Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Wadau, poleni kwa msiba wa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa JMT, John Magufuli.
Hili swala linanishangaza na ningependa kujua TCRA na sheria zao wanasemaje. Local channels za vituo vya televisheni nchini kwa mujibu wa sheria zinaonyeshws bure.
Kimantiki nilitegemea channels za ITV, UTV, Capital TV, EATV, Clouds, TBC1, Star Tv, Channel Ten na nyingine zote ambazo ni local (hazilipiwi), zingeonyeshwa ktk visimbuzi vyote kuanzia TING, Azam, DSTV, Digitek, Star Times na Continental. Lakini ajabu ni kuwa baadhi ya vituo havionyeshi channels zote. Mfano, UTV haipatikani kwenye kisimbuzi cha Star Times.
Kanuni na sheria za kurusha matangazo ya local channels inasemaje? Nadhani sio haki kutunyima walaji haki ya kuangalia local channels kwenye visimbuzi vyote.
Vv
Hili swala linanishangaza na ningependa kujua TCRA na sheria zao wanasemaje. Local channels za vituo vya televisheni nchini kwa mujibu wa sheria zinaonyeshws bure.
Kimantiki nilitegemea channels za ITV, UTV, Capital TV, EATV, Clouds, TBC1, Star Tv, Channel Ten na nyingine zote ambazo ni local (hazilipiwi), zingeonyeshwa ktk visimbuzi vyote kuanzia TING, Azam, DSTV, Digitek, Star Times na Continental. Lakini ajabu ni kuwa baadhi ya vituo havionyeshi channels zote. Mfano, UTV haipatikani kwenye kisimbuzi cha Star Times.
Kanuni na sheria za kurusha matangazo ya local channels inasemaje? Nadhani sio haki kutunyima walaji haki ya kuangalia local channels kwenye visimbuzi vyote.
Vv