TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,627
- 2,272
usifanye mchezo kabisa na hiyo shughuli bana.....
kweli kabisa. Mi kuna cku nilizidiwa mpaka nikanywa tape water! Kuna moja ilikuwa kali mpaka nikataka ku......
usifanye mchezo kabisa na hiyo shughuli bana.....
kweli kabisa. Mi kuna cku nilizidiwa mpaka nikanywa tape water! Kuna moja ilikuwa kali mpaka nikataka ku......
mtaftie nyumba ndogo, pia inasaidia kuchelewesha bao. Kule kajumba kadogo atakuwa anaanzia dakika kumi akilejea kwako bao linachelewa anapiga at least kanusu saa. Hii ni scientifically proved. Usizarau kabisa hii ushauri.
kweli kabisa. Mi kuna cku nilizidiwa mpaka nikanywa tape water! Kuna moja ilikuwa kali mpaka nikataka ku......
ku what!!!! Lete ma eksipiriensi bana ah!
...nimepotea njia...wapi kwenye misa takatifu???
hapo red , tanesco walizima umeme nini? Malizia bana.
aaaaamenkuzimika,ikabidi mr aanze kunipepea na mashuka..lol..
kuzimika,ikabidi mr aanze kunipepea na mashuka..lol..
kweli kabisa. Mi kuna cku nilizidiwa mpaka nikanywa tape water! Kuna moja ilikuwa kali mpaka nikataka ku......
klorokwini mdaku ww..yatakushinda.
ali hiti ze gi spoti nini?
hehehe tatiana bana! Hakyanani ukijiondoa jf tutakumiss kweli.
usiwe unaanza na mwendo mkubwa yafaa uanze polepole,kama vipi njoo huku nikufundishe kucheza baikoko.
alilenga palepale panako ...
unajua kwenye sheria za grammar, hii kuandika neno halaf usilimalizie ni kosa kubwa sana. kule OXFORD wanakushtaki.
unajua kwenye sheria za grammar, hii kuandika neno halaf usilimalizie ni kosa kubwa sana. Kule oxford wanakushtaki.
givu ha ze wota shi eksipiriensi sam kwikwi