Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Hamna kitu hao watu, kwanza kitandani anakuja na viungo vingi utafikiri anataka kupika pilau
 
Wanawake wa kitanga uzuri wao wamejaliwa kuweza kuwa na sifa zenye uwiano sawia Kwa vile vigezo vya wastani ambavyo wanaume wengi hupenda mwanamke awe navyo!
Miongoni mwa vigezo hivyo ni pamoja na ufundi ktk 6*6 , mapishi mazuri ya vyakula vyenye radha nzuri, kauli njema, adabu, kujua kumstahi mwanaume, heshima, ukaribu Kwa wageni/ndugu wa Mume , wanawake wa kitanga hawanaga choyo!
Ukija Kwenye usafi vivyo hivyo mashallah wako vizuri!
Mavazi ya heshima ndo usiseme!
Mwanaume utake nini tena?!
Uaminifu pia wanao Kwenye mahusiano Kwa wastani siyo Kama wengine mfano wamakonde na wale wapenda ngoma kila mara !
Kabsa sifa ya mapishi, usafi,staha na ktk mavaz wanazo bila kusahau wanajua wajibu wao 6*6'
 
Ni mentality tu imejengeka kwenye vichwa vya watu kwamba mabinti wa kutokea Tanga wanaujuzi mkubwa sana kwenye masuala ya mapenzi na mahaba...

Kawaida sana...


Cc: mahondaw
 
Hahahahaha lol! Maeneo yangu ya kujidai hayo. Unazukaje kwenye maeneo ya watu bila kuwataarifu wenyeji wako? Nafurahi umekuwa jirani yangu.

Mie siku hizi nimehama hukoo!! Niko huku namtumbo
 
Wanalugha tamu ya kimahaba,wakarimu,wapenda usafi,hodari katika upishi.

Subiri kitandani sasa Sauti ka'yamtoto mchanga.

Tanga raha,
Mabinti wa mejaa,
kila kona wamezagaa.
Wengi wanaishia kugombaniwa kama asemavyo mleta mada...
Na wanaobahatika kuolewa hawadumu kwenye ndoa. . Wanabaki kujisifia wanaweza kuiba waume za watu wakati wa kwao wamewashindwa . .
 
Ni mentality tu imejengeka kwenye vichwa vya watu kwamba mabinti wa kutokea Tanga wanaujuzi mkubwa sana kwenye masuala ya mapenzi na mahaba...

Kawaida sana...


Cc: mahondaw
Wanajua kumjali mwanaume nyie wengine huwa mmeridhika sana mwanaume unamuona kama kaka yako!!
 
Nijuavyo Mimi Kwa uzoefu wangu binafsi mwanaume anatarajia mambo makubwa matatu toka Kwa mkewe;
1. Kwenye mambo ya 6* 6 yaende vizuri bila vikwazo
2. Apikiwe Chakula kizuri Kwa wakati na usafi
3. Kauli njema na heshima toka Kwa Mkewe
Na mengineyo Sasa yatafuata!
Mtanga na mzaramo wanafanana sana.
Wanafunzwa mahaba sio mapenzi..mjue kutofautisha!
Ndio maana anawaweka kiganjani wanaume hata sita kwa wakati mmoja na hawagundui!
 
Mtanga na mzaramo wanafanana sana.
Wanafunzwa mahaba sio mapenzi..mjue kutofautisha!
Ndio maana anawaweka kiganjani wanaume hata sita kwa wakati mmoja na hawagundui!
IQ zao kwenye masuala ya siasa,elimu,uchumi na jamii ndio kimbembe.
 
Back
Top Bottom