Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

Siungi mkono Afrika Mshariki kwa sababu Tanzania tutaishia kuwa losers Kenya wale wanataka ardhi na masoko dhidi ya bidhaa zao Burundi, Rwanda na Uganda wanataka ardhi je sisi tutapata nini? hakuna kitu ila kupoteza kila kitu

Wakati europen Union inaanzishwa na Ufaransa, Ubelgiji, Luxernburg, Ujerumani, na Uholanzi Uingereza ilizuiliwa kuwa iko too developed maana hizi nchi zingine viwanda vyake vilikuwa vimeharibiwa na vita kuu ya pili ya dunia Uingereza imekuja kuwa registerd mwaka 1977 nayo kwa kulipa kisasi ikakataa kudisolve pesa yake pia nchi zingine zimekuja baada ya kutimiza madharti na kuwa tayari.

Kwa muungano ule nchi za magharibi zinauza bidhaa nchi za mashariki kwahiyo zina soko hapo na nchi za mshariki zinatoa cheap labor wafanyakazi kwa lugha nyingine wananchi wa nchi za mashariki wanapata ajira nchi za magharibi kwahiyo mambo ni win win situation lakini kwetu sisi Tanzania kuna mtanzania anaweza pata kazi kenya? Kuna mtanzania anaweza pata ardhi Kenya? Je kuna bidhaa za Tanzania za viwandani zinaweza kuuzwa Kenya? ukiacha mazo ya chakula? kwanini tuwe na muungano ambao ni one way traffic? Hapo sijaongelea kuwa treated kama second citizen maana makenya ni mabaguzi kishenzi

TZ tukubali au hata tusipokubali na wavivu wa kufanya kazi................................na mvivu siku zote atatawaliwa na yule mchapakazi...................usichojua ni kuwa uchumi wa TZ nchi inayoongoza kuwekeza ni Kenya halafu UK inafuata.................na uwekezaji huu unahusisha moja kwa moja umiliki wa ardhi..............................kwa hiyo uwapende usiwapende Kenyans are here to stay and rule over the lazy TZ...............................shirikisho kulikubali au kulikataa siyo ufumbuzi............................utashangaa ukienda pangani na karibu maeneo mengi ya mpaka wa Kenya jinsi wakenya ambavyo tayari walikwisha kuhamia siku nyingi..................................EAC haikuweza kuwakwamisha...................tafuta hoja nyingine hizi ni hoja simuliwa tu....
 
Kulikuwa na Amavubi, The Cranes, Inghamba Murugamba, The Cranes na Harambee Stars. Unataka wampe nini tena mtu anaye penda 'michezo'?

Smart response
 
Kwa suala la EAC kwa kweli Jk na Sitta wanajaribu sana kutetea masirahi ya waTZ, hapo tukubali
Kwa muungano na ZNZ, ni kitu tofauti na EAC, ndio maana ni rahisi kuwapa ardhi au kukubaliana masuala ya kisiasa na ulinzi na ZNZ kuliko kufanya hivyo na Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,
Well say ChaMoto: EAC is another side of the coine but ZZB is almost the same side of the coine according to the historical events.
 
EAC kama shirikisho itakuja upende au usipende baada ya hawa mafisadi kuilmaliza kugawana hii ardhi............na hoja ya ardhi itakapokuwa haipo............kama kweli JK ndiyo salama ya wanyonge huu umasikini mbona unaongezeka wakati wa kipindi chake?

kila kitu bei mbaya ...........kuanzia mfumuko wa bei....n.k................................JK anaiogopa EAC siyo kwa sababu za kiuchumi kama unavyodhani bali kwa sababu aona wakristu watawafunika waislamu..............................hiyo ndiyo hoja yake.......
na ndo hoja ya thread yako na bora umejidhihirisha baada ya kukosa utetezi katika uzi wako. jaribu kuangalia madhara yake kitaifa zaidi na uweke dini pembeni ndo utaona ugumu unaokuja katika suala la ardhi pamoja na ukristu wako. sidhani kama hao wakenya, uganda na rwanda wanafikra mgando za kidini zaidi ya maslahi yao binafsi au ya taifa lao. udini ....... udini...... udini ........ utakupeleka pabaya. kumbuka shirikisho kama hilo lilikuwepo kabla na lilikufa kifo cha mende na yawezekana 7bu ya mapungufu ya huo mkataba kama unavyotaka kutuaminisha eti tujiunge tu 7bu walioko watakufa lkn unasahau kuwa mkataba huo wa kijinga utaendelea kuwepo.
 
