Kwanini Kikwete alikataa kumleta Ballali?

Thread yangu niliyoianzisha hapa ikapigwa vita sana na kuhamishwa...Ile iliyokuwa ikisema.."Kikwete akataa Ballali Asiletwe"


Mkuu Mushi,


Heshima mbele, ulipoiweka ile kitu, ninakumbuka jinsi ulivyotukanwa tena na some of the bigs hapa, wanaojiita waelimishaji, mpaka nilipokuja to the rescue ndipo topic ikasimama na nikasema hivi balozi wa US hawezi kusema openly to the public kuwa rais wenu hataki tumrudishe Balali, lakini kwa maneno aliyoyasema kwa lugha ya ki-diplomasia ndivyo exactly alivyokuwa akisema,

Unajua huwa ninafurahia sana ukweli uliotabiriwa mapema kama wako on this, unapokuja kutimia na watu kukumbushwa, I love it mkuu, keep it up! Ngoja niitafute ili tujikumbushe kidogo na tuone unafiki ulipo!
 
Jmushi ni rahisi kudandia treni waliloanzisha wengine! Hata hao wanasheria wako walikuwa wapi wakati wengine tunapiga kelele? Ni yale yale yaliiyotokea wakati wa Amina. Alipokuwa hai wengine walituona machizi amekufa ndio wanajitokeza kuhoji. Ballali alipokuwa hai tulijenga hoja sisi na kuonesha tangu mwanzo nini kinaandaliwa. Tukapiga kelele ya kutaka Ballali arudishwe na wengine tukapokea vitisho kwa kuffanya hivyo. Leo amekufa ndio kina "jmushi" wanajitokeza na kujifanya wanahoji maswali ambayo hawataki kutafuta majibu yake.

Hao wanasheria walikuwa wapi muda wote huu? Nyie tuzugeni tu mtaona maajabu!!!
 
Jmushi ni rahisi kudandia treni waliloanzisha wengine! Hata hao wanasheria wako walikuwa wapi wakati wengine tunapiga kelele? Ni yale yale yaliiyotokea wakati wa Amina. Alipokuwa hai wengine walituona machizi amekufa ndio wanajitokeza kuhoji. Ballali alipokuwa hai tulijenga hoja sisi na kuonesha tangu mwanzo nini kinaandaliwa. Tukapiga kelele ya kutaka Ballali arudishwe na wengine tukapokea vitisho kwa kuffanya hivyo. Leo amekufa ndio kina "jmushi" wanajitokeza na kujifanya wanahoji maswali ambayo hawataki kutafuta majibu yake.

Hao wanasheria walikuwa wapi muda wote huu? Nyie tuzugeni tu mtaona maajabu!!!

Wapi wewe...!? ulimtetea Ballali akiwa hai hapa Marekani wakati huu mjadala ukiendelea January!

Tena akiwa nje ya hospitali kuwa haitajiki!

Mpaka wakati anakufa ukisema kafa huru na tusahahu!

Tena wewe peke yako kwa miujiza ya wengi ukiwa na access ya kipekee kuhusu info za kifo hiki chenye utata hata wakati wa mazishi yenyewe!

Nani anayejua kuwa hujawahi kukutana na Ballali ile january ulipokuwa ukimtetea kwa miguvu yote wao na Kikwete?

Bado una muda MKJJ!

Ni kweli ulikuwa upande wa wazalendo kabla..Ukabadilika...Field Marshall naye alikuwa ngangari...Sasa na yeye anaelekea uko kwako!

Narudia tena ndugu zangu...Huu ni ushauri wangu..Ni tofauti na mnavyofikiria nyie..Ama mnavyowashauri watu kama Mh Zitto!

Nawaomba muelewe hiki kizazi kipya ni mbegu mbaya!

Muangalie msije mka facilitate vifo vyenu kisiasa na imani yenu kwa watanzania kuyumba!

Narudia kuweni makini!
 
