kuna wadada wengine hata wakilia basi wanakupandisha mzuka. Yaani kuna ticha moja kuna siku lilitwambia leo mtakoma! Tukazani linakuja kutupiga makwaju , kumbe lilikwenda kuchange nguo na kuvaa kimini. Tulikoma kweli aisee.
Jamani BAH wangu usichoamini ni nini?njoo muulize shemejio basi,yuko huko Darfur,sasa hatuonani hadi miezi 3 hadi 6 na nimekubaliana na hali,waga namsubiri arudi......lol
Hahaaa kuna msemo nilisikia kama umedu peku ukimaliza 2 ukanywa maji tena ya baridi hupati mimba nafikiri ndo mana wanakunywa maji na c kiu
Haumwi chochote,kila baada ya miezi sita tunaenda full check up,hana tatizo lolote na nimekaa nae for for years.......lol
Nshashtuka hii JF itanifanya nimuangalie kwa jicho la pili,yaelekea nakosa mengi,yaani hapa na-imagine paka mweusi kifuani for 45 minutes,WOW
Na hizo ndani ya dk 10, unafika kileleni ?
Angalia isije ikawa sio kifuani tu bali hata mgongoni pia, mixture.