Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

Mkuu Ruta
hivi unaonaje hizi nchi zote zinazotaka kuungana,hivi ni idea nzuri kuungana na jirani yako na una matatizo kibao nyumbani kwako?unaonaje kwanza kila mtu amalize matatizo yake ndo tuje tuungane?sisi hapa tanzania matatizo kibao,mpaka sasa hivi tunapoongea hapa hatujapata uhuru,sisi bado tuna wakoloni wabaya kule hata wale wazungu wa miaka ileeee!sasa tutaungana vipi si unaona tunakaribisha matatizo mapya?nyie endeleeni na muungano wenu sisi hatupo tayari,kwa nini tulazimishe mambo yasiyowezekana?
 
Wazungu gani hao'wale walioigawa sudan?nani kakuambia sisi waafrica tunaweza kuungana?
Mbona tanganyika na znz matatizo kibao tangu tulipoungana?je tukiingiza wakenya na watusi itakuwaje?

Kwa kweli hapo kwenye mipaka ya nchi na siasa hata mimi ninamsifu Jk. Tuchukulie mfano EU hawakuingilia suala la ardhi kila nchi ipo huru ikichoka iwe na huru kujivua koti. Angalieni hata uingereza kuna mambo imeona hayawezi kuingiliwa na nchi nyingine na imekataa, mfano pesa zao kwa ajili ya kulinda heshima yao, na Tanzania lazima tuwe makini kwa hilo. Biashara inafanyikia sitting room bana sio chumbani.
 
Kwa hili hata mm nampongeza Kikwete kwa kutetea cha watanzania.Kama hao EAC wanasusa kwa sababu hii...basi wasuse tu hata hatuwahitaji..
 
usiogope kujadili kila kitu kama unataka kufahamu ukweli halisi.............................kumbuka JK aliwakosoa EAC pale ule wimbo wa Kenya ulipochaguliwa kuwa wimbo rasmi wa Shirikisho akidai mbona ni "gospel"......................................wao walimjibu hawa ndiyo waliojitokeza hizo taarabu mbona hazikujitokeza??????????????????

hakuwa na majibu..............................................sasa wafikiri kwa nini aligusa suala la "gospel".........................udini ni urithi wetu na usipojadiliwa na jinsi unavyosukuma maamuzi ya kisera ujue hatutafahamu tupo wapi na kwa sababu zipi achilia mbali twaelekea wapi...................
..Kwahio huo Wimbo ndio unakufanya u-conclude kwamba JK anaogopa EAC kwa sababu Wakristu watawafunika Waislamu, Mkuu hii sababu yako ni dhaifu, hoja iwe Tanzania itafaidikaje kiuchumi ndani ya EAC, umeuliza swali kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC, jibu ni kuwa Nchi nyingine zinazounda EAC walidhani Tanzania tutaingia mkenge kirahisi katika kila matakwa ya Integration, sasa wanapoona tumeshtuka ndo wanaanza Unafiki.
 
Kwahili naweza kumtetea JK kwamba hakubaliki na hii ni kutokana na yanayoendela katika shirikisho, ikumbukweTanganyika inaonekana kama lulu miongoni mwa nchi za ukanda huu wa Afrika Mashariki, sasa kwa hayo yaliyojiri juzi kati wakati wa utiaji sign wa mkataba ambapo Tanganyika chini ya Samweli Sita waligoma mpaka baadhi ya vipengele vilipowekwa sawa umewakasirisha hawa jamaa!
walitegemea turuhusu ardhi yetu iwe yao, siasa na hata majeshi kitu ambacho kingetugharimu
Nimshukuru binafsi kwa mara ya kwanza JK kwa kutowapa vilaza hii wizara ya Afrika Mashariki maana naamini wangekuwa ni Malima,Kombani,Ngeleja, Nchimbi,Sofia simba, wamekamata hii wizara wangesign haraka haraka maana ni vihiyo watupu

ni kweli kama tunavyojua kenya wanamigogoro mingi ya ardhi kwa hiyo wanaitamani hata ya kwetu kwa hili hata mimi nampongeza jk
 
Nakushauri ufikiri sana hatma ya nchi yako miaka ijayo kabla ya kumlaumu Jk na Sitta katika suala la EAC hasa masula ya ardhi. Kumbuka ni 2015 Jk atamaliza kipind4 chake. Ungependa mrithi wake na wanao na wajukuu wagombee ardhi ya Nchi yao wenyewe na wakenya?

Hapa kuna upungufu mkubwa wa reasoning. Tuliungana na Zanzibar, kutokana na mwungano huo leo Wazanzibari wanaweza kuchukua ardhi yoyote wanayoitaka ya Tanganyika LAKINI Watanganyika hawaruhusiwi kuichukua wala kuitumia ardhi ya Zanzibar. Leo hii tukiungana na nchi za Afrika Mashariki tutapoteza nini ambacho hatupotezi sasa hivi kwa Zanzibar? Si aheri hata huo mwungano wa Afrika Mashariki ambao, kila mwananchi wa Afrika Mashariki atakuwa na haki ya kutumia rasilimali zote za Afrika Mashariki kuliko sasa ambapo Wazanzibari wanaruhusiwa kutumia rasilimali za Tanganyika lakini Watanganyika hawaruhusiwi kutumia rasilimali za Zanzibar? Mpaka sasa Kenya ni mwekezaji wa pili baada ya Afrika Kusini, je, tumepoteza nini kutokana na uwekezaji wa Kenya? Si Wakenya hawa hawa walifunga kiwanda kimojawapo cha Tusker kule Kenya ili kukiimarisha cha Tanzania? Walifanya hivyo kwaajili ya kupata faida zaidi lakini na sisi tunapata ajira zaidi, na serikali inapata kodi zaidi.

Watanzania tusiwe na roho ya korosho. Huwezi kuendelea kwa kujitenga, unaendelea kwa kushindana. Nenda mikoa, wilaya au vijiji ambavyo zaidi hukaliwa na watu wa asili na kabila moja, halafu ulinganishe kiwango cha maendeleo na mikoa, wilaya au vijiji vyenye mchanganyiko mkubwa wa jamii. Waafrika Mashariki tukichanganyika zaidi, ndipo tutakapoweza kushindana, na kila mmoja kujifunza kutoka kwa mwingine. Hii mipaka iliwekwa na wakoloni, tunataka kurudi tulivyokuwa kabla ya wakoloni. Kama wakoloni wasingekuja, tungeanza kuwaambia watu wa maeneo fulani wasitumie ardhi ya maeneo mengine?

Kama JK angekuwa na upeo na nia ya kuwasaidia Watanzania angewaandaa Watanzania kwa kuwamilikisha ardhi ili wageni wakija wajadiliane na wamiliki wa ardhi. Leo mnawakatalia ardhi Wakenya wakati kule Mahenge Mwarabu kamilikishwa ardhi zaidi ya ekari laki moja; kule Kigoma, nadhani ni Wabrazili wamemilikishwa ardhi zaidi ya ekali laki moja, n.k. Au mnataka kusema ni halali wazungu na waarabu kumiliki ardhi ya Tanganyika lakini siyo weusi wa Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi? Kosa lao ni nini - labda ni rangi.
 
Hapa kuna upungufu mkubwa wa reasoning. Tuliungana na Zanzibar, kutokana na mwungano huo leo Wazanzibari wanaweza kuchukua ardhi yoyote wanayoitaka ya Tanganyika LAKINI Watanganyika hawaruhusiwi kuichukua wala kuitumia ardhi ya Zanzibar. Leo hii tukiungana na nchi za Afrika Mashariki tutapoteza nini ambacho hatupotezi sasa hivi kwa Zanzibar? Si aheri hata huo mwungano wa Afrika Mashariki ambao, kila mwananchi wa Afrika Mashariki atakuwa na haki ya kutumia rasilimali zote za Afrika Mashariki kuliko sasa ambapo Wazanzibari wanaruhusiwa kutumia rasilimali za Tanganyika lakini Watanganyika hawaruhusiwi kutumia rasilimali za Zanzibar? Mpaka sasa Kenya ni mwekezaji wa pili baada ya Afrika Kusini, je, tumepoteza nini kutokana na uwekezaji wa Kenya? Si Wakenya hawa hawa walifunga kiwanda kimojawapo cha Tusker kule Kenya ili kukiimarisha cha Tanzania? Walifanya hivyo kwaajili ya kupata faida zaidi lakini na sisi tunapata ajira zaidi, na serikali inapata kodi zaidi.

