Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sema kweliHahahahaha lol! Maeneo yangu ya kujidai hayo. Unazukaje kwenye maeneo ya watu bila kuwataarifu wenyeji wako? Nafurahi umekuwa jirani yangu.
Sema kweliHahahahaha lol! Maeneo yangu ya kujidai hayo. Unazukaje kwenye maeneo ya watu bila kuwataarifu wenyeji wako? Nafurahi umekuwa jirani yangu.
Mtanga na mzaramo wanafanana sana.
Wanafunzwa mahaba sio mapenzi..mjue kutofautisha!
Ndio maana anawaweka kiganjani wanaume hata sita kwa wakati mmoja na hawagundui!
IQ zao kwenye masuala ya siasa,elimu,uchumi na jamii ndio kimbembe.
Nijuavyo Mimi Kwa uzoefu wangu binafsi mwanaume anatarajia mambo makubwa matatu toka Kwa mkewe;
1. Kwenye mambo ya 6* 6 yaende vizuri bila vikwazo
2. Apikiwe Chakula kizuri Kwa wakati na usafi
3. Kauli njema na heshima toka Kwa Mkewe
Na mengineyo Sasa yatafuata!
Hiyo kulima ni kwa vile watanga wana asili ya Uruguru ......Mkuu hebu tupe darasa kidogo!
Tofauti ya mapenzi na mahaba ni i(zi)pi?
Halafu kusema ule ukweli tofauti ipo bana kati ya wanawake wa Tanga na wale mkoa wa Pwani yaani Wazaramo!
Tofauti ipo kidogo! Hawa kidogo Kama wana ka over confidence flani na mambo ya ngomani!
Halafu wa Tanga wanapiga kazi Hata Jembe wanajua kulima mfano wazigua, Wasambaa na wabondei!
Tanga wavivu ni Wadigo tu!
Tanga raha wanapaita tanga gusa unase
HAYA YOTE MI SIPATI.. HILI LANGU LIKOJE?


!
Mapenzi motomoto, maji yenyewe ya kuoga yanawekea iliki unafikiri mchezo![]()
Jamani hivi Tanga Kunani?
Toka Nimekua na Kubalehe nasikia tu kuwa ukipata Mwanamke wa Kitanga Haujinasui na wengine wanasema eti Mwanaume Ukienda Tanga Hauwezi rudi Siku hiyo hiyo lazima ulale ...Najiuliza Hivi Mabinti wa Kitanga wana nini ?
Huku Mtaani kwetu wanagombaniwa kama Njungu.....
Tufahamisheni jamani Wanaojua
Hamna kitutuuuuusahivi hata mabinti wa kichaga wanatamba, michezo yote wanacheza
