lameckkawawa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 944
- 665
dah kwel ukistajabu ya mussa utayano ya filauni.lowasa ni nani?
dah kwel ukistajabu ya mussa utayano ya filauni.lowasa ni nani?
lowasa ni nani?
Lowasaa iko gonjwa sana inaongea dakika tatu hoi taabani,iko na utapiamlo kali sana hapana taka kwenda lazwa hospital yeye taka lazwa Ikulu kama gonjwa wodi ya IKULU
Lowassa ndio rais wetu na si viinginevyo.
Hata akiwa ICU tutampa kura zetu.
Fikiri kwanza, umati wa watu, siyo kushinda urais, kumbuka ukawa ni vyama vinne!!, kwa hiyo uwingi uliouonaa wewe, ni kilio siku ya tar 25, LOWASA hawezi shinda'!!
lowasa ni nani?
lowasa ni nani?
Be careful utapigwa ban. Hiyo ni dirty/filthy word...
Kasombeni watu na malori kama kawaida yenu kutoka Kemondo, Katerero, Maruku,hata kutoka Kyaka ili nanyie mjaze UMATI.
......
Lowasaa iko gonjwa sana inaongea dakika tatu hoi taabani,iko na utapiamlo kali sana hapana taka kwenda lazwa hospital yeye taka lazwa Ikulu kama gonjwa wodi ya IKULU