Ni vigumu kubeza kazi aliyofanya kuimarisha chama kilichoelekea kufa kabisa. Amejitahidi kwakweli. Lakini hali ya CCM mkoa anaotoka si ya kuelezea, alipokelewa na kichapo cha kata 4 wakati ameteuliwa kuwa katibu mkuu.
Akapata balaa lingine baada ya karibu viongozi wote wa mkoa huo kumfuata Lowassa Ukawa kabla ya kupata kipigo cha kuambulia jimbo moja ktk uchaguzi mkuu mkoa mzima. Hali ilikuwa mbaya zaidi kwa upande wa madiwani kwan ktk majimbo matatu ya Arumeru Magharibi, Mashariki na Arusha mjini Ccm ilipata kata 3
Baada ya hapo Arusha hawakuridhika, kwenye uchaguzi wa kumchagua Lema juzi ktk vituo zaidi ya 500 Ccm walipgiwa vituo vyote isipokuwa 10 tu!. (kumbuka Lema si mzaliwa wa Arusha) Kinana aliongozana na Mkapa na Mwigulu kujaribu kuokoa jahazi.
Kinana na Ccm yake kwa nini hawakubaliki nyumbani?
Akapata balaa lingine baada ya karibu viongozi wote wa mkoa huo kumfuata Lowassa Ukawa kabla ya kupata kipigo cha kuambulia jimbo moja ktk uchaguzi mkuu mkoa mzima. Hali ilikuwa mbaya zaidi kwa upande wa madiwani kwan ktk majimbo matatu ya Arumeru Magharibi, Mashariki na Arusha mjini Ccm ilipata kata 3
Baada ya hapo Arusha hawakuridhika, kwenye uchaguzi wa kumchagua Lema juzi ktk vituo zaidi ya 500 Ccm walipgiwa vituo vyote isipokuwa 10 tu!. (kumbuka Lema si mzaliwa wa Arusha) Kinana aliongozana na Mkapa na Mwigulu kujaribu kuokoa jahazi.
Kinana na Ccm yake kwa nini hawakubaliki nyumbani?