Wapi wewe...!? ulimtetea Ballali akiwa hai hapa Marekani wakati huu mjadala ukiendelea January! Tena akiwa nje ya hospitali kuwa haitajiki!

of course... tofauti kubwa kati ya mimi na wewe ni kuwa naamini katika utawala wa sheria na uhuru wa watu. Ballali hakuhitaji kutetewa na mtu yeyote kilichohitajika ni kutetea utawala wa sheria ambao tulikuwa tunaupigia kelele. Kwamba kushughuulikia suala la EPA nje ya utawala wa sheria ni makosa.

Kwa mawazo yako hata hivyo wewe unataka mtu akishutumiwa tu basi ana hatia.

Mpaka wakati anakufa ukisema kafa huru na tusahahu!


Hapa ndio wewe unaonekana ni mgumu kuelewa. Ballali kafa mtu huru siyo mimi ninayesema that IS A FACT. Ballali hakufunguliwa kesi yoyote, hakuwa anatafutwa na chombo chochote cha usalama, hakuna hata kesi ya Mahakama ya mwanzo zaidi ya shutuma za magazetini na kwenye majukwaa ya kisiasa. Kafa mtu huru, hutaki? Sasa wewe umebakia unamlaumu mtu ALIYEKUFA HURU badala ya kuwaulilza walioacha ilo litokee.

Kama serikali haikuwa na ushahidi au haikutaka kumfungulia kesi, kosa lake Ballali ni nini? Ulitaka ajipeleke mwenyewe mahakamani na kujifungulia kesi?!

Tena wewe peke yako kwa miujiza ya wengi ukiwa na access ya kipekee kuhusu info za kifo hiki chenye utata hata wakati wa mazishi yenyewe!

Siyo access ni the audacity to dare go where no one else dares to! ungeacha kuuliza maswali bila kutafuta majibu ungepata hiyo hiyo access. Wewe umekaa kuuliza tu badala ya kwenda kutafuta majibu!

Nani anayejua kuwa hujawahi kukutana na Ballali ile january ulipokuwa ukimtetea kwa miguvu yote wao na Kikwete?

Uongo hauna rangi!

Bado una muda MKJJ!
Ni kweli ulikuwa upande wa wazalendo kabla..Ukabadilika...Field Marshall naye alikuwa ngangari...Sasa na yeye anaelekea uko kwako!
Narudia tena ndugu zangu...Huu ni ushauri wangu..Ni tofauti na mnavyofikiria nyie..Ama mnavyowashauri watu kama Mh Zitto!
Nawaomba muelewe hiki kizazi kipya ni mbegu mbaya!
Muangalie msije mka facilitate vifo vyenu kisiasa na imani yenu kwa watanzania kuyumba!
Narudia kuweni makini!

mashujaa wa kwenye picha huwa wanaonekana kwenye picha tu! Mapambano haya ya kifikra tutayashinda na kuwashinda watu wazugaji kama wewe ambao lengo lao ni kupotosha ukweli ili kuficha ufisadi. Umeng'ang'ania kwa siku kadhaa sasa kuhamisha hoja toka kwenye mafisadi na wezi wa fedha zetu na badala yake unang'ang'ania mzoga!

Haya mapambano hayawezi kushinda tukiwa na watu kama wewe kwani mnarudisha nyuma juhudi zetu za kuwafichua mafisadi. Na katika hili kinachoangaliwa si maswali bali vitendo vya kweli. Kukaa kuuliza tu na kurusha maswali hakusaidii kama huendi na kutafuta majibu.

Bahati mbaya sana sisi wengine si wanasiasa ni wapambanaji na tutaendelea kupambana hata tukiwaona impostors wa kisiasa kama wewe. Muda mrefu umekufa ukipotosha watu na kuwazuga na kuwazulia watu ili kuchafua majina yao. Badala ya kuangalia hoja unabakia kutunga uongo ndani ya hoja za uongo ukiamini unasema kweli.

Na wewe lazima ushindwe kwani hauna nafasi katika mapambano haya. Tumeona wazugaji kabla yako na tukawatambua kwa rangi zao zinazojifanya ni za kizalendo kumbe ni "namba ile ile".
 
of course... tofauti kubwa kati ya mimi na wewe ni kuwa naamini katika utawala wa sheria na uhuru wa watu. Ballali hakuhitaji kutetewa na mtu yeyote kilichohitajika ni kutetea utawala wa sheria ambao tulikuwa tunaupigia kelele. Kwamba kushughuulikia suala la EPA nje ya utawala wa sheria ni makosa.

