Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
HUO MRADI NAO UNABOA SANA! MRADI KAMA HUO NA MABEHEWA YA KIAZAMANI KAMA HAYO ULIFANYWA uLAYA NA MAREKANI KARNE YA TISA, LEO HII UJE UFUFULIWE BONGO? TUNAONEKANA KWA JINSI GANI TUPO NYUMA kimaendeleo!hzi behewa zinatakiwa kung'aa kimakopo ya sterrer na sio kichuma chuma tuu! hebu kaone huko Kenya treni zao za mjini zinavyovutia ukiwa ndani. kweli Ujamaa na kujitegemea umeiangamiza nchi vibaya sana kupita hata vita vya wenyewe kwa wenyewe.kwani kwenye barabara alikuwa anazindua saburi lenu?