Kwanini kitambulisho cha taifa kina muda wa kuisha matumizi

Ndani ya Miaka 10 kuna watu hufa, watu hubadili makazi, watu huoa na kuolewa, watu hubadili majina, watu hubadilika sura

Hivyo serikali inataka iwe na uhakika wa mtu husika ndo maana kitambulisho huhuhishwa
 
Back
Top Bottom