Kwanini mademu wa kichaga hawajui kukataa??

Kwanini mademu wa kichaga hawajui kukataa??

Duu kwann sasa mbona wamasai wafupi wapo mkuu mm nina futi 5.7 je ni mfupi na uyo demu nipo nae sawa kimo au nimempita kidogo.mm nazan ayo mambo ya kimo sio kwa sasa bana
mkuu wamasai wenzie wakikuona unataka kuwapelekea mbegu fupi wanakufanya karamu......
 
Tofauti ya mbegu chafu na safi?
Mkuu

Nazungumzia sababu zote wanazotumia wanadamu kubagua watu katika marriage formation.

Mbegu Chafu nayosemea hapa,ni wale watu kwa sababu moja au nyingine wanabaguliwa kuoa au kuolewa kutokana na sababu mbalimbali wanadamu huzitumia kuhalalish au uharamisha ndoa,ambazo ni:

1.Racial barriers.....mhindi hapendi mwanae aolewe na mweusi,etc
2.Religious discrimination.....muislamu hataki mwanae aoe mkristo,etc
3.social status barriers....elitists hawapendi wanao waolewe na commoners
4.Financial status....matajiri sana hawapendi wanao waolewe na masikini sana....
5.Tribal discrimination....kabila au jamii fulani hawapendi wanao waoelewe na jamii fulani kutokana na historia ya chuki au chochote,etc


Hizi ni baadhi tu ya sababu za kibaguzi zinazofanywa na wanadamu ambao ni pamoja na wewe na mimi katika kuhalalisha au kuharamisha ndoa..

Ni ajabu sana unakuta anaetumia sababu ya 2 hapo juu kubagua fulani anamcheka na kumdharau sana anaetumia sababu ya 1 au ya 5 au ya 4 kuoa wakati wote ni manyani yanayomcheka mwenzie kumbe haoni kundule..

Sisi wanadamu ni wanafiki wa kiwango cha SGR na ni wabaguzi by nature including wewe na mimi na yule!
 
Mkuu

Nazungumzia sababu zote wanazotumia wanadamu kubagua watu katika marriage formation.

Mbegu Chafu nayosemea hapa,ni wale watu kwa sababu moja au nyingine wanabaguliwa kuoa au kuolewa kutokana na sababu mbalimbali wanadamu huzitumia kuharamisha ndoa,ambazo ni:

1.Racial barriers.....mhindi hapendi mwanae aolewe na mweusi,etc
2.Religious discrimination.....muislamu hataki mwanae aoe mkristo,etc
3.social status barriers....elitists hawapendi wanao waolewe na commoners
4.Financial status....matajiri sana hawapendi wanao waolewe na masikini sana....
5.Tribal discrimination....kabila au jamii fulani hawapendi wanao waoelewe na jamii fulani kutokana na historia ya chuki au chochote,etc
6.etc

Hivi ni sababu za kibaguzi zinazofanywa na wanadamu ambao ni pamoja na wewe na mimi katika kuhalalisha au kuharamisha ndoa..

Watu mnajifanya wanafiki sana eti hamfanyi ubaguzi hua mnatumia kigezo cha dini kubagua watu wanaotaka kuoa au kuolewa na nyie hapo hapo mnajipa uhalali eti mtaenda mbinguni mmetumia kigezo cha "Mungu"!

Ni ajabu sana unakuta anaetumia sababu ya 2 hapo juu kubagua fulani anamcheka na kumdharau sana anaetumia sababu ya 1 au ya 5 au ya 4 kuoa wakati wote ni manyani yanayomcheka mwenzie kumbe haoni kundule..

Sisi wanadamu ni wanafiki wa kiwango cha SGR!
Nimeuliza kwa nia njema naona umelipuka kama ugomvi mkuu.. Au na wewe ni muhanga?
 
Mkuu, ,kama unatongoza huku unatoka pochi nene. ..hakuna mwanamke toka Katika kabila lolote ambaye atathubutu kuku kataa. ....

Hivi ukiwa na hela halafu ni mjuzi wa kuhonga utaanzaje kukataliwa
6 mkuu nasaiv na mchaga pia nko nae
 
Back
Top Bottom