chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Kweli ukibweteka wenzako wapo mbali.visa vingi ambavo marekani kushutumu nchi ya china kwa teknolojia zake.
China kwa sasa ndio mwenye hatua kubwa katika teknolojia ya mawasiliano .mfano teknolojia ya 5g,chip ya hisillicon na vioo.
Ni mambo mengi China sasa umfanya USA kukosa usingizi hata kufikia ni hatua gani afanye,tumeona USA kuweka vikwazo vingi kuanzia playstore app ya google,ushuru wa vifaa vinavyotoka China na n.k.
MTAZAMO
Tabia za maraisi uja na kubeba makampuni fulani ili wawe kipaumbele.tunaona kipindi cha obama hakuwa kipaumbele sana Microsoft kiufupi mpaka kumaliza muda wake.
Trump sasa kuimiza apple kushindana teknolojia ya China kama Huawei,Samsung.tulizoea kuwa Apple hutoa matoleo yake kwa kuchelewa sana lakini kwa kipindi kifupi tu kutoa iphone 11 na sasa kutoa iphone 12 .na kuja na vitu vingine
Je hii imekaa kiserikali kumshawishi kufanya hivi .au vita hii kushindana na ubabe vina sababishwa na serikali
View attachment 1598962
View attachment 1598963
View attachment 1598964
View attachment 1598965
View attachment 1598966
China kwa sasa ndio mwenye hatua kubwa katika teknolojia ya mawasiliano .mfano teknolojia ya 5g,chip ya hisillicon na vioo.
Ni mambo mengi China sasa umfanya USA kukosa usingizi hata kufikia ni hatua gani afanye,tumeona USA kuweka vikwazo vingi kuanzia playstore app ya google,ushuru wa vifaa vinavyotoka China na n.k.
MTAZAMO
Tabia za maraisi uja na kubeba makampuni fulani ili wawe kipaumbele.tunaona kipindi cha obama hakuwa kipaumbele sana Microsoft kiufupi mpaka kumaliza muda wake.
Trump sasa kuimiza apple kushindana teknolojia ya China kama Huawei,Samsung.tulizoea kuwa Apple hutoa matoleo yake kwa kuchelewa sana lakini kwa kipindi kifupi tu kutoa iphone 11 na sasa kutoa iphone 12 .na kuja na vitu vingine
Je hii imekaa kiserikali kumshawishi kufanya hivi .au vita hii kushindana na ubabe vina sababishwa na serikali
View attachment 1598963
View attachment 1598964
View attachment 1598965
View attachment 1598966