Kwa mawazo yako hata hivyo wewe unataka mtu akishutumiwa tu basi ana hatia.

Mpaka wakati anakufa ukisema kafa huru na tusahahu!

Hapa ndio wewe unaonekana ni mgumu kuelewa. Ballali kafa mtu huru siyo mimi ninayesema that IS A FACT. Ballali hakufunguliwa kesi yoyote, hakuwa anatafutwa na chombo chochote cha usalama, hakuna hata kesi ya Mahakama ya mwanzo zaidi ya shutuma za magazetini na kwenye majukwaa ya kisiasa. Kafa mtu huru, hutaki? Sasa wewe umebakia unamlaumu mtu ALIYEKUFA HURU badala ya kuwaulilza walioacha ilo litokee.

Kama serikali haikuwa na ushahidi au haikutaka kumfungulia kesi, kosa lake Ballali ni nini? Ulitaka ajipeleke mwenyewe mahakamani na kujifungulia kesi?!



Siyo access ni the audacity to dare go where no one else dares to! ungeacha kuuliza maswali bila kutafuta majibu ungepata hiyo hiyo access. Wewe umekaa kuuliza tu badala ya kwenda kutafuta majibu!



Uongo hauna rangi!



mashujaa wa kwenye picha huwa wanaonekana kwenye picha tu! Mapambano haya ya kifikra tutayashinda na kuwashinda watu wazugaji kama wewe ambao lengo lao ni kupotosha ukweli ili kuficha ufisadi. Umeng'ang'ania kwa siku kadhaa sasa kuhamisha hoja toka kwenye mafisadi na wezi wa fedha zetu na badala yake unang'ang'ania mzoga!

Haya mapambano hayawezi kushinda tukiwa na watu kama wewe kwani mnarudisha nyuma juhudi zetu za kuwafichua mafisadi. Na katika hili kinachoangaliwa si maswali bali vitendo vya kweli. Kukaa kuuliza tu na kurusha maswali hakusaidii kama huendi na kutafuta majibu.

Bahati mbaya sana sisi wengine si wanasiasa ni wapambanaji na tutaendelea kupambana hata tukiwaona impostors wa kisiasa kama wewe. Muda mrefu umekufa ukipotosha watu na kuwazuga na kuwazulia watu ili kuchafua majina yao. Badala ya kuangalia hoja unabakia kutunga uongo ndani ya hoja za uongo ukiamini unasema kweli.

Na wewe lazima ushindwe kwani hauna nafasi katika mapambano haya. Tumeona wazugaji kabla yako na tukawatambua kwa rangi zao zinazojifanya ni za kizalendo kumbe ni "namba ile ile".

MKJJ imposter ni wewe umeshanunuliwa!
Hata mimi nilikuwa mshabiki mkubwa wa mawazo yako!
Hata Zitto!
Lakini umenunuliwa wewe usibishe!
Unafikiri ni wote wenye fikra makengeza?
 
MKJJ imposter ni wewe umeshanunuliwa!
Hata mimi nilikuwa mshabiki mkubwa wa mawazo yako!
Hata Zitto!
Lakini umenunuliwa wewe usibishe!
Unafikiri ni wote wenye fikra makengeza?

wenye fikra za makengeza wanaonekana kwa jinsi wanavyotazama!
 
wenye fikra za makengeza wanaonekana kwa jinsi wanavyotazama!

Mwanakijiji una washabiki wengi!
Sina la ziada hapo.
Ni ushauri wangu tu!
Tunakuhitaji bado upande wa wazalendo!
Hilo unalifahamu!
Lakini umekomalia kunifanya nionekane kituko!
Watu hawaoni hivyo..Na wewe nafikiri umeshajua hivyo!
 
Mwanakijiji una washabiki wengi!
Sina la ziada hapo.
Ni ushauri wangu tu!
Tunakuhitaji bado upande wa wazalendo!
Hilo unalifahamu!
Lakini umekomalia kunifanya nionekane kituko!
Watu hawaoni hivyo..Na wewe nafikiri umeshajua hivyo!

ni wewe mwenyewe unajifanya kituko, kwa sababu ungekuwa mpiganaji kweli ungewakomalia wahusika wa sakata la EPA siyo Maiti!

