Kwanini madini hayataki uchafu wa zinaa?

Kwanini madini hayataki uchafu wa zinaa?

Imani tu kwa uchimbaji wa kiswahili wa kubahatisha na kuamini bila ushirikina hamna mali kibongobongo, wazungu wa barick wanazichapa deile na wanakomba mali bila hata kukaguliwa kupeleka Canada na kiwanja kipo ndani ya mgodi!

Wabongo na sangoma damdam dada yangu na superstitions za kutosha.

Wenzao Kabla hawajaingiza mtambo wanajua Kbs kuna kilo ngapi hapa, Wabongo na sururu zao wanavaa hirizi na kuchinja kondoo ivute gold😀
Dahh nimecheka Sana 🤣
 
Mwilli wa mwanadamu haujawahi kufa toka dunia imeumbwa

Ila umepata mabadiko ya kigene kwa muda mrefu

Na kila umbo la kiumbe mwenye umbo ni mkusanyo wa kijamii unaotiishwa kwa Either moja

Ila kwakuwa ulimwengu unaonekana mkongwe japo si uhalisia

Kuna jamii za kiroho zimekataa kurudi mfumo Wa kujitiisha na kujipa mamlaka ya kusimamia sheria za muenakano maeneo husika

Na ndio zinazofahamu nguvu ya mavutano ya magimba ya ulimwengu na kutoa izo siri kwa watakao watumikia

Ila ukijipata hawana lolote, ila viumbe vya kuogofya
Fafanua vizuri mkuu
 
😄😄😄 madini ni treasures na treasures nyingi hasa zinazotoka ardhini zimefungamana na Imani za ancestors na zinalindwa sana so ili uzipate lazma uwe msafi la sivyo itakuwa shida kuzipata inasemekana Zina tabia za kuhama hama hasa kama Kuna uchafu wa kiroho,,Nb: not proven 😄😄
 
Mwilli wa mwanadamu haujawahi kufa toka dunia imeumbwa

Ila umepata mabadiko ya kigene kwa muda mrefu

Na kila umbo la kiumbe mwenye umbo ni mkusanyo wa kijamii unaotiishwa kwa Either moja

Ila kwakuwa ulimwengu unaonekana mkongwe japo si uhalisia

Kuna jamii za kiroho zimekataa kurudi mfumo Wa kujitiisha na kujipa mamlaka ya kusimamia sheria za muenakano maeneo husika

Na ndio zinazofahamu nguvu ya mavutano ya magimba ya ulimwengu na kutoa izo siri kwa watakao watumikia

Ila ukijipata hawana lolote, ila viumbe vya kuogofya
Hakika avatar yako inasadifu ulichoandika.
 
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu

Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe

Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje??

Na je ni madini tu ...uchimbaji na uuzaji? au kuna vingine visivyohitaj mapenzi ya uchafu yaani zinaa
Majini huchukulia kwamba madini/vito/vitu vya thamani kama ni mali na haki yao peke yao bila mshirika.Hivyo basi, binadamu akimiliki halafu akafanya na zinaa huyachukiza majini kwa kuona halali yao imechafuka.
NB:Majini yana wivu,uchoyo na kutaka wapendwe wao tu.
 
ni mada hii hii au kuna issue ingine unaongelea?
Ni mada hii ila mimeanzia mbali kwa kuwa kichwa kimewaka bro

Umeuliza kwa habari ya madini na uvutano wake na kukwepa uchafu

Sema Umeuliza huku umenasibisha madini kama viumbe vyenye akili na ukasema hayataki uchafu kama ni mtu vile

Si vibaya kwa wewe kuuliza kwa mtindo huo

Ila ndio nimejibu si hayo madini bali Kuna viumbe visivyo onekana vinavyosimamia hizo hazina (ni mambo ya imani)

Na ni viumbe jeuri vimeishi ulimwenguni mda mrefu na vinatambua sheria za ulimwengu za kujitiisha kuwa msafi

Kwanini nakwambia hivyo.?

Kama una kichwa kizuri ngoja niseme na hili kwa uchache

Kuna kani inayosafiri katika maumbile tuite 'Roho' ukiongea na Mswahili ataelewa zaidi japo haimaanishi kwa maana yao

Hiyo ipo kama kitu kisichoonekana ukiwa na umbile linaloonekana, ila kinaonekana usipokuwa nalo

Maumbile yanayoonekana yana mawsiliano ya ishara na sauti kuelezea undani wayo

Ila kukitoa umbile linalonekana inayobaki ni hiyo na nuru ni lugha yake (nayo ni maumbile)

Sasa kwanini kwanini nianzie mbali na kuhusisha icho kitu kisichoonekana ila kilicho hai.!

Ni kwamba kilianza kuwepo hicho kimoja kabla ya ulimwengu unaonekana

Ulimwengu unaoonekana ulipotokezwa ulikuwa kwenye uzuri wa mianga ya madaraja katika mwako wake.! (usisahau nimesema hapo juu lugha yake ni mwanga)

Na katika kila mwako wa madaraja Kuna hekima ya maumbile iliyofungamanishwa na siri ya maarifa

Na ni roho chache zinazothubutu kuteka hayo marifa na zikang'aa kwa uzuri wake

Ni ndio maana macho ya maumbile huvutiwa na madini

Sasa kuhusu wewe kudhani madini hayapendi bado hujauliza kwa kuonesha kiu ya kufahamu vizuri

Na kuhusu viumbe visivyoonekana bado ni story ndefu
 

Inategemea.

Sio madini tuu.

Mambo mazuri hayahitaji uchafu hasa uchafu wa kiroho.

Zinaa inafukuza furaha ndani ya nyumba hata kama mkeo/mumeo hajagundua.
Zinaa inaleta mikosi, mifarakano, chuki ambazo zingine mnaona hazina sababu.

Lakini kuna wanafanya zinaa lakini wanamfumo wa cleansing
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom