peedee dise
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 203
- 124
Hapa ndipo naiona raha ya Uislam. Kitabu kimoja tu kisicho na shaka ndani yake Qur'an.
Qur'an 2:
KWA JINA LA MWENYEEnZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Alif Lam Mim. 1
2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu, 2
[/NdoNdo hivo ndugu yangu Mungu si yupo tutaona uko mbeleSi kwamba mimi siielewi Historia,ninachokifahamu mimi ni kuwa kuna tatizo kubwa la watu wengi,hasa Protestants,kuhusianisha Matatizo ya Dola ya Kirumi na jinsi walivyowatesa Watu na Kanisa Katoliki,wanasahau kuwa hata Kanisa nalo lilionja joto la jiwe kwa kupingwa Vikali na Viongozi wa Kirumi,lilikuja kupata Kaunafuu kidogo Mwanzoni mwa Karne ya nne B.K.lkn mateso yaliendelea.Ndio maana unasikia hbr za Wafia dini wa Kikatoliki,jiulize Waliuawa na nani?.Any way kila mmoja achukue Hamsini zake,tutaonana mbele ya haki.
wametokana na Malaika walioasi na kufanyamapenzi na binadamuWanefili sio malaika, Kasome vizuri bible yako.
Kwa lugha ya butiama naweza kuzuia kifo?Mojawapo ya verse kutoka kwenye kitabu cha gospel of Thomas ni hii hapa mkuu:
1. And he said, "Whoever discovers the interpretation of these sayings will not taste death."
2. Jesus said, "Those who seek should not stop seeking until they find. When they find, they will be disturbed. When they are disturbed, they will marvel, and will reign over all. [And after they have reigned they will rest.]"
NaOmba PDFMojawapo ya verse kutoka kwenye kitabu cha gospel of Thomas ni hii hapa mkuu:
1. And he said, "Whoever discovers the interpretation of these sayings will not taste death."
2. Jesus said, "Those who seek should not stop seeking until they find. When they find, they will be disturbed. When they are disturbed, they will marvel, and will reign over all. [And after they have reigned they will rest.]"
PDF hiyo hapo mkuu! View attachment Gospel of Thomas Lambdin.pdfNaOmba PDF
NaOmba PDF
Kwa kuangalia tu mtu mweupe akili zake na za mtu mweusi, nani hapo ni uzao uliochafuliwa na hao aliens,
Dhehebu lipi lina kitabu hiki? achana kujiita mkatoliki kwani andika yako na lawama zako huwezi kuwa mkatoliki kabisa!Kuna bonge la kitabu lilitolewa pia lilikuwa linaitwa gospel of Thomas!....... Nafikiri hiki ndo kilikuwa kitabu bora kabisa katika bibilia!.....Sisi wanadamu hasa wa dini ya kikatoliki ni wabaya sana!
Exactly kuna biblia ya kirusi inasema watu wakifa watenda maovu watapelekwa kwenye shimo la theluji ya baridi kali sana, tofauti na biblia za Africa kwamba wenye dhambi watapelekwa jehenamu kwenye moto wa milele muzungu inatuchezea kweli?tatizo la watu wengi ni mareligious na sio spritual so kuna vitu hawataweza kuvijua maishani ! kuna biblia 6000 huku duniani .achana na hii moja ya mzungu aliyoiframe kwa manufaa yake hapa africa
Uislam pia ndio walewale ni dini ya mapokeo ina mapungufu mengi, hapa mimi nina uwezo wa kuorodhesha mapungufu kumi na nne fasta.
True. Agenda zote zipo kwenye movies. Na zinakuwa sponsored big na kuoneshwa dunia nzima.Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....
Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....
Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...
Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....
Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....
Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....
Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....
Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?
Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?
Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....
Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?
Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....
Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
Kusema tu kuna biblia inasema--- bila ya kuionesha biblia yenyewe na mstari usemao hivo,huo ni uvuvuzela tu.Exactly kuna biblia ya kirusi inasema watu wakifa watenda maovu watapelekwa kwenye shimo la theluji ya baridi kali sana, tofauti na biblia za Africa kwamba wenye dhambi watapelekwa jehenamu kwenye moto wa milele muzungu inatuchezea kweli?