Ni wewe uliyewapotosha watu hadi kumchafulia jina kijana wa watu Daudi Kinyaga licha ya kujaribu kukuonesha

Ni wewe uliyesema kuwa Ballali amesema Kikwete alimtuma amdanganye Meghji

Ni wewe uliyesema Meghji ndiye aliyeidhinisha fedha za EPA

Ni wewe ... should I go on to expose the deception of your arguments?
 
ni wewe mwenyewe unajifanya kituko, kwa sababu ungekuwa mpiganaji kweli ungewakomalia wahusika wa sakata la EPA siyo Maiti!

Ni wewe uliyewapotosha watu hadi kumchafulia jina kijana wa watu Daudi Kinyaga licha ya kujaribu kukuonesha

Ni wewe uliyesema kuwa Ballali amesema Kikwete alimtuma amdanganye Meghji

Ni wewe uliyesema Meghji ndiye aliyeidhinisha fedha za EPA

Ni wewe ... should I go on to expose the deception of your arguments?

Hizo zote hapo juu bado ni arguments provided umeamua kuficha siri na kumanipulate habari za kifo,ugonjwa na hata maziko ya Ballali uliyetaka afe akiwa mtuhumiwa huru!

Hivi unajuwa maana ya mtuhumiwa huru aliyekufa akiwa huru?

Halafu unataka kusema eti nashupalia mzoga!

Wewe ndio uliyetuambia kafa kwa hiyo mambo ya mzoga ni wewe unayajua..wengine wanamini kuwa bado yuko hai!

Nani asiyejua kuwa ile ilikuwa ni search engine na mtu yoyote anaweza kwenda ku manipulate news?

Nani asiyejua mambo ya WIKIPEDIA?

Hapa umefika ndugu yangu rudi tu upande wa wazalendo huna data zaidi umeshazingirwa!

Watu wanaenda wanajisomea mijadala iliyopita wanagundua ni wapi ulipotetereka!

Tukikushauri ubadili mwenendo unakuja juu!

Kwasababu tu wewe ni MKJJ wa KLH news yenye access na vigogo!

NB:pia nashangazwa sana na wewe kupinga kuwa kama mama Meghji asinge toa ridhaa basi pesa zisingetoka!

Kwanini hakupiga simu ikulu ili kujua kama kweli kauli kuwa pesa ni za usalama wa Taifa ni za kweli ama la?

Na ni Bosi wa Mama..Ballali,ama rais na waziri mkuu?

Halafu unazungunsha maneno mni na ndio maana tuna wasiwasi na wewe...Sasa hayo maswali wapelekee wanasheria waliyoyasema kwenye hio ripoti nilioyo ipost!
 
Last edited:
there is no doubt kuwa balali was ( maybe it is still is?) the key to EPA corruptions. Hilo nafikiri halina mjadala.

na sioni sababu vile vile ya mtu 'kukatazwa' kufuatilia sakata la EPA kwa channel anayoitaka yeye.

kuna wengine wapo tayari kupambana na ufisadi kwa kufuata tracks za aliyekuwa key (balali) na wengine wanaweza kuendeleza mapambano kwa njia nyengine.

serikali ya kikwete inaweza kuwa ilishindwa kumfanya suspect balali kwa kuwa ilijua kuwa ilimpa amri ya kuidhinisha pesa zile zilizotolewa au haikuwa na ushahidi wa kutosha wa kumshitakia.

itakuwa jambo la kushangaza kuwa hiyo key (balali) hakuwahi kuhojiwa hata mara moja na hiyo tume.
hapa lazima tuhoji kwanini balali hakuhojiwa unless iwe balali amehojiwa na serikali haitaki kusema kuhusu hilo.
hapo pia inabidi tuhoji kwa nini wanaficha kuwa walimuhoji.
 
