Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Mtanga na mzaramo wanafanana sana.
Wanafunzwa mahaba sio mapenzi..mjue kutofautisha!
Ndio maana anawaweka kiganjani wanaume hata sita kwa wakati mmoja na hawagundui!

Mkuu hebu tupe darasa kidogo!
Tofauti ya mapenzi na mahaba ni i(zi)pi?
Halafu kusema ule ukweli tofauti ipo bana kati ya wanawake wa Tanga na wale mkoa wa Pwani yaani Wazaramo!
Tofauti ipo kidogo! Hawa kidogo Kama wana ka over confidence flani na mambo ya ngomani!
Halafu wa Tanga wanapiga kazi Hata Jembe wanajua kulima mfano wazigua, Wasambaa na wabondei!
Tanga wavivu ni Wadigo tu!
 
IQ zao kwenye masuala ya siasa,elimu,uchumi na jamii ndio kimbembe.

Kwa baadhi Yao ni Kweli !
Ila ukikuta aloenda Shule anakuwa vizuri maradufu!
Mkuu usichanganye na hawa wengine maana mwambao wa Pwani ni mkubwa toka Tanga kule Juu unapita mkoa wa Pwani , Dar Es salaam, Lindi na Mtwara!
 
Nijuavyo Mimi Kwa uzoefu wangu binafsi mwanaume anatarajia mambo makubwa matatu toka Kwa mkewe;
1. Kwenye mambo ya 6* 6 yaende vizuri bila vikwazo
2. Apikiwe Chakula kizuri Kwa wakati na usafi
3. Kauli njema na heshima toka Kwa Mkewe
Na mengineyo Sasa yatafuata!

HAYA YOTE MI SIPATI.. HILI LANGU LIKOJE?
 
Mkuu hebu tupe darasa kidogo!
Tofauti ya mapenzi na mahaba ni i(zi)pi?
Halafu kusema ule ukweli tofauti ipo bana kati ya wanawake wa Tanga na wale mkoa wa Pwani yaani Wazaramo!
Tofauti ipo kidogo! Hawa kidogo Kama wana ka over confidence flani na mambo ya ngomani!
Halafu wa Tanga wanapiga kazi Hata Jembe wanajua kulima mfano wazigua, Wasambaa na wabondei!
Tanga wavivu ni Wadigo tu!
Hiyo kulima ni kwa vile watanga wana asili ya Uruguru ......

Tofauti ya mapenzi na mahaba ...angalia kwa changu mtu akapata nini na kwa mke anapata nini!
Ni kwamba watu hatujui kutofautisha hivi vitu basi!

Mtu yoyote mar he mahaba na vicchombezo vingi jua huyo hana kamusi ya kupenda!
Anazuga kwa vijimambo vyake ....ila ujue hapo mko wengi maana hawana junaa....
Papuchi inaungwa inakuwa kavu mda wote utasema hachepuki..kumbe weeeh!

Na waume zao ni hivyo hivyo ni mabazazi na laghai sana ...wana maliza wake za jirani zao kwa nyama ya ulimi tu!
Ndo maana umbea mwingi na fitna za chini chini huwa haiishi sehemu wakiwepo
Kwa vile wanazungukana sana...si ke wala me!
 
HAYA YOTE MI SIPATI.. HILI LANGU LIKOJE?

!
Stahamili @ Kaka!
Halafu inategemea pia nawewe ukoje?
Tabia na mwenendo wako Je ni kuaminika kwake?!
Hali hiyo yaweza sababishwa na mambo kadha wa kadha!
Mfano amekuzwa na kulelewa ktk mazingira gani!
Kwa hiyo siwezi kuwa na Jibu la moja Kwa moja ktk hilo!
However kumbuka kuwa wakati mwingine Kwenye decision making/conclusion huwa tunatumia weighted average !
Kwa hiyo tunaposema wanawake wa kitanga wako vizuri ktk Yake mambo wanaume hupenda tunapaswa kuzingatia wastani na siyo absolutely 100% ya wanawake wa Tanga kuwa wako hivyo!
Wachache baadhi Yao wanaweza wasiwe hivyo, Kama huyo wako sasa!
Ila siku jaribu kutoka nae kisha jaribu kuongea nae Kama utani mwambie Mbona imekuwa ikisemekana Hivi Juu ya ke wa Tanga kuwa wako Hivi na vile lakini Wewe Mbona wakati mwingine sikuelewi?
Hata kama atahamaki usijali mwambie ni utani tu Ila Kama anaakili atafanyia kazi na kuimprove!
Ila ba Wewe ujihoji usiwe mkali kwake na Hata kumpiga au kumgombeza mbele Za watoto unamuondelea kujiamini na uhuru kwako!
Halafu muwe mnahudhuria semina Za ndoa pamoja!
 
f67180af1ec70bf5624ddde63dc13d32.jpg


Jamani hivi Tanga Kunani?
Toka Nimekua na Kubalehe nasikia tu kuwa ukipata Mwanamke wa Kitanga Haujinasui na wengine wanasema eti Mwanaume Ukienda Tanga Hauwezi rudi Siku hiyo hiyo lazima ulale ...Najiuliza Hivi Mabinti wa Kitanga wana nini ?
Huku Mtaani kwetu wanagombaniwa kama Njungu.....

Tufahamisheni jamani Wanaojua
Mapenzi motomoto, maji yenyewe ya kuoga yanawekea iliki unafikiri mchezo
 
eeeee huko home nakuja mwenyewe,,

hamnaga choyo

wabunifu sanaaa

hakuna vifo vya kukatana mapanga

ustaarabu kwenda mbeleee

hawajali pesa, wanajali utu sanaaa,, tembele mchicha tunakulaga,,

sie wali naziiiiiiiiiiiiiii

nanga baharini, mtoni topeee
 
Ni kweli kabisa TANGA ndo palipoanzia mapenzi watoto wanakatika utafikiri hawana mfupa.
Chunga sana baba aumwa.
Wazesabia chooni, oddo
Unaweza kurudi na pumbu tu.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    53.5 KB · Views: 64
  • images(2).jpeg
    images(2).jpeg
    8.1 KB · Views: 55
  • images(3).jpeg
    images(3).jpeg
    22.5 KB · Views: 68
  • images(4).jpeg
    images(4).jpeg
    41.9 KB · Views: 53
  • images(5).jpeg
    images(5).jpeg
    38.7 KB · Views: 107
Back
Top Bottom