JK ni mwepesi sana kutembelea maeneo au matukio mbalimbali ya kimaendeleo yanayohusisha utendaji wa serikali yake i.e utekelezaji wa ilani ya chama chake, nashangazwa na ukimya wake kuhusu treni ya Mwakyembe Dar je hajapendendezwa na ubunifu huo wa waziri wake Mwakyembe?
NAWASILISHA
NAWASILISHA