Kikwete, kwa nini Ballali?

ban_tahariri.jpg



KAMA kuna jambo lililotushangaza kwa Rais Jakaya Kikwete tangu alipoingia madarakani, ni kumpa kisogo aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Daudi Ballali, tangu alipoanza kuugua, alipolazwa hospitalini hadi alipofariki dunia Ijumaa wiki iliyopita.
Si kawaida ya rais wetu kufanya kitendo kama hiki. Tunavyomjua sisi wa Tanzania Daima Jumapili, ni mtu anayewajali Watanzania wake, hasa wanapokuwa katika matatizo, bila kujali kama walimkosea yeye au serikali yake.
Maswali wanayojiuliza Watanzania wengi kwa sasa baada ya kupatikana kwa taarifa za kifo cha Dk. Ballali, ndiyo tunayojiuliza hata sisi, ingawa hatupati majibu. Tunajua wapo wanaoweza kuyajibu lakini kwa makusudi wameamua kukaa kimya.
Ukimya wao huo, ndio uliotufanya tufikirie mbali zaidi hadi kumfikia Rais Kikwete, ambaye ingawa ameonyesha kutenda tofauti na kawaida yake katika hili la Dk. Ballali, lakini tunaamini anaweza kuwaambia Watanzania sababu iliyomfanya yeye na serikali yake kujiweka mbali katika kipindi chote kigumu cha kuugua hadi kufariki dunia kwa Dk. Ballali.
Tunaamini kuwa kifo cha Dk. Ballali, iwe kilitokea kwa mipango ya watu fulani au kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu, kinamuweka Rais Kikwete katika wakati mgumu, kwa sababu kadhaa, kubwa ikiwa kushindwa kwa serikali na timu aliyoiunda kuchunguza wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).
Aidha, picha waliyonayo sasa Watanzania dhidi ya Rais Kikwete, inazusha maswali mengi, likiwamo la kama huruma yake ni kwa Watanzania wote au wapo baadhi ambao hawaonei huruma hata wanapokuwa katika hatari ya kufa.
Picha hii inajitokeza kutokana na mlolongo wa matukio yasiyo kuwa ya kawaida aliyoyafanya dhidi ya Dk. Ballali.
Tangu aingie madarakani, Rais Kikwete amejiwekea rekodi ya kutokataa barua za kujiuzulu za wasaidizi wake.
Mifano ya hali hii ni kukubali kwake kujiuzulu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, marehemu Ditopile Mzuzuri, aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ambaye aliachia ngazi pamoja na mawaziri wawili, Nazir Karamagi na Ibrahim Msabaha, na hivi karibuni, Andrew Chenge.
Hawa wote waliandika barua za kujiuzulu baada ya kuandamwa na kashfa, kila mmoja kwa namna yake. Lakini kwa Dk. Ballali haikuwa hivyo, alikataa barua yake ya kujiuzulu baada ya kutolewa kwa taarifa ya uchunguzi wa kashfa ya EPA na siku chache baadaye alimtimua kazi.
Jambo jingine linaloleta utata ni kutopatikana kwa taarifa za kama Rais Kikwete alikwenda kumjulia hali Dk. Ballali wakati akiwa kitandani huko Marekani, akiugulia ugonjwa uliomuua. Rekodi zilizopo zinaonyesha kuwa Rais Kikwete ni mwepesi kwenda kuwajulia hali watu wanaomgusa wanapokuwa wagonjwa au kuhudhuria mazishi yao.
Alifanya hivyo kwa marehemu Amina Chifupa, alipokuwa amelazwa katika Hospitali ya Lugalo na alikwenda Muhimbili kuwajulia hali waandishi wa habari wa MwanaHalisi, Saed Kubenea na Ndimara Tegambwage, walipojeruhiwa wakiwa kazini, bila kujali kama watu hao ni wakosoaji wakubwa wa serikali yake.
Kwa Dk. Ballali haya yote hakuyafanya. Kwa roho ya ubinadamu ya kawaida sisi tunadhani ipo sababu ya kutokea kwa yote haya ambayo sasa yamezua picha tofauti kabisa miongoni mwa jamii ya Watanzania. Tunaamini kuwa Rais Kikwete anatambua Dk. Ballali alikuwa ni mmoja wa washirika wake wa karibu kikazi hadi alipougua na kwenda Marekani kutibiwa, hivyo kwa roho ya kibinadamu, anaweza kuwaeleza Watanzania walau kwa ufupi sababu ya ukimya wake kwa Ballali. Tunaamini rais anaweza kufanya hivyo kwa kumbukumbu tuliyonayo kutoka kwa swahiba wake, Lowassa, ambaye baada ya kulazimika kujiuzulu, rais alitumia mkutano wake na wazee wa Dar es Salaam kueleza jinsi alivyoumizwa na kujiuzulu huko kwa Lowassa, bila kuwajali watu wangemfikiliaje! Tunaomba afanye hivyo na kwa Dk. Ballali.
 
