linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Huwa wanadhani watapata pa kuchuna 😂.Nyie madem wa kichaga hivi kwanini ni wepesi sana mkitongozwa? Hamjui kusema NO. Ni nature yenu au mna huruma sana??. Ukiona demu wa kichaga amekukataa basi wewe unagundu.
Narudia na kukazia tena Hakuna demu wa kichaga mgumu me nilio kutana nao nilikula bila jasho.
Kuna mwanamke yyte mtaani wa kichaga ni mgumu??
Kuna demu mmoja wa kichaga single mother alipata bwana mme wa mtu basi yule jamaa akamwambia atampa mtaji wa duka, atamsomesha, atamkatia bima ya afya demu akawa anaendelea kutafunwa tu kama ndefu kuja kushtuka akaanza kumlalamikia yule jamaa jamaa akaona isiwe tabu akamtema mazima 😂