Watanzania tusiwe na roho ya korosho. Huwezi kuendelea kwa kujitenga, unaendelea kwa kushindana. Nenda mikoa, wilaya au vijiji ambavyo zaidi hukaliwa na watu wa asili na kabila moja, halafu ulinganishe kiwango cha maendeleo na mikoa, wilaya au vijiji vyenye mchanganyiko mkubwa wa jamii. Waafrika Mashariki tukichanganyika zaidi, ndipo tutakapoweza kushindana, na kila mmoja kujifunza kutoka kwa mwingine. Hii mipaka iliwekwa na wakoloni, tunataka kurudi tulivyokuwa kabla ya wakoloni. Kama wakoloni wasingekuja, tungeanza kuwaambia watu wa maeneo fulani wasitumie ardhi ya maeneo mengine?

Kama JK angekuwa na upeo na nia ya kuwasaidia Watanzania angewaandaa Watanzania kwa kuwamilikisha ardhi ili wageni wakija wajadiliane na wamiliki wa ardhi. Leo mnawakatalia ardhi Wakenya wakati kule Mahenge Mwarabu kamilikishwa ardhi zaidi ya ekari laki moja; kule Kigoma, nadhani ni Wabrazili wamemilikishwa ardhi zaidi ya ekali laki moja, n.k. Au mnataka kusema ni halali wazungu na waarabu kumiliki ardhi ya Tanganyika lakini siyo weusi wa Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi? Kosa lao ni nini - labda ni rangi.

Wewe ndio una bad reasoning, mbona wapo pia wawekezaji wakubwa Kutokea Kenya ambao wanamilikishwa ardhi kwenye baadhi ya strategic investments... Na hao wazungu uliowataja bado hawajachukua hata 1% ya ardhi yetu yote...Ambacho hatutaki ni kufungulia mlango kwa VIBAKA karibia milioni 70 (i.e., akina Njuguna, Nyangau na batabaire) kuja kugombea ardhi kiholela na watanzania wazawa kila sehemu....NO WAY

Mfano wako wa Zanzibar ni mfu kwa maana kule ardhi yenyewe haipo na ile iliyopo ni ya kugombea hata kwa wazawa wa huko, zipo sehemu za Tanzania bara ambazo zina ugumu wa kupata ardhi hata kwa wenyeji, kwa mfano mkoa wa Kilimanjaro...

Mfano wako wa wakoloni ni mfu pia...:lol: Hata Uingereza, Ujerumani, na Ufaransa (wakoloni wakuu) kuna baadhi ya mambo likiwemo la ARDHI hawakubalini nalo kabisa kwenye Jumuiya ya Ulaya (EU)...

Sikubaliani na Vasco kwa mengi ila kwa hili la ARDHI niko naye 100% siasa za kufuata sera zavyama naweka naweka kando utaifa mbele...:poa
 
kama hatuamini juu ya malengo ya EAC si tujitoe tu kulikoni kuwakwamisha wale wanaotaka kwenda mwendo mdundo.......
Mkuu, Rejea mfano huu:
Hivi kuna kiongozi yeyote wa Marekani, India au China asiyejua maana ya kutunza mazingira au madhara ya kutotunza mazingira katika ustawi wa viumbe duniani? Jibu ni hakuna. Wote wanajua, lakini unafikiri ni kwa nini viongozi wa nchi hizo hawataki kutekeleze kwa 100% Kyoto protocal (Rejea mkutano Wa South Africa,2011)?

