Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Anhaaa ileee
nmeiona mwaka huu But hata mimi jina sikumbuki
niliifuma kwa laptop ya mtu
kuna mfalme mmoja alimpika mdada kwenye ng'ombe wa shaba sijui
Halafu hao Gods walivoona watu wanataabika sana mmoja akaja duniani akatumbukia kwa maji likatokea kama sunami.

na hio nchi wanaishi mlimani
Mwishoni mwa hio battle ndio hao Gods wakaja,maana kuna mtu aliyapa nguvu yalemawatu. ilikua sad kuona Gods wanakufa, but sikuelewa maana ya ile movie
aiseeee umenikosha wew kumbe tupo pamoja sana [/QUOTE]
Inaitwa Clash of the titans
 
Unamlaumu mtu ambae kimsingi unakubali aliongozwa na roho mtakatifu ikiwa wewe huyo roho mtakatifu huna? Kwanini unatanguliza mtu anaetaka kusoma vtabu hivyo awe ana Imani thabiti huoni unamchagulia mtu jinsi ya kuelewa maana hapa watu wamesema kuwa huyo jamaa ni miongoni mwa binadamu wawili ambao hawajafa Bali walichukuliwa na mungu na kwamba aliongea na mungu, na kama ujuavyo kwenye biblia wapo waandishi walioandika kwa kuhadithiwa tu na ndio unaweka angalizo mtu awe na Imani sasa amini alieona au aliehadithiwa?
Lengo kuu la Mungu kuhusu Maandiko, ( Biblia ), ni kumuelekeza mwanaadamu kufika kwa Mungu baada ya anguko la Eden.

Na maandiko hayo, yanakamilishwa katika kuipitia njia pekee ya kufika kwa Mungu, yaani Yesu Kristo.

Kumbuka kuwa unaposema baada ya Mungu Baba, anayefuatia kwa uwezo ni Lucifer, tayari unaondoa nafasi ya Mungu Mwana(Yesu Kristo), pia Mungu Roho mtakatifu.

Kama unadiriki kuandika hivi, basi ujue tayari umepotosha ukweli. Tangu lini Lucifer akawa na uwezo zaidi ya Yesu Kristo ambaye alimuumba huyo Lucifer pamoja na hao malaika walioshindwa vita katika makao ya Mungu..

Kwa kusoma, kwa kukariri kitabu cha Enoch, pamoja na kufahamu majina ya malaika wote wema na waovu, hakumsaidii Mtu yoyote katika kurithi ufalme wa Mbinguni.

Soma habari za Yesu Mwana wa Mungu ambaye atawahukumu walio hai na wafu, na kumtupa Lucifer katika ziwa la moto, pamoja na hao Giants walioandikwa katika hicho kitabu cha Enoki..
 
Kumbe unajua unalolifanya mkuu,Apocryphal books vipo vingi,sana katika agano la kale(Old Testament), na vingi vimeongezeka mara tu baada ya uasi wa Wayahudi dhidi ya dola la Kiyunani(Greece empire) 331 BK - 168 BK,Kipindi hiki ndipo vitabu vingi vya kiharakati (Jews activist books)viliandikwa na lengo likiwa kueneza propaganda na kuwatia moyo(Unit), wayahudi kupambana na utawala wa Kiyunani,vingi vimeandikiwa Palestina na Misri hasa mji wa Alexandria (uliopata jina kutokana na jina la mtalawa wa kigriki,Alexander The Greet(333 BK -),miongon wa vitabu ni Maongezeko ya kitabu cha Ester(Ester's Additional chapters) na Daniel (BELI NA JOKA),TOBITHI,HEKIMA YA SOLOMON, WAMAKABAYO KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI,NA HEKIMA YA SILA,vitabu hivi havihusishwi kama maandiko matakatifu kwa sababu zifuatazo;
1:Ni vitabu vinavyohamasisha watu mambo ya kisiasa si ya Kidini(Political reformations writings)Mfano,Vitabu vya makabayo

2:Hayina mapatano vitabu vingine vya Kiteolojia kama Taurat na Zaburi(Zab'ur),na Manabii(Nab-eem)(Non correspondent doctrines)Mfano,Beli na joka

3:Havina uhalisia(Fictitious writings),Mfano Tobithi,sura ya ini la samaki kutibu majini.