Hizo zote hapo juu bado ni arguments provided umeamua kuficha siri na kumanipulate habari za kifo,ugonjwa na hata maziko ya Ballali uliyetaka afe akiwa mtuhumiwa huru!

Yaani mimi ndiye mwenye amri ya uzima na mauti? si useme tu kuwa nilishiriki katika kumuua Ballali ili ufikie hitimisho ulilojiundia mwenyewe?

Hivi unajuwa maana ya mtuhumiwa huru aliyekufa huru?

Inahitaji mwanaanga wa kirusi kuelewa mtuhumiwa huru aliyekufu huru ni huru!? duh!?
Halafu unataka kusema eti nashupalia mzoga!
Wewe ndio uliyetuambia kafa kwa hiyo mambo ya mzoga ni wewe unayajua..wengine wanamini kuwa bado yuko hai!

Imani ni imani tu... kuna watu wanaimani ukiua albino utapata utajiri, ukiua mtoto wako wa kwanza utapata utajiri, na wapo watu wanaoamini kuwa mwezi umetengenezwa kwa jibini!
Nani asiyejua kuwa ile ilikuwa ni search engine na mtu yoyote anaweza kwenda ku manipulate news?

Si ungejaribu kuona kama na wewe ungeweza? ncha ya mkuki haipigwi konzi!
Nani asiyejua mambo ya WIKIPEDIA?

Na yanahusiana vipi na kifo cha Ballali?
Hapa umefika ndugu yangu rudi tu upande wa wazalendo huna data zaidi umeshazingirwa!

Kama wewe unajiweka kwenye kundi la wazalendo, upande huo bakia wewe na wakuungao mkono!
Watu wanaenda wanajisomea mijadala iliyopita wanagundua ni wapi ulipotetereka!

si mpaka nitetereke! rekodi yangu iko wazi kwa mtu yeyote open minded kuipitia... ya kwako unaichonga kwa nguvu kama mtu achongavyo kinyago toka kwenye bua la muwa!
Tukikushauri ubadili mwenendo unakuja juu!
Kwasababu tu wewe ni MKJJ wa KLH news yenye access na vigogo!

Of course, na wewe usianzishe Jmushi something halafu uwafungie vigogo wasizungumze nawe!


NB:pia nashangazwa sana na wewe kupinga kuwa kama mama Meghji asinge toa ridhaa basi pesa zisingetoka!

Still unaonesha hujui kitu na ni mgumu kujua hata ushahidi uwekwe mbele za macho yako. Ukijibu swali hili unaweza kujiweka kwenye kundi la wajuao: "fedha za EPA zilitolewa lini? na kwa amri ya nani?" Usikurupuke kusema mama Meghji!
Kwanini hakupiga simu ikulu ili kujua kama kweli kauli kuwa pesa ni za usalama wa Taifa ni za kweli ama la?

Nimekuambia umpigie simu mama Meghji na umuulize, hivi hilo ni gumu au hauna ujasiri wa kumpigia simu? Unataka nikusaidie?

Na ni Bosi wa Mama..Ballali,ama rais na waziri mkuu?

Kwanza kabla hujachapuka kuunganisha visivyounganisha unajua kuna uhusiano gani kati ya Wizara ya Fedha na Benki Kuu? Usikurupuke kujibu fanya utafiti.

Halafu unazungunsha maneno mni na ndio maana tuna wasiwasi na wewe...Sasa hayo maswali wapelekee wanasheria waliyoyasema kwenye hio ripoti nilioyo ipost!

Wewe kuwa na wasiwasi na mimi utakuwa unajiunga kwenye msurururu wa "wenye wasiwasi na Mwanakijiji". So, it doesn't bother me at all. La maana kama kweli unataka kushiriki katika mapambano haya jitume kutafuta majibu kama wenzio tunavyofanya.
 