Ukichunguza vizuri mfano huu utagudua kuwa Wawakilishi wetu(Sitta nawenzake huko EAC) walikuwa sahihi kwa uamuzi walio chukua.
 
...Katika issue hii ya EAC, JK na Mzee Sitta wako sahihi kwa kiasi kikubwa. Kwani, hao wengine ni kina nani, hadi kila wanachosema na kukipigania, tena kwa hila kubwa, kiwe cha kweli na sahihi. Je, kuwapo kwetu kwenye jumuiya hii kunatufanya tuwe watu wa "ndio mzee" kila wakati na kwa kila kitu? Lazima tulinde maslahi yetu.

...Kwanza, ningekuwa mimi nisingefika mbali zaidi ya soko la pamoja. Kimsingi, nisinge endekeza upuuzi mwingine wowote. Hebu tuulizane, je, kwenye umoja wowote hakuna hatua za kufanya mambo zinazosimamiwa na sheria, kanuni, taratibu na misingi mbalimbali? Je, haya yamefanyika katika hatua tunazochukua kuelekea kwenye shirikisho?

...Watu lazima wafahamu kwamba, tunaingia kwenye jumuiya hii ili tufaidike na sio tupate hasara. Kama hailipi, hatuna biashara ya kufanya humo. By the way, hawa jamaa wakiendelea na ujinga wao, hii kitu itakufa muda si mrefu.

...Pamoja na kwamba tunafahamu wamelipiza kisasi kwa kutokuja, kutokuwapo kwao hakutulalishi njaa sisi. What will they do, fight us? Wakiacha ubinafsi wao wa kijinga, we will talk business.
 
Re: Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

quote_icon.png
By Rutashubanyuma
TZ tukubali au hata tusipokubali na wavivu wa kufanya kazi................................na mvivu siku zote atatawaliwa na yule mchapakazi...................usichojua ni kuwa uchumi wa TZ nchi inayoongoza kuwekeza ni Kenya halafu UK inafuata.................na uwekezaji huu unahusisha moja kwa moja umiliki wa ardhi..............................kwa hiyo uwapende usiwapende Kenyans are here to stay and rule over the lazy TZ...............................shirikisho kulikubali au kulikataa siyo ufumbuzi............................utashangaa ukienda pangani na karibu maeneo mengi ya mpaka wa Kenya jinsi wakenya ambavyo tayari walikwisha kuhamia siku nyingi..................................EAC haikuweza kuwakwamisha...................tafuta hoja nyingine hizi ni hoja simuliwa tu....



Rutashubanyuma hatuwezi kuingia kwenye kinyang'anyiro bila kujiandaa toka tupate uhuru mwaka 1961 Tanzania tumepoteza muda mwingi tukisaidi nchi zingine kupigania uhuru na kuzikomboa toka kwa watawala wabovu nchi kama Angola, Msumbiji, Zimbabwe, shelisheli, Uganda na Afrika ya Kusini wakati wenzetu wakenya toka uhuru wanashughulika na biashara wanajua umuhimu wa ardhi na wanaelimu ya masoko ya hisa toka mwaka 63 wakati watanzania tumeanza juzi maana muda mwingi pia tulikuwa kwenye siasa ya ujamaa na kujitegemea

Kawhiyo haitakuwa haki kutuunganisha na watu wenye uzoefu undercover ya kuwa nasi tutapata bidii hakuna kitu kama hicho inabidi watanzania wapate muda wa kujiandaa ili kuingia kwenye shirikisho kitendo cha kulazimisha Tanzania kuingia sasa hivi ni sawasawa na mwanafunzi wa darasa la nne umpeleke kufanya mtihani wa darasa la saba eti atajifunza mbele kwa mbele bila kuandaliwa ili afikie kiwango cha mwanafunzi wa darasa la saba au ni sawaswa na kupeleka timu ya Olyimpic kwenye mashindano kabla haijafikia kiwango eti itajiongeza mbele kwa mbele itaishia kuwa msindikizaji

Wenzetu nchi za ulaya zina jiandaa kwanza kabla ya kuingia European Union haziendi kichwa kichwa halafu katika EU kuna nchi viongozi zimeset standard ili mwanachama aweze kuingia ili wanachama wawe ni member wanaofanana. sasa sisi tutaunganaje na madikteta kama Museveni? Kibaki au Kagame lazima wawe na mifumo yenye kuheshimu katiba bila kubalidi term limit kwa mtu kama Museveni na Kenya waondoe dhana ya kuwa bila wakikuyu nchi haitawaliki pia Kagame kujifanya nabii wa Rwanda kuwa bila yeye hakuna Rwanda​
 
Re: Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?
Siungi mkono Afrika Mshariki kwa sababu Tanzania tutaishia kuwa losers Kenya wale wanataka ardhi na masoko dhidi ya bidhaa zao Burundi, Rwanda na Uganda wanataka ardhi je sisi tutapata nini? hakuna kitu ila kupoteza kila kitu

Wakati europen Union inaanzishwa na Ufaransa, Ubelgiji, Luxernburg, Ujerumani, na Uholanzi Uingereza ilizuiliwa kuwa iko too developed maana hizi nchi zingine viwanda vyake vilikuwa vimeharibiwa na vita kuu ya pili ya dunia Uingereza imekuja kuwa registerd mwaka 1977 nayo kwa kulipa kisasi ikakataa kudisolve pesa yake pia nchi zingine zimekuja baada ya kutimiza madharti na kuwa tayari.

Kwa muungano ule nchi za magharibi zinauza bidhaa nchi za mashariki kwahiyo zina soko hapo na nchi za mshariki zinatoa cheap labor wafanyakazi kwa lugha nyingine wananchi wa nchi za mashariki wanapata ajira nchi za magharibi kwahiyo mambo ni win win situation lakini kwetu sisi Tanzania kuna mtanzania anaweza pata kazi kenya? Kuna mtanzania anaweza pata ardhi Kenya? Je kuna bidhaa za Tanzania za viwandani zinaweza kuuzwa Kenya? ukiacha mazo ya chakula? kwanini tuwe na muungano ambao ni one way traffic? Hapo sijaongelea kuwa treated kama second citizen maana makenya ni mabaguzi kishenzi​
 
Mambo yetu tu hapa tz yanatugalagaza hatuelewani je tukikurupuka huko AEC si ndo tutakuwa tumeangamia mazima, kwa hili mi nitamtetea kihiyo wangu kupitia mgongo wa 6
 
spot on.............

Hukuelewa mkuu alimaanisha nini "think globally act locally" kwa nchi ina maana kuwa iwe na uhusiano mzuri na mataifa mengine kwenye nyanja za biashara, technologia, elimu, masoko nk lakini ilinde interest zake kama nchi locally. Mfano ni UK na jumuia ya ulaya wao hawakuingia kwenye safaru ya pamoja (Euro) wakabaki na £ yao lakini wamo kwenye common european market. Wachina wameingizwa kwenye G20 na WTO lakini wamekataa baadhi ya masharti kama kushusha thamani ya pesa yao kwa sababu haina manufaa kwa wananchi wake. Tanzania ingekuwa ni kosa kubwa kuweka rehani adhi yake kwa manufaa ya wakenya, waganda, wanyarwanda nk watu ambao tunajua ni wakabila kupita kiasi. Sidhani kama kuna mtanzania anaweza kwenda kenya, uganda au Rwanda na kumilki ardhi. Mipaka hakikuletwa na wakoloni, babu zetu walikuwa nayo pia, wasukuma walijua mipaka yao, hali kadhalika wanyamwezi, wangoni, wahehe, wazanaki, wachaga, wapare nk wote walijua na kulinda maeneo yao na palikuwepo vita vya makabila vya kugombea ardhi. Mkoloni yeye alichofanya ni kuchora ramani bila kujali mipaka ya mababu zetu, jambo ambalo limechangia migogoro afrika
 
Mtoa mada angeeleza faida za kushirikiana Ardhi, na usalama i.e National security (siyo kusaidiana kwa idara za usalama au polisi).