4;Kutopatana/kutolingana kwa matukio na vipindi vya kihistoria(Chronicles inaccuracy),

5:Ubinafsi wa uhusika,kuelezea matendo mema tu ya muhusika(Individuality) ambaye ni mwandish mwenyew

6:Kutojulikana kwa waandishi

7:Kuingiza mambo ya tamaduni na uganga (Witchcraft norms & traditions)yasiyopatana na neno la Mungu.
8:Muda wa uandishi,Biblia imeandikwa katika mpangilio unaofuatana(Chronological order), kati ya matukio na muda,Theologically Kitabu cha Mwisho kabisa kilichovuviw ni Malaki(Malach) cheny sura(chapters) 4 kinachonekana kimeandikwa 445 BC,na kutoka hapo kikatoa ahad ya kuja KRISTO NA AGANO JIPYA,rejea Malak 4:4-6.Baada ya hapo Mung akakoma kunena had alipotuma malaika kwa Zacharia na Maryamu,hivyo katika kipindi hiki cha ukimya(NON PROPHETIC TIME)ndipo vilipo ibuka hivyo vingine kama nilivyotangulia eleza.
NB,NITAKUW TAYAR KUJIBU PIA KUHUSIANA NA VITABU VINGINE VYA INJIL MFANO INJIL YA THOMAS NA BARNABAS.
Natanguliza shukrani, be blessed as you will find this comment useful!!.
Dukeson!!.
Uko sawa kabisa brother, kitabu kinachoonyesha habari za uganga na majini hakifai kusomwa na mkristo . Jina la Yesu tosha, .
 
Lengo kuu la Mungu kuhusu Maandiko, ( Biblia ), ni kumuelekeza mwanaadamu kufika kwa Mungu baada ya anguko la Eden. Na maandiko hayo, yanakamilishwa katika kuipitia njia pekee ya kufika kwa Mungu, yaani Yesu kristo. Kumbuka kuwa unaposema baada ya Mungu Baba, anayefuatia kwa uwezo ni Lucifer, tayari unaondoa nafasi ya Mungu Mwana(Yesu Kristo), pia Mungu Roho mtakatifu. Kama unadiriki kuandika hivi, basi ujue tayari umepotosha ukweli. Tangu lini Lucifer akawa na uwezo zaidi ya Yesu Kristo ambaye alimuumba huyo Lucifer pamoja na hao malaika walioshindwa vita katika makao ya Mungu.. Kwa kusoma, kwa kukariri kitabu cha Enoch, pamoja na kufahamu majina ya malaika wote wema na waovu, hakumsaidii Mtu yoyote katika kurithi ufalme wa Mbinguni .. Soma habari za Yesu Mwana wa Mungu ambaye atawahukumu walio hai na wafu, na kumtupa Lucifer katika ziwa la moto, pamoja na hao Giants walioandikwa katika hicho kitabu cha Enoki..
Mkuu kwa kifupi tu wewe unaamini huyo Enoch alikuwa nabii wa mungu na kwamba aliyoyaandika aliongozwa na roho mtakatifu au sivyo?
 
Lengo kuu la Mungu kuhusu Maandiko, ( Biblia ), ni kumuelekeza mwanaadamu kufika kwa Mungu baada ya anguko la Eden. Na maandiko hayo, yanakamilishwa katika kuipitia njia pekee ya kufika kwa Mungu, yaani Yesu kristo. Kumbuka kuwa unaposema baada ya Mungu Baba, anayefuatia kwa uwezo ni Lucifer, tayari unaondoa nafasi ya Mungu Mwana(Yesu Kristo), pia Mungu Roho mtakatifu. Kama unadiriki kuandika hivi, basi ujue tayari umepotosha ukweli. Tangu lini Lucifer akawa na uwezo zaidi ya Yesu Kristo ambaye alimuumba huyo Lucifer pamoja na hao malaika walioshindwa vita katika makao ya Mungu.. Kwa kusoma, kwa kukariri kitabu cha Enoch, pamoja na kufahamu majina ya malaika wote wema na waovu, hakumsaidii Mtu yoyote katika kurithi ufalme wa Mbinguni .. Soma habari za Yesu Mwana wa Mungu ambaye atawahukumu walio hai na wafu, na kumtupa Lucifer katika ziwa la moto, pamoja na hao Giants walioandikwa katika hicho kitabu cha Enoki..
Good
 
The Book of Enoch is any of several pseudepigraphal (falsely attributed works, texts whose claimed authorship is unfounded) works that attribute themselves to Enoch, the great-grandfather of Noah; that is, Enoch son of Jared (Genesis 5:18). Enoch is also one of the two people in the Bible taken up to heaven without dying (the other being Elijah), as the Bible says "And Enoch walked with God, and he was not; for God took him." (Genesis 5:24; see also Hebrews 11:5). Most commonly, the phrase "Book of Enoch" refers to 1 Enoch, which is wholly extant only in the Ethiopic language.

