Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,135
- 1,000
Hodi wanajamvi wakuu wa JF,
Najitokeza hapa kwa mara ya kwanza, kwanza nitoe shukrani kwa jinsi mnavyodadavua mada husika, Nimeoa hivi Karibuni, hivo siku ile ya harusi tulipotoka tu kanisani na kujumuika katika ukumbi wa BZ HOTEL basi bibi arusi alikuwa akitoa matone ya chozi moja, moja, huku wazee wa hekima wakitoa neno.
Ulikuwa wakati mgumu sana kwangu kuona mwenzi akibubujikwa na machozi hali ambayo ilinipa nafasi ya kufikiri mengi sana. Sasa nimekukutana na hilo la kulia kwa bibi arusi siku ya harusi, hivi maana yake ni nini?
Naomba kufafanuliwa nanyi wanajamvi...
Najitokeza hapa kwa mara ya kwanza, kwanza nitoe shukrani kwa jinsi mnavyodadavua mada husika, Nimeoa hivi Karibuni, hivo siku ile ya harusi tulipotoka tu kanisani na kujumuika katika ukumbi wa BZ HOTEL basi bibi arusi alikuwa akitoa matone ya chozi moja, moja, huku wazee wa hekima wakitoa neno.
Ulikuwa wakati mgumu sana kwangu kuona mwenzi akibubujikwa na machozi hali ambayo ilinipa nafasi ya kufikiri mengi sana. Sasa nimekukutana na hilo la kulia kwa bibi arusi siku ya harusi, hivi maana yake ni nini?
Naomba kufafanuliwa nanyi wanajamvi...