Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

kuna haja ya kupata somo la umeme
Yeye hapigwi shoti kwa sababu anakua haja complete circuit ila binadamu anaposhika nyaya anakua kama vile kajifanya waya wa kupitisha huo umeme kwenda ardhini(Niko tayari kusahihishwa)
 
Ivi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!
Kunguru hana damu nyingi na damu yake hiyo kidogo ni nyeusi na nyepesi. Akifa inakauka haraka saña. Kwenye nyaya za umeme hapati shoti kwa sababu ngozi yake ya miguuni ni kavu kama mti mkavu.
 
Kwasababu kunguru mwenyewe ni funza mwenye mabawa,funza anakula mizoga na kunguru hivyo hivyo
 
Kwahiyo nuhu alikuwa tarzan eeeh.
 
Damu yake ina sumu kali sana kiasi akifa hakuna bacteria ambaye anamsogelea na hivyo kutooza zaidi,

Kunguru hukauka tu na huwezi kuona INZI akimsogelea kunguru hata siku moja, kwani ana sumu kali sana akiwa mzoga.
kuna jamaa alikua anawawinda na manati kilikua kitoweo chake maana kwa siku hakosi wawili
 
Inawezekana damu yake ni tiba ya magonjwa mengi ya binadamu.......so next time ukimpata chukua damu yake ujidunge....Magonjwa magonjwa we sahau kabisa......Hata ngoma...
 
Damu yake ina sumu kali sana kiasi akifa hakuna bacteria ambaye anamsogelea na hivyo kutooza zaidi,

Kunguru hukauka tu na huwezi kuona INZI akimsogelea kunguru hata siku moja, kwani ana sumu kali sana akiwa mzoga.
Le ornithologost
 
kwel kuhusu elimu ya umeme unaweza kushika waya wa live wa umeme na usipigwe shot inatakiwa usitetemeahe mkono endapo utatetemesha ulivyo ushika usipo kufa utazimia.kunguru anapigwa shot kwenye mabawa yake akiruka vibaya analambwa shot.
Sio ramli hii....? Mmmhh!!..
 
Nimekuelewa sana mkuu! Vp waweza fanya jaribio hilo la kubembea staili ya non conduct kwenye waya wa umeme?
 
Muda mwingine sio kwamba tunapiga,tunapata udadisi kwa mambo tusiyoyajua tunayofifunza humu .hasa hilo la ukibembea kwe waya mikono ikiwa karibu bila kugusa chochote hupigwi shoti,limenishangaza sana,nashukuru nimejifunza kitu,but siwezi jaribu aisee..hahahaaa!
 
NAuliza kwa hio hafai kwa kitoweo, nina hofu nikimla nisije mtoa mzima.
 
Kingine hawa kunguru tuwawinde tutengenezee sumu za ma nyinzi ili kupunguza kero za ma nyinzi/inzi/nzi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…