The biblical book of Jude quotes from the Book of Enoch in verses 14-15, “Enoch, the seventh from Adam, prophesied about these men: ‘See, the Lord is coming with thousands upon thousands of his holy ones to judge everyone, and to convict all the ungodly of all the ungodly acts they have done in the ungodly way, and of all the harsh words ungodly sinners have spoken against him.’” But this does not mean the Book of Enoch is inspired by God and should be in the Bible.

Jude’s quote is not the only quote in the Bible from a non-biblical source. The Apostle Paul quotes Epimenides in Titus 1:12 but that does not mean we should give any additional authority to Epimenides’ writings. The same is true with Jude, verses 14-15. Jude quoting from the book of Enoch does not indicate the entire Book of Enoch is inspired, or even true. All it means is that particular verse is true. It is interesting to note that no scholars believe the Book of Enoch to have truly been written by the Enoch in the Bible. Enoch was seven generations from Adam, prior to the Flood (Genesis 5:1-24). Evidently, though, this was genuinely something that Enoch prophesied – or the Bible would not attribute it to him, “Enoch, the seventh from Adam, prophesied about these men…” (Jude 14). This saying of Enoch was evidently handed down by tradition, and eventually recorded in the Book of Enoch.

We should treat the Book of Enoch (and the other books like it) in the same manner we do the other Apocryphal writings. Some of what the Apocrypha says is true and correct, but at the same time, much of it is false and historically inaccurate. If you read these books, you have to treat them as interesting but fallible historical documents, not as the inspired, authoritative Word of God.
 
Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.

Hapo kwenye bold ni sura ipi ya kitabu hicho inasema hivyo......I agree malaika waliwalala wanawake wanadamu wakawazaa wanefili "the Nephillims" au majitu.......
 
Hapo kwenye bold ni sura ipi ya kitabu hicho inasema hivyo......I agree malaika waliwalala wanawake wanadamu wakawazaa wanefili "the Nephillims" au majitu.......
Wacha kuongopa hutambui hata elimu ya dini ati malika walizaa na wanadamu dah wewe unaakili kweli!?

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Mkuu kama ndivyo ulivyoelewa hivi, basi hukukielewa kitabu cha Enoch! Na pengine ni kwa sababu ya lugha!
Enoch alipozaliwa alikuwa ni mtu mwenye muonekano wa tofauti manaa hata ngozi yake ilikuwa inang'aa sana.
Sasa wakati wa enzi hizo, wana wa Mungu (malaika) waliwatamani wanawake wa kibinadamu. Moja wa malaika wao kiongozi alikuwa anaitwa Azazel na wakashuka wakawachumbia wana wa binadamu, wakaingia kwao wakazaa watoto. Hao watoto walikuwa wanaitwa Wanefil.
Hao kina Azazel wakawafundisha wana wa binadamu juu ya mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujipamba, kujipodoa na hata kutengeneza vioo vya kujiangalia. Walifanya machukizo mengi sana mbele za Mungu.
Basi hao wanefil wana wa hawa malaika walikuwa ni madubwana na walikuwa wamekuwa mzigo mkubwa mbele za jamii maaana walikula vyakula vyote vikaisha, wanyama, ng'ombe n.k.
Basi binadamu wakamlilia Mungu juu ya hao wanefil maana walikuwa wameilemea nchi.
Sasa kwa matokeo hayo Mungu akaagiza kuwa kina Azazel na malika wengine wafungwe kwenye gereza huko kuzimu mpaka siku za mwisho, pia akawatupa hao wanefil huko kuzimu ndio wakawa majini au pepo wabaya unaowasikia sasa hivi.
Enoch ndiye aliyeitwa na Mungu mpaka mbinguni na wakati anaelekea huko mbinguni kuongea na Mungu nadhani alikuwa amefika kwenye mbingu ya tatu ndipo alipokutana na kina Azazel wakawa wanamsihi awaombee msahmaha kwa Mungu kutokana na matendo yao ili waachiliwe...
Basi kufika huko mbinguni, Enoch alipanda mpaka mbingu ya saba kuongea na Mungu juu ya mambo mbali mbali na ndipo Mungu akampa Enoch kazi ya kwenda kuwahukumu hao malaika wakosefu kina Azazel...
Kwa hiyo sio kweli kuwa Wanefil ndio walikuja kuwa watu weusi... Bali ndio walikuja kuwa majini!
Na hao wanefil ni madubwana makubwa kweli kweli. Yani Mnefil mmoja wanaigina kina Le Mutuz Watano hivi!
Uko deep

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom