Kwanini kataa ndoa wengi ni vijana wa kikristo

Kwanini kataa ndoa wengi ni vijana wa kikristo

Kuoa ni betting.
Kwenye ukristo ukichapisha mkeka wako (betslip) hakuna Cashout option.
Waislam unaweza kuoa Leo baada ya siku chache unaweza cashout.
Pia waislam kuna option ya kuongeza mwingine ukiona uliye nae anazingua
 
Wanawake wengi wenye malezi ya kiislamu ni submissive Ila kwa upande wa pili ni independent zaidi..

Na kwa Tanzania, ni wachache wanaoweza kumchagua mwanamke independent dhidi ya mwanamke submissive Ila wote wana faida na hasara zake.
Independent au dependants mkuu? Ulikua unamaanisha nini embu fafanua...
 
Mimi naamini elimu imewafanya wakristo kuwa na income kubwa compared na waislamu, japokuwa kuna baadhi ya waarabu matajiri.

MONEY ndio matatizo, with money inakuja betting, ulevi umalaya etc mtu anajiona ana options, access to different women...

Access to different women , umalaya unabadilisha family dynamics, zinakuja conflicts na mke wa ndoa, watoto wana observe tu...

Wanasema watoto wanajifunza kutoka kwa their role models/idols

Sasa mzazi wa kiume anaacha print, kuwa kumbe kuna "options " ya wanawake plus ndoa ni conflicts kati ya mwanaume na mwanamke...

So nawalaumu wanaume kwa hili, kutowa-modelling watoto wao..

Kwangu mimi linaanzia Elimu>Money>Umalaya > Conflicts> Kataa ndoa LOL 😆
 
Mafundisho ya kiislamu ni Yana muongozo wa kila kitu tofaut na wakristo hivyo Kuna mafundisho kuhusu ndoa na umuhimu wake kwa watu wake ktk imani, saaa leku
 
Independent au dependants mkuu? Ulikua unamaanisha nini embu fafanua...
Wanawake wengi wakikristo wanatokea jamii zal bara ambapo wengi wana elimu kiasi lakini pia huwa wanafanya kazi. Iwe za shamba hadi corporates jobs kwa hiyo wao ndoa ni kitu muhimu ila sio kiini cha kuishi kwao sababu wana maisha pia nje ya ndoa yanayowawezesha, kujitegemea "independent".

Kwa upande mwingine uhalisia unaujua, ndoa ndio alpha na Omega na mwanamke anachukuliwa kama pambo. Aolewe ili atafutiwe na wanafundishwa pia kuwa submissive kwa waume zao kama tunu ya maisha yao. Kwa hiyo hawa hata wafanikiwe vipi lakini kuwa submissive kwa waume ndio core na heshima ya maisha yao.. So hawa ni submissive tu

Ndio maana jamii za Kagera, Kilimanjaro, Mbeya etc wanaonekana sio wife materials dhidi ya Tanga na pwani kiujumla
 
Kikawaida wakristu wengi pia huchelewa kuoa kwa sababu ya "ndoa ya mara moja pasipo talaka" Lakini pia gharama za harusi, send off plus kitchen party..

Halafu pia jamii za kiislamu nyingi ni za pwani ambazo bado zina ujamaa kiasi mtu akishindwa kuoa anaweza kutolewa mahari na wanandoa wakaishi ukweni kwa muda. Ila wakristo wengi wanatokea jamii za bara ambazo ujamaa ni mdogo hivyo ukiyavagaa majukumu. Watu kukutelekeza ni dakika

Sababu zipo nyingi Ila kwa uislamu ndoa ni nyepesi zaidi sio kwa kuingia ama kuachana. Kwa wakristu ni tofauti ndio maana wengi wanachelewa
Eti bara hakuna ujamaa acha vichekesho,bara ndiko kwenye maisha halisi ya mwafrika ukiachana na sehemu ambazo waarabu walipita kama ujiji,tabora,singida...huo ujamaa wa pwani labda kuwa firm kwenye udini.
 
Eti bara hakuna ujamaa acha vichekesho,bara ndiko kwenye maisha halisi ya mwafrika ukiachana na sehemu ambazo waarabu walipita kama ujiji,tabora,singida...huo ujamaa wa pwani labda kuwa firm kwenye udini.
Upo sahihi kwa mtazamo wako mkuu. Na sijapinga bara hakuna ujamaa ila katika masuala ya ndoa, kijana wa pwani anaweza kusaidiwa kutolewa mahari na wazazi wake. Akaoa na kuzalia nyumbani kwa wazazi wake.

Ila kwa jamii nyingi za bara ni nadra na kuna kabila, mkwe hatakiwi kukaa kwenye paa moja na baba mkwe na wala haruhusiwi kukaa wala kula nae sehemu moja. Hivyo inakuwa ngumu
 
Ndoa zao ni ndoano ukimeza umekwenda na maji. Mwanamke anaweza kuficha make changes yake akiolewa tu ndio kila rangi utaiona anajua hakuna kuachana milele wengi wanaishi kwenye mateso makubwa
Hakuna ndoa isiyovunjika humu duniani, mkristo akitaka kuacha ndoa kuna taratibu zinafuatwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom