ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,557
- 44,747
Ili kuepuka vifo vitokanavyo na ndege kupata ajali chini kwanini makampuni ya ndege yasinunue parashuti kwa kila abiria yaani ukikaa kwenye seat unalivaa ili ndege ikipoteza control basi mnaruhusiwa kuruka kutoka nje mnapaa mnashuka chini bila kujipigiza?