Yaani mimi ndiye mwenye amri ya uzima na mauti? si useme tu kuwa nilishiriki katika kumuua Ballali ili ufikie hitimisho ulilojiundia mwenyewe?



Inahitaji mwanaanga wa kirusi kuelewa mtuhumiwa huru aliyekufu huru ni huru!? duh!?


Imani ni imani tu... kuna watu wanaimani ukiua albino utapata utajiri, ukiua mtoto wako wa kwanza utapata utajiri, na wapo watu wanaoamini kuwa mwezi umetengenezwa kwa jibini!


Si ungejaribu kuona kama na wewe ungeweza? ncha ya mkuki haipigwi konzi!


Na yanahusiana vipi na kifo cha Ballali?


Kama wewe unajiweka kwenye kundi la wazalendo, upande huo bakia wewe na wakuungao mkono!


si mpaka nitetereke! rekodi yangu iko wazi kwa mtu yeyote open minded kuipitia... ya kwako unaichonga kwa nguvu kama mtu achongavyo kinyago toka kwenye bua la muwa!


Of course, na wewe usianzishe Jmushi something halafu uwafungie vigogo wasizungumze nawe!




Still unaonesha hujui kitu na ni mgumu kujua hata ushahidi uwekwe mbele za macho yako. Ukijibu swali hili unaweza kujiweka kwenye kundi la wajuao: "fedha za EPA zilitolewa lini? na kwa amri ya nani?" Usikurupuke kusema mama Meghji!


Nimekuambia umpigie simu mama Meghji na umuulize, hivi hilo ni gumu au hauna ujasiri wa kumpigia simu? Unataka nikusaidie?



Kwanza kabla hujachapuka kuunganisha visivyounganisha unajua kuna uhusiano gani kati ya Wizara ya Fedha na Benki Kuu? Usikurupuke kujibu fanya utafiti.



Wewe kuwa na wasiwasi na mimi utakuwa unajiunga kwenye msurururu wa "wenye wasiwasi na Mwanakijiji". So, it doesn't bother me at all. La maana kama kweli unataka kushiriki katika mapambano haya jitume kutafuta majibu kama wenzio tunavyofanya.

Huwezi ukajitetea kwenye hili!
Unasemaje nitafute habari wakati habari zote unazo wewe?
We unataka kufanya watu wapumbavu huh?
Too late!
Halafu kwasababu Mama Meghji alikupa shavu kwenye iterview na sasa umeshaanza kukurupuka na kuanza kumtetea kama ulivyofanya kwa MAREHEMU BALLALI,CHENGE NA LOWASSA!
Halafu unataka kusema tunahitaji unabii kuyaona haya?
Kwangu sivyo!
 
...gavana wa kwanza EDWIN mtei ..alikuwa anahojiwa leo gazetini...anasema hakuna uwezekano wa GAVANA wa benki kuu kujichotea pesa bila maelekezo kutoka juu...kwani a gorvernor is just a custodian of the gorvernment money....its like wewe unapokuwa na pesa benki ..banker hawezi kuzitoa hadi kwanza wewe usaini document then mwakilishi wa benki atasaini then atakupa pesa...same applied ...BOT wanatoa pesa kutokana na maelekezo ya mteja wao ambaye ni serikali....BOT is the gorvernment banker!......

balalia alikuwa na ushahidi muhimu wa kutueleza ni nani aliyeagiza malipo yafanyike kutoka serikalini!
 
...gavana wa kwanza EDWIN mtei ..alikuwa anahojiwa leo gazetini...anasema hakuna uwezekano wa GAVANA wa benki kuu kujichotea pesa bila maelekezo kutoka juu...kwani a gorvernor is just a custodian of the gorvernment money....its like wewe unapokuwa na pesa benki ..banker hawezi kuzitoa hadi kwanza wewe usaini document then mwakilishi wa benki atasaini then atakupa pesa...same applied ...BOT wanatoa pesa kutokana na maelekezo ya mteja wao ambaye ni serikali....BOT is the gorvernment banker!......

balalia alikuwa na ushahidi muhimu wa kutueleza ni nani aliyeagiza malipo yafanyike kutoka serikalini!

