Elviejo
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 368
- 193
aiseeee umenikosha wew kumbe tupo pamoja sana [/QUOTE]Anhaaa ileee
nmeiona mwaka huu But hata mimi jina sikumbuki
niliifuma kwa laptop ya mtu
kuna mfalme mmoja alimpika mdada kwenye ng'ombe wa shaba sijui
Halafu hao Gods walivoona watu wanataabika sana mmoja akaja duniani akatumbukia kwa maji likatokea kama sunami.
na hio nchi wanaishi mlimani
Mwishoni mwa hio battle ndio hao Gods wakaja,maana kuna mtu aliyapa nguvu yalemawatu. ilikua sad kuona Gods wanakufa, but sikuelewa maana ya ile movie
Inaitwa Clash of the titans