Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Nilimpata mmoja 2012 akanirukisha mtaro kwa mara ya kwanza dah sikuamini
 
Mkuu hebu tupe darasa kidogo!
Tofauti ya mapenzi na mahaba ni i(zi)pi?
Halafu kusema ule ukweli tofauti ipo bana kati ya wanawake wa Tanga na wale mkoa wa Pwani yaani Wazaramo!
Tofauti ipo kidogo! Hawa kidogo Kama wana ka over confidence flani na mambo ya ngomani!
Halafu wa Tanga wanapiga kazi Hata Jembe wanajua kulima mfano wazigua, Wasambaa na wabondei!
Tanga wavivu ni Wadigo tu!
msambaa kwa kazi wapo vizuri. Ni wachapa kazi sana kwakweli
 
Aisee wacha na mimi nihamie Tanga!
 
Tanga mtandao wa 0713 ..... upo hewani bila mashaka. Ndiomana kunapendwa
 
Wako cheap, hawavungi, unaomba mzigo unapewa papo hapo bila hiyana
 
sijabahatika kukutana sina la kusema hapo..!! kwan kuna binti wa humu aje pm jaman dah
 
Wanawake wa kitanga uzuri wao wamejaliwa kuweza kuwa na sifa zenye uwiano sawia Kwa vile vigezo vya wastani ambavyo wanaume wengi hupenda mwanamke awe navyo!
Miongoni mwa vigezo hivyo ni pamoja na ufundi ktk 6*6 , mapishi mazuri ya vyakula vyenye radha nzuri, kauli njema, adabu, kujua kumstahi mwanaume, heshima, ukaribu Kwa wageni/ndugu wa Mume , wanawake wa kitanga hawanaga choyo!
Ukija Kwenye usafi vivyo hivyo mashallah wako vizuri!
Mavazi ya heshima ndo usiseme!
Mwanaume utake nini tena?!
Uaminifu pia wanao Kwenye mahusiano Kwa wastani siyo Kama wengine mfano wamakonde na wale wapenda ngoma kila mara !
Utakuwa mtanga wewe
Watanga ni malaya sana hata wakiwa ndoani.
Ukioa tanga sahau maendeleo
 
Utakuwa mtanga wewe
Watanga ni malaya sana hata wakiwa ndoani.
Ukioa tanga sahau maendeleo

siyo wote jamani!
Kama wapo ni wachache!
Huwezi kuwalinganisha na wanawake wa kimakonde, wazaram, na Wapare n.k
Tanga hakuna unyago wa kumfundisha Mwali kuhusu sufuria kuinjikwa Kwenye majifya matatu
Sikatai watakuwepo maana penye wengi hapakosi kuwa na mengi lakini siyo ukilinganisha na hayo makabila nilotaja hapo Juu n.k!
Makabila mengine yanaponzwa na mila na desturi toka enzi na enzi mfano kuhusu majifya matatu!
 
Back
Top Bottom