Aliyetunga sheria za hoteli, motel, lodge, guest aliwaza nini

iziga azizi

Member
Aug 16, 2020
75
156
Nawasalimu kwa jina la JMT
Nmeingia lodge nying sana nimekuwa nikiumizwa na hiii sheria ya ambayo inasema.

Chumba unatakiwa urudishe saa Nne kamili hela yako inakuwa imeisha ?

Kwanini isiwekwe sheria chumba unalipia ndani ya masaa 24 tu yaani kwa mfano umeingia saa4 usiku utoke kesho yake saa4 usiku

Kuliko hii sheria ya sasa inasema hata kama umeingia saa5 usiku ila ikifika saa4 asubuhi unatakiwa ukabidh chumba.

Bunge liiingilie kati hiii sheria inataji mabadiliko makubwa tena ya haraka sana kwani imekuwa ikitukandamiza siye wadau wa hiii huduma.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT
Nmeingia lodge nying sana nimekuwa nikiumizwa na hiii sheria ya ambayo inasema
Chumba unatakiwa urudishe saa Nne kamili hela yako inakuwa imeisha ?
Kwanini isiwekwe sheria chumba unalipia ndani ya masaa 24 tuuu yaani kwa mfano umeingia saa4 usiku utoke kesho yake saa4 usiku
Kuliko hii sheria ya sasa inasema hata kama umeingia saa5 usiku ila ikifka saa4 asbh unatakiwa ukabidh chumba
Bunge liiingilie kati hiii sheria inataji mabadiriko makubwa tena ya haraka sana kwani imekuwa ikitukandamiza sie wadau wa hiii huduma
Hapana, ukiwakomalia wanaelewa sana! Nimeshaingia Lodge saa saba, saa nane, saa Tisa au saa kumi na nikachukua kitabu nikaandika tarehe husika! Ukiandika tarehe kwa usahihi unakua na mantiki usikubali kulumbana kwa maneno!
 
Nawasalimu kwa jina la JMT
Nmeingia lodge nying sana nimekuwa nikiumizwa na hiii sheria ya ambayo inasema.

Chumba unatakiwa urudishe saa Nne kamili hela yako inakuwa imeisha ?

Kwanini isiwekwe sheria chumba unalipia ndani ya masaa 24 tu yaani kwa mfano umeingia saa4 usiku utoke kesho yake saa4 usiku

Kuliko hii sheria ya sasa inasema hata kama umeingia saa5 usiku ila ikifika saa4 asubuhi unatakiwa ukabidh chumba.

Bunge liiingilie kati hiii sheria inataji mabadiliko makubwa tena ya haraka sana kwani imekuwa ikitukandamiza siye wadau wa hiii huduma.
Siku moja nimeenda Tanga nikitokea Kahama kwa kuungaunga maana nilikuwa na issue Dodoma then nikapanda mpaka Moro then Chalinze. Nikavizia Fuso pale nikafika Tanga saa 0530 nimechoka balaa na kulikuwa na dharura fulani iliyopeleka. Nikasema nilale lodge mpaka saa 2. Baadae narudi saa 8 naambiwa nilipe tena. Nilikataa hadi akapigiwa simu mkurugenzi akakubali
 
Nilienda gesti Mbagala mida ya saa tano asubuhi nikataka kulipa gharama za siku nikaambiwa siwezi kukabidhiwa chumba kwa mtindo huo kwakua saa tatu mpaka 12 ni mida ya short time ambapo attendant ndiyo hukusanya mapato, attendant hana mshahara wa mwisho wa mwezi.
 
Nilienda gesti Mbagala mida ya saa tano asubuhi nikataka kulipa gharama za siku nikaambiwa siwezi kukabidhiwa chumba kwa mtindo huo kwakua saa tatu mpaka 12 ni mida ya short time ambapo attendant ndiyo hukusanya mapato, attendant hana mshahara wa mwisho wa mwezi.
Hii tabia iko sehem nyingi sana unaweza kukosa chumba kabisa ilihali umetoka mkoa mwingine unataka upumzike hususan lodge za Tanga washenzi sana
 
Ila sheria ya kimbuzi sana. Me nadhani Ila issue kubwa ni kumanage usafi. Assume kila mtu amekuja muda wake. Itakua ngumu sana kufanya usafi maana kila mtu anatoka muda wake na wale watu wa usafi most cases ni makampuni (watu) wa nje.

Me ndio maana nikiwa naenda kufanya madhambi nafikaga pale saa 4 asubuhi dk 10 hivi mwisho saa 5. Nachukua room hadi kesho. Atleast hela yangu imeguswa 90%.
 
Siku moja nimeenda Tanga nikitokea Kahama kwa kuungaunga maana nilikuwa na issue Dodoma then nikapanda mpaka Moro then Chalinze. Nikavizia Fuso pale nikafika Tanga saa 0530 nimechoka balaa na kulikuwa na dharura fulani iliyopeleka. Nikasema nilale lodge mpaka saa 2. Baadae narudi saa 8 naambiwa nilipe tena. Nilikataa hadi akapigiwa simu mkurugenzi akakubali
Aisee,wewe jamaa ni mbishi balaa, yaani hadi wakampigia mkurugenzi wao.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT
Nmeingia lodge nying sana nimekuwa nikiumizwa na hiii sheria ya ambayo inasema.

Chumba unatakiwa urudishe saa Nne kamili hela yako inakuwa imeisha ?

Kwanini isiwekwe sheria chumba unalipia ndani ya masaa 24 tu yaani kwa mfano umeingia saa4 usiku utoke kesho yake saa4 usiku

Kuliko hii sheria ya sasa inasema hata kama umeingia saa5 usiku ila ikifika saa4 asubuhi unatakiwa ukabidh chumba.

Bunge liiingilie kati hiii sheria inataji mabadiliko makubwa tena ya haraka sana kwani imekuwa ikitukandamiza siye wadau wa hiii huduma.
Subiria saa 6 usiku unakuwa umeingia tarehe 12 hvyo utaruhusiwa kuondoka hata saa moja usiku ya tarehe 12
 
Back
Top Bottom