RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Tuweni makini na wanasiasa Aina ya mbowe na kundi lake " Leo nimeamini kwanini mwendazake aliwaminya kutofanya siasa , alijuwa hawana hoja yoyote Zaidi ya porojo.
Alichokosea JPM NI kubana cake ya taifa kuliwa na Wana ccm pekee ndiyo iliyopigiwa kelele na hawa Jamaa !siamini upinzani tulionao Tanzania unamikakati ya kuchukua dola!
Mbowe na kundi lako mtaendelea kutumika na ccm Hadi lini ? Ila nawakubali msipopewa mkate mnakelele hatari
Alipobana mwamba wa chato aliitwa majina yote dikteta, muuaji na mporaji ! Leo hata wakina zitto tunakutana tunagonga cheers huku wakisifia serikali ya sasa Raha sana.huwez sikia kelele hata miradi inayoenda kwa kusinyaa haisemwi.
Alichokosea JPM NI kubana cake ya taifa kuliwa na Wana ccm pekee ndiyo iliyopigiwa kelele na hawa Jamaa !siamini upinzani tulionao Tanzania unamikakati ya kuchukua dola!
Mbowe na kundi lako mtaendelea kutumika na ccm Hadi lini ? Ila nawakubali msipopewa mkate mnakelele hatari
Alipobana mwamba wa chato aliitwa majina yote dikteta, muuaji na mporaji ! Leo hata wakina zitto tunakutana tunagonga cheers huku wakisifia serikali ya sasa Raha sana.huwez sikia kelele hata miradi inayoenda kwa kusinyaa haisemwi.