Kwanini Kundi la P Square limevunjika?

jem_the_great

JF-Expert Member
Aug 30, 2013
289
158
Habarini wana jamvi..

Nimesikia tetesi hawa jamaa wamevunja kundi lao.. Anaefahamu nini chanzo?
 
Mkuu, ukitaka habari za mastaa wa kinaijeria tembelea mtandao wao wa Nairaland, ni kama JF ya yuko. Ingia jukwaa la celebrities, huko taarifa hii unayoulizia inajadiliwa kwa kina. Watu wako deep sana huko, ila jiandae na pidgin English.
 
Mkuu, ukitaka habari za mastaa wa kinaijeria tembelea mtandao wao wa Nairaland, ni kama JF ya yuko. Ingia jukwaa la celebrities, huko taarifa hii unayoulizia inajadiliwa kwa kina. Watu wako deep sana huko, ila jiandae na pidgin English.

vipi Kenya ni mtandao wao gani kama JF watu wanakojadiliana in deep nyanja zote sasa hadi burudani?
 
Hivi ni kweli hawa jamaa Peter na Paul hawapo pamoja tena? Au ni kiki tu ya kutengeneza pesa??
 
Family Business.
Ndoa..tangia jamaa waoe mambo yamechange kabisa..
Katika nyimbo walizo release as solo artist me nimeipenda sana Ya Paul - Call heaven
 
Siku zote mkifanya business kindugu lazima shida itokeee

Kaka yao anataka mali zao wagawane sawa ingali yeye ni just manager wao so Peter akakataa and pia peter anaona management yao kama haiwasaidiii yan kaka yao Jude so akataka wabadil management, paul akagoma.

Hapo ndo shida kubwa ilipo bt huu ugomv upo tangu mda sana coz inasemekana peter ameacha kukaa squareville kama four years
 
Siku zote mkifanya business kindugu lazima shida itokeee

Kaka yao anataka mali zao wagawane sawa ingali yeye ni just manager wao so Peter akakataa and pia peter anaona management yao kama haiwasaidiii yan kaka yao Jude so akataka wabadil management, paul akagoma.

Hapo ndo shida kubwa ilipo bt huu ugomv upo tangu mda sana coz inasemekana peter ameacha kukaa squareville kama four years
Kumbe Jude ndo chanzo cha matatizo..aisee jamaa kazingua sana
 
Back
Top Bottom