Zaidi ya hapo ni mipayuko isiyo na maana. Tushirikiane kwenye biashara baina ya nchi zetu, zaidi ya hapo waondoke zao hatuwahitaji.
 
Hapa kuna upungufu mkubwa wa reasoning. Tuliungana na Zanzibar, kutokana na mwungano huo leo Wazanzibari wanaweza kuchukua ardhi yoyote wanayoitaka ya Tanganyika LAKINI Watanganyika hawaruhusiwi kuichukua wala kuitumia ardhi ya Zanzibar. Leo hii tukiungana na nchi za Afrika Mashariki tutapoteza nini ambacho hatupotezi sasa hivi kwa Zanzibar? Si aheri hata huo mwungano wa Afrika Mashariki ambao, kila mwananchi wa Afrika Mashariki atakuwa na haki ya kutumia rasilimali zote za Afrika Mashariki kuliko sasa ambapo Wazanzibari wanaruhusiwa kutumia rasilimali za Tanganyika lakini Watanganyika hawaruhusiwi kutumia rasilimali za Zanzibar? Mpaka sasa Kenya ni mwekezaji wa pili baada ya Afrika Kusini, je, tumepoteza nini kutokana na uwekezaji wa Kenya? Si Wakenya hawa hawa walifunga kiwanda kimojawapo cha Tusker kule Kenya ili kukiimarisha cha Tanzania? Walifanya hivyo kwaajili ya kupata faida zaidi lakini na sisi tunapata ajira zaidi, na serikali inapata kodi zaidi.

Watanzania tusiwe na roho ya korosho. Huwezi kuendelea kwa kujitenga, unaendelea kwa kushindana. Nenda mikoa, wilaya au vijiji ambavyo zaidi hukaliwa na watu wa asili na kabila moja, halafu ulinganishe kiwango cha maendeleo na mikoa, wilaya au vijiji vyenye mchanganyiko mkubwa wa jamii. Waafrika Mashariki tukichanganyika zaidi, ndipo tutakapoweza kushindana, na kila mmoja kujifunza kutoka kwa mwingine. Hii mipaka iliwekwa na wakoloni, tunataka kurudi tulivyokuwa kabla ya wakoloni. Kama wakoloni wasingekuja, tungeanza kuwaambia watu wa maeneo fulani wasitumie ardhi ya maeneo mengine?

Kama JK angekuwa na upeo na nia ya kuwasaidia Watanzania angewaandaa Watanzania kwa kuwamilikisha ardhi ili wageni wakija wajadiliane na wamiliki wa ardhi. Leo mnawakatalia ardhi Wakenya wakati kule Mahenge Mwarabu kamilikishwa ardhi zaidi ya ekari laki moja; kule Kigoma, nadhani ni Wabrazili wamemilikishwa ardhi zaidi ya ekali laki moja, n.k. Au mnataka kusema ni halali wazungu na waarabu kumiliki ardhi ya Tanganyika lakini siyo weusi wa Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi? Kosa lao ni nini - labda ni rangi.

nimekukubali katika wote waliochangia hii mada wewe una upeo mkubwa............................wnegi hapa hata hiyo ardhi hawana na kamwe hawatakaa waimiliki kwa sababu ya sera mbovu za ccm........................lakini wanajivunia umasikini wao......................tunavyozungumza Nakumatt inafungua super market top of the notch class in Moshi ajira kibao kwa wakazi wa huko na hii ni kampuni ya Kenya....................na ardhi tumewamilikisha.......................................wengi waliochangia mada hii wanatetea sera zilizopo za umiliki ardhi ambazo zinamnufaisha mwenye nacho na wao hawanacho.......................hii ni laana yetu............
 
Mtoa mada angeeleza faida za kushirikiana Ardhi, na usalama i.e National security (siyo kusaidiana kwa idara za usalama au polisi).

