Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kuna baadhi ya wanawake wa makabila flani wamejaa choyo, mwanaume ukioa hao nduguzako nyumbani pako hawata pajua!
Wanawake wengine wanaenda mbali zaidi unakuta Hata mama wakwe zao hawawapendi kabisa, wako radhi wakija Kwa mtoto wao usiku wampeleke quest house/hotel ya Karibu akalale huko
Mimi nashindwa kuelewa sijui ni ulimbukeni au ni nini?
Kuna watu Manunda jamani?!
Wewe hujui huyo Mumeo alivyokuwa mdogo aliumwa nini, mama Yake alivyohangaika nae, wengine wamesomeshwa na mama zao Kwa kuoza Pombe haramu za gongo, mama Yake alikuwa akikimbizana na Askari asikatwe maskini ya Mungu, leo Wewe amekuoa humtaki mama Yake ?
Hata akitumiwa hela ya matumizi unanuna!
Me au ke?
 
haya shem...ila siku hiz technology imekua hata mtu wananjirinji anakupa mambo balaa,mpka unajiuliza hili li mia khalifa limenitokea wap leo?
Umeona eeh..siku hizi sio tanga tu watu wamechangamka kila kabila liko moto
 
Wanalugha tamu ya kimahaba,wakarimu,wapenda usafi,hodari katika upishi.

Subiri kitandani sasa Sauti ka'yamtoto mchanga.

Tanga raha,
Mabinti wa mejaa,
kila kona wamezagaa.
 
haya shem...ila siku hiz technology imekua hata mtu wananjirinji anakupa mambo balaa,mpka unajiuliza hili li mia khalifa limenitokea wap leo?
Sasa wa Nanjilinji na wa Tabga si ni binamu hao
 
jaman naombeni mjibu questionnaire kqa kuclick link GENERAL INFORMATION ON MENTAL HEALTH PROBLEMS AND COUNSELING SERVICES (COMMUNITY)
ni muhimu tafadhari
 
Niliwahi kukutana na mmoja kwenye mgahawa mmoja hivi Tanga alikuwa anafanya kazi jirani na huo mgahawa, kusalimia kwa haraka haraka akawa rafiki yangu, siku kaja Dar kikazi akanitafuta nikamueleza ninapoishi baada ya masaa kadhaa huyu katia timu. Mi siku hio nipo hoi na Malaria na nilikuwa na sindano za masaa, nimetoka kwenda kuchoma sindano kurudi ikapita nusu saa akaniaga anawahi atakuja kesho yake kunijulia hali. Baada ya muda nimefungua droo ya meza ninamohifadhi hela.... elfu 50 hamna. Nikamtumia msg ahsante sana kwa ulichonifanyia, hadi leo hakujibu. Sitaki hata kuwaona wadada wa huko.
 
jaman naombeni mjibu questionnaire kqa kuclick link GENERAL INFORMATION ON MENTAL HEALTH PROBLEMS AND COUNSELING SERVICES (COMMUNITY)
ni muhimu tafadhari
Mbona husomeki?
 
Back
Top Bottom