Kwanini Kurugenzi ya Habari (Ikulu) imekaa kimya kuhusu taarifa ya Lowassa hadi sasa?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,517
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?
 
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?

Kukanusha ukweli yataka ujasiri!
 
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?
Hivi ukweli unakanushwaje ? Wanasema wewe ni Mwanasheria hebu tueleweshe labda
 
Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.
Sasa utakataaje ukweli?

Kwani hajui magufuli ananunua wapinzani?
 
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?


Kwa sababu ni taarifa ya Lowasa, ni rahisi kihivyo tu!
 
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?

Half Ray amesema atapokewa 18 January 2018 hivyo usitegemee kurugenzi kujibu maana wakijibu wameishaharibu Kiongozi Mkuu kabisa wa CDM kuhamia CCM
 
kwa kwenda Ikulu ni kujitongozesha , kwa Dume la mbegu , huko ndani anajua yeye mwenyewe alichokipata. Ukweli ni kwamba kaingia Ikulu yeye mwenyewe, alipotoka amlionekana kapendeza . Lowasa kafika bei ya ikulu big up ikulu.
 
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?
Wewe nayeee....kuchamba kwako kwingiii mwishowe unatoka na nnya vidoleni.

Hivi ni lazima kila kitu upost wewe?...au unadhani uko smart sana kuliko wengineo?...achaga kiherehere kama mtetea anayehitaji dume...unakera sasa.

Unataka kutuaminisha kuwa kurugenzi ya habari haifanyi kazi sio? Au unaitaka hiyo nafasi ya msigwa gerson?....acha kiherehere.

Unataka kutuaminisha kuwa lowassa ni muongo sio?...acha kutumika maana toilet papers kama nyie huwa mnatupwa chooni na kuwa flushed.

Shithole countries for shithole people like you....ACHAGA US SHITHOLE WEWE.
 
Lowassa amesema:

1. Rais Dr. John Pombe Magufuli ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu kwakuwa alikuwa na ujumbe wa kumpa.

2. Rais Magufuli alimpa ujumbe Lowassa wa 'kumuomba' arejee CCM na Lowassa alikataa.

3. Yeye Lowassa na Rais Magufuli walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali kama ukiukwaji wa haki za kibinaadamu, ukandamizwaji wa demokrasia na kadhalika.

Kimsingi, taarifa aliyoitoa Lowassa, ikisemwa kuwa ni maelezo aliyoyatoa mbele ya Kamati Kuu ya chama chake-CHADEMA inaleta sintofahamu kuhusu nini hasa kilijiri kabla, wakati na baada ya Lowassa kwenda na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli.

Taarifa ya Lowassa inatofautiana waziwazi na hata video zilizooneshwa siku alipomtembelea Rais Ikulu na Rais Magufuli pamoja na Lowassa mwenyewe kutoa muktasari wa kilichojiri. Taarifa ya Lowassa ilipaswa kujibiwa kwakuwa ni yeye mwenyewe aliyeamua kuanika vya sirini.

Kwanini Kurugenzi ya Habari-Ikulu imekaa kimya badala ya kufafanua kuhusu kilichosemwa na Lowassa? Je, ni kweli Mhe. Rais ndiye aliyemualika Lowassa Ikulu? Je, ni kweli Mhe. Rais alimuomba Lowassa arejee CCM na Lowassa alikataa? Na kadhalika na kadhalika.

Kisheria, kukaa kimya (hata wakati wa kusomewa mashtaka mahakamani) ni kusema HAPANA/SI KWELI. Kijamii, kukaa kimya ni kusema NDIYO/NI KWELI. Tushike lipi hapo?
Mkuu zoezi lilibumbuluka. Kibaya zaidi mjengoni walitoa taarifa kwa vyombo vya habari ujio wa EL lakini hawajatoa alienda kufanya nini kibaya zaidi hawajakanusha au kuunga mkono.
***
Tunapoitwa shitholes tusilalamike
It's only shitholes countries wanaendekeza upumbavu huu
 
Back
Top Bottom