Zaidi ya hapo ni mipayuko isiyo na maana. Tushirikiane kwenye biashara baina ya nchi zetu, zaidi ya hapo waondoke zao hatuwahitaji.

usichofahamu ni kuwa kulingana na takwimu za wizara ya ardhi...................wakenya ndiyo wanaongoza katika kununua ardhi hapa nchini.......................kwa hiyo hoja zako hazina mashiko.................................ardhi ni kisingizio tu ndugu yangu lakini suala lipo kwenye udini..................................nini nafasi ya waislamu katika EAC?
 
Mkuu Ruta, huyu hakubaliki ndani ya nchi yake iweje akubalike ndani ya EAC?

BIG POINT.........hongera sana, kumbe we still have great thinkers at JF...............wengine ni kumsifia tu bila ya kutafakari hata humu sisi tunamwonaje?
 
Hukuelewa mkuu alimaanisha nini "think globally act locally" kwa nchi ina maana kuwa iwe na uhusiano mzuri na mataifa mengine kwenye nyanja za biashara, technologia, elimu, masoko nk lakini ilinde interest zake kama nchi locally. Mfano ni UK na jumuia ya ulaya wao hawakuingia kwenye safaru ya pamoja (Euro) wakabaki na £ yao lakini wamo kwenye common european market. Wachina wameingizwa kwenye G20 na WTO lakini wamekataa baadhi ya masharti kama kushusha thamani ya pesa yao kwa sababu haina manufaa kwa wananchi wake. Tanzania ingekuwa ni kosa kubwa kuweka rehani adhi yake kwa manufaa ya wakenya, waganda, wanyarwanda nk watu ambao tunajua ni wakabila kupita kiasi. Sidhani kama kuna mtanzania anaweza kwenda kenya, uganda au Rwanda na kumilki ardhi. Mipaka hakikuletwa na wakoloni, babu zetu walikuwa nayo pia, wasukuma walijua mipaka yao, hali kadhalika wanyamwezi, wangoni, wahehe, wazanaki, wachaga, wapare nk wote walijua na kulinda maeneo yao na palikuwepo vita vya makabila vya kugombea ardhi. Mkoloni yeye alichofanya ni kuchora ramani bila kujali mipaka ya mababu zetu, jambo ambalo limechangia migogoro afrika

mwache akanushe mwenyewe.........................do not put words into his mouth for your own sake!
 
Re: Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?
Siungi mkono Afrika Mshariki kwa sababu Tanzania tutaishia kuwa losers Kenya wale wanataka ardhi na masoko dhidi ya bidhaa zao Burundi, Rwanda na Uganda wanataka ardhi je sisi tutapata nini? hakuna kitu ila kupoteza kila kitu

Wakati europen Union inaanzishwa na Ufaransa, Ubelgiji, Luxernburg, Ujerumani, na Uholanzi Uingereza ilizuiliwa kuwa iko too developed maana hizi nchi zingine viwanda vyake vilikuwa vimeharibiwa na vita kuu ya pili ya dunia Uingereza imekuja kuwa registerd mwaka 1977 nayo kwa kulipa kisasi ikakataa kudisolve pesa yake pia nchi zingine zimekuja baada ya kutimiza madharti na kuwa tayari.

Kwa muungano ule nchi za magharibi zinauza bidhaa nchi za mashariki kwahiyo zina soko hapo na nchi za mshariki zinatoa cheap labor wafanyakazi kwa lugha nyingine wananchi wa nchi za mashariki wanapata ajira nchi za magharibi kwahiyo mambo ni win win situation lakini kwetu sisi Tanzania kuna mtanzania anaweza pata kazi kenya? Kuna mtanzania anaweza pata ardhi Kenya? Je kuna bidhaa za Tanzania za viwandani zinaweza kuuzwa Kenya? ukiacha mazo ya chakula? kwanini tuwe na muungano ambao ni one way traffic? Hapo sijaongelea kuwa treated kama second citizen maana makenya ni mabaguzi kishenzi

uchumi wa TZ umo mikononi mwa wasauzi na wakenya..........................amka kutoka kwenye usingizi.........................fuatilia takwimu za uwekezaji hapa nchini na utaelewa kinachoendelea......................................wewe subiri wakuajiri wewe na watoto wako.........................
 
Back
Top Bottom