God knows
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 276
- 173
Nimenunua line mpya za airtel zaidi ya tatu sasa. Kila moja nikiweka kwenye modem haisomi. Ila kwenye simu inasoma.
Nimejaribu line ya zamani nimeona inasoma ila hizi mpya zote tatu zimekataa.
Modem ninayotumia ni Huawei e303 na matokeo yake ni kama yalivyo kwenye snapshot hapo chini.
Kama kuna mtu mwingine amekutana na the same issue, tuambiane jinsi ulivyosolve tatizo hilo.
Nimejaribu line ya zamani nimeona inasoma ila hizi mpya zote tatu zimekataa.
Modem ninayotumia ni Huawei e303 na matokeo yake ni kama yalivyo kwenye snapshot hapo chini.
Kama kuna mtu mwingine amekutana na the same issue, tuambiane jinsi ulivyosolve tatizo hilo.