Kwanini Line mpya za Airtel hazisomi kwenye modem

Kwanini Line mpya za Airtel hazisomi kwenye modem

Hata mm aina hizi mpya za line ni shiiiiiiidah...nilikuwa natumia Nokia Asha haikukubali, lkn nilipoweka kwenye samsung inapeta. Sijajua wamefanya nn kwenye hili lkn zinafanya vizuri zaidi kwenye smartphone pia.
 
Nimenunua line mpya za airtel zaidi ya tatu sasa. Kila moja nikiweka kwenye modem haisomi. Ila kwenye simu inasoma.

Nimejaribu line ya zamani nimeona inasoma ila hizi mpya zote tatu zimekataa.

Modem ninayotumia ni Huawei e303 na matokeo yake ni kama yalivyo kwenye snapshot hapo chini.

View attachment 185401

Kama kuna mtu mwingine amekutana na the same issue, tuambiane jinsi ulivyosolve tatizo hilo.

mkuu nami nimepata tatizo kama lako LAKINI kwa sim card mpya za Voda. Nina modem E173 iliyochakachuliwa itumie sim card zozote. Nikiweka Sim card ya ZAMANI ya Voda inakubali kirahisi lakini hizi mpya zinatemwa - nimenunua sim card hadi 3 za voda bila mafanikio.

Ninatumia sim card mpya ya Airtel inakubali kirahisi tu.

Bila shaka alieshauri utumie dashboard ya E173 huenda kapatia na kuhusu digits ngoja nirudi nizichunguze

Nimerudi: SPYMATE kazungumzia digits - nina sim card moja ya zamani ya Airtel yenye digits 18 na mpya yenye digits 19 - zote zinasomwa vizuri kwenye hii modem ya E173. huenda tatizo hapa ni dashboard.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom