Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

f67180af1ec70bf5624ddde63dc13d32.jpg


Jamani hivi Tanga kunani?

Toka nimekua na kubalehe nasikia tu kuwa ukipata mwanamke wa kitanga haujinasui na wengine wanasema eti mwanaume ukienda Tanga hauwezi rudi siku hiyo hiyo lazima ulale.

Najiuliza hivi mabinti wa kitanga wana nini ?

Huku mtaani kwetu wanagombaniwa kama njungu.

Tufahamisheni jamani wanaojua
Naenda Tanga kesho.
Mkuu nipe dira niende mtaa wa ngapi?
 
Back
Top Bottom