Ndio maana ninasema Balali alikuwa ametekwa nyara katika kutoa maamuzi yake, hivi kinachotakiwa hapa siyo tena balali hila ni process nzima iliyosababisha pesa kupotea, au ni EPA.

Wakuu wetu wana majibu yote hata bila Balali mwenyewe. Mfano mzuri ni uzugaji uliofanyika mpaka Balali akafa bila kutoa majibu yaliyokuwa yanatakiwa.

Hii mimi ndo naiita kuwa balali alikuwa ametekwa nyara
 
Ndio maana ninasema Balali alikuwa ametekwa nyara katika kutoa maamuzi yake, hivi kinachotakiwa hapa siyo tena balali hila ni process nzima iliyosababisha pesa kupotea, au ni EPA.

Wakuu wetu wana majibu yote hata bila Balali mwenyewe. Mfano mzuri ni uzugaji uliofanyika mpaka Balali akafa bila kutoa majibu yaliyokuwa yanatakiwa.

Hii mimi ndo naiita kuwa balali alikuwa ametekwa nyara

Kinachohitajika hapa ni vyote kwenye highlight kwasababu bado tunahisi kuwa kifo chake kinahusiana na issue ya EPA...

So base on that reason hatuwezi ku separate kifo chake na scandal ya EPA mpaka hapo tutakapojua nini hasa kimemuua ama ni ugonjwa gani na kama kuna mkono wa mtu then tunataka vithibitisho na ni kwanini walifanya hivyo!

Ili tuweze kujua kama kifo chake ni mapenzi ya Mungu kama Muungwana anavyotaka tufahamu...

Then ni majukumu ya serikali kuweka kila kitu wazi kuhusiana na kifo chake kilichopangwa na Mungu!

Huu mpira wanaotupiana familia na serikali hauna tena maana na sisi..TUNATAKA UKWELI!

Pia tunataka jibu kutoka kwa serikali kuwa ni kwanini hawakuona umuhimu wa Ballali kutoa ushaihidi wake kwenye tume.

Ama ni vigezo vipi vilivyomuondoa/ama vilivyomfanya Ballali asiwepo kwenye listi ya watuhumiwa na mashahidi wa wizi huo wa mabilioni ya wananchi.

NB:Naomba tuvumiliane kwenye hili kwasababu kabla ya kusahahu Ballali ni lazima tuwekane sawa ili baadae serikali isije ikakitumia kifo hicho kilichopangwa na Mungu kuifuta KESI HII YA EPA AMA KUUPINDISHA UKWELI! HILI NI ONYO KWA SERIKALI YETU!
 
Unajua mimi ni huwa naamini ukitaka kufanikiwa au kosolve mathematics fulani unaweka function moja constant, mimi kwanza nakubali balali kafa halafu nasonga mbele lakini mbele patanirudisha nyuma tu na kujua nilichotokea nyuma
 
Unajua mimi ni huwa naamini ukitaka kufanikiwa au kosolve mathematics fulani unaweka function moja constant, mimi kwanza nakubali balali kafa halafu nasonga mbele lakini mbele patanirudisha nyuma tu na kujua nilichotokea nyuma

Kakindo Master..Ukishakubali kuwa kifo chake ni mapenzi ya MUNGU kama alivyosema KIKWETE..

Then usishangae ukiambiwa kuwa kufungwa kwa kesi ya EPA ni mapenzi ya MUNGU kwasababu SHAIHIDI MKUU alishakufa kwa mapenzi ya MUNGU kabla hajahojiwa ili MAPENZI YA MUNGU YATIMIE!

Mimi siko huko!

Niko hapa.....

MAPENZI YA MUNGU YATATIMIA KAMA TUKIUJUA UKWELI ILI NA SISI TUKUBALI KUWA YALIKUWA NI MAPENZI YA MUNGU KWA BALLALI KUFA!

Halafu pia sijapinga kesi kuendelea...Vyote vinaendelea kwasababu kifo cha Ballali kinaweza kuwa ndio kifo cha kesi ya EPA....KUWA MAKINI BRO!
 
Back
Top Bottom