 
Mikocheni kulikuwa na mzungu anaishi maeneo yale anaitwa Michael Shane wamakonde walishindwa kumuita jina lake wakawa wanamuita mikocheni ndio jina likazaliwa.Jogoo kulikua na kiwanda cha unga kinaitwa chapa jogoo na jina jogoo likakua.Kawe ilikuaga ni njia ya ng'ombe(cow way) kwenda kwenye kiwanda cha kusindika nyama cha tanganyika packers,watu wakawa wanapaita kawe.Makongo kulikua kuna mashamba ya mikonge waarabu walishindwa kuita mikonge wa wanaita makongo.
Mikoche ni aina ya miti na matunda yake huitwa makoche na hapo mikocheni ilikuwepo ndiyo maana pakaitwa mikocheni. Siyo jina la mzungu.

Haya ni matunda gani jamani na yanaliwa au hayaliwi nimeona sehemu nikaamua kupiga picha - JamiiForums
 
Keko Magurumbasi
Magomeni
Afrika sana
Sinza Mori
Sinza kwa Remmy
Sinza Palestina
Mwenge
Mbezi Louis
Africana
Kijitonyama
Ubungo Kibangu
Ubungo Maziwa
Manzese
Tandale
Temeke
Kunduchi
Kimanzichana
Mbagala
Salasala
Kibamba
Kibamba Magarisaba
Kibaha
Buguruni
Kinondoni
Madale
Bunju
Boko
Tegeta
Goig
Makonde
Jogoo
Mabibo
Masaki
Oysterbay
Gongo la mboto
Ukonga
Kipawa
Chanika
Kigamboni
Mwanakwerekwe
Mkunazini
Mbagala Charambe
Shekilango
Sinza Mugabe
Sinza Mapambano

Chang�ombe
Ilala
Ilala Boma
Kurasini
Makumbusho
Victoria
Mikocheni
���..na maeneo mengineyo wenye kujua maana yake waweke hapa tuelimike na kujua maana ya sehemu tunazoishi
Ongeza: SIPO.
 
Sipo Mwanangu pale Faya Zama zile palikuwa panaitwa Mwembe Mawazo kulikuwa na kituo cha kwenda Bwagamoyo(sasa Bagamoyo) sasa kulikuwa kuna miembe miwili mikubwa sana na palikuwa ndio stand ya mabasi yakwenda huko bwagamoyo na sasa baada ya kuing'oa na kujenga Kituo cha Faya sasa panaitwa Faya.
Mungu akubariki.
Mwembetogwa
 
Back
Top Bottom