Kwanini kitimoto haichunwi ngozi?

Kwanini kitimoto haichunwi ngozi?

Yesu alisema vitu haramu ni vile vitokavyo moyoni mfano husuda wivu chuki ulafi nk lakin kiingiacho mdomoni kisha kutoka katika njia ya haja kubwa kisha kuingia shimoni sio najisi ,acheni itikadi za kina musa😎😎😎
Kwa mujibu wa allah hiyo ni haramu.

Acha ubishi dogo
 
Nyama zote tamu na zenye afya kwa binaadamu , Kuku, Nguruwe ,samaki Huwa hazichunwi ngozi. Haya manyama yenye sumu kama ya ngombe ,mbuzi ,kondoo, ngamia ndio huchunwa ngozi kuondoa sumu
 
Nyama zote tamu na zenye afya kwa binaadamu , Kuku, Nguruwe ,samaki Huwa hazichunwi ngozi. Haya manyama yenye sumu kama ya ngombe ,mbuzi ,kondoo, ngamia ndio huchunwa ngozi kuondoa sumu
Nigeria wanakula ngozi za Ng'ombe na Mbuzi, wanaita "Ponmo". Kuna kundi kubwa pia la WaNigeria hawachuni ngozi Ng'ombe au Mbuzi, wanawatengeneza kama kitimoto tu.

Makongoro na mkia havichunwi ngozi pia.
 
Ile ni kama samaki mkuu Kila kitu kina thamani ata kwato zake wanatengenezea kongoro, utumbo wanatengenezea kichuri
 
Kwanini nyama ya nguruwe huwa haichunwi ngozi kama ya Ng'ombe au Mbuzi badala yake inatolewa tu manyoya kwa kukwanguliwa?
Ngoja kwanza nitete na bwana Kimaro.
 
Back
Top Bottom