Maraisi wote wa EAC walituma wawakilishi tu kwenye miaka 50 ya uhuru ambayo JK aliikuza sana kulikoni stahili yake.................kwa khali ya umasikini tulionao swali la msingi hizo hela za sherehe zingeliweza kupunguza makali ya uhafifu wa huduma nyingi kwenye jamii yetu....................................

kwa mtanzania wa kawaida anayeishi kwa mlo mmoja kwa kutwa...................................alishindwa kuelewa hivi hawa wanapongezana kwa kunifukarisha au kwa wao kunufaika na uhuru tajwa pekee yao............................mahudhurio ya sherehe tajwa mikoani ni kipimo kuwa raia hatuoni manufaa ya uhuru kwetu........................Dar mahudhurio yalishamiri kwa sababu wengi wao ni wazururaji na hawana shughuli ya kufanya...........................na baadhi yao walitarajia hata kupata peremende lakini baada ya hafla kuisha wakubwa walitokomea Ikulu pekee yao kwenda kupongezana na kuwaacha wenye viherehere (kama Jk ambavyo amekuwa akitukandia)........................wakizubaa kutafuta usafiri wa kurudi makwao.................huku wengi wao wakikanyaga kwa mguu.............................

pengine kubwa kuliko yote ni nini nafasi ya miaka 50 ya uhuru katika muungano wa EAC....................ikumbukwe mwaka 1961 Nyerere alidiriki kudai ya kuwa alikuwa yuko tayari kuchelewesha uhuru wa Tanganyika kama itasaidia kuunda shirikisho la EAC.............

warithi wa Nyerere ambao hata yeye mwenyewe alikuwa gwiji wa kuwavika vilemba vya ukoka...................pale aliposema ya kuwa kiongozi aweza kutoka popote pale bali kiongozi wa kutumainiwa atatoka ndani ya ccm............................ninafikiri huko aliko atakuwa amepigwa butwaa..............................kumwona JK vile anavyoidhoofisha EAC...........

ilipokuja shirikisho la kisiasa JK alidai wananchi wauulizwe.........................yeye kama kawaida yake aliunda tume ya kukusanya maoni ambayo matunda yake hakuna anayeyafahamu...........................inapokuja muungano feki wa tanganyika na zenji............................huko hataki kusikia wananchi wanashirikishwa katika kutoa maoni yao kama hata wanauhitaji muungano wenyewe...................................hudai suala la muungano halijadiliwi........................lakini lile la EAC lazima lijadiliwe........................double standards? you can say that again.................

viongozi wote ndani ya EAC wanajua JK is not part of the solution...............................but he is a problem
................................na ndiyo maana hata kwenye miaka 50 ya uhuru wamemkwepa kwa kumtumia wasaidizi wao tu.............................kwa matumaini ya kuwa after JK...................................some sensible tanzanian will take over the reins of power...........................na kuufanya uhuru wetu kuwa na maana hata kwao wa Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi..........................kwa mazingira ya sasa JK ni "Dr. NO" katika masuala ya shirikisho la EAC..............................................ikija masuala ya ardhi JK anatetea mipaka iliyowekwa na mkoloni...........................bila ya kujua hiyo mipaka iliwekwa ili kutudhoofisha..................lakini yeye kwa sababu ya uroho wa madaraka anaona aitetee kulinda kitumbua chake ambacho kitafikia ukomo wake hivi karibuni.............by grace of the living GOD..........

Ndg Rutashubanyuma

Kwa mtazamo wako sina shaka na uraia wako. Sababu za Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya kususa kuja kutupa HONGERA Watanzania na Miaka 50 ya uhuru wetu ni hizi zifuatazo:-

1) Tanzania ni nchi ya amani sana, ukilinganisha na nchi yoyote katika EAC
-Kuna raha gani, Mkenya kukupa hongera wakati ni juzi walikuwa wanakatana mapanga?
-Kuna furaha gani Mnyarwanda kukupa pongezi, ukiachana na maafa ya 1994, hata hivi sasa watu wasiyo na hatia wanaendelea kupotea katika mazingira yasiyojulikana nchinin Rwanda?
-Mganda akupe hongera kwa lipi wakati 1978/79 tulipiga kuanzia Kyaka hadi Arua?
-Mrundi akupongeze nini Mtanzania wakati hadi hivi sasa Bujumbura, Bukavu n.k hakuna amani?

2) Baadhi wa Wanajumuiya ya Afrika Mashariki bado wanaamini kwamba kupitia Jumuiya hiyo watafaidi raslimali za Watanzania, ikiwemo Ardhi. Kwa bahati nzuri, pamoja na mapungufu ya Rais J.K, kiapo cha kuilinda Tanzania na mipaka yake anakinzingatia tena kwa sana! Rais J.K hakumteua Mhe Sitta kwa makosa. Alijua ni mtu makini kama walivyo watanzania wengine makini sana kama akina Mhe. Magufuri, Mhe. Lowassa, Mhe. Mwakyembe, Mhe. Zitto, Mhe. January, Mhe. Mrema, Dr. Slaa, Prof. Lipumba na wengine wengi ambao hatujapata nafasi za kujulikana.

3) Ok, Marais wa Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya hawakuja kwenye sherehe za Uhuru, kwani ndege na vifaru vyetu havikutembea? Makomandoo wetu hawakufanya jogging? Watoto wa halaiki hawakutumbuiza? Watanzania hatukuimba wimbo wa Tanzania, Tanzania nakupenda? Wimbo wa Taifa letu haukuimbwa?

4) For your information, Tanzania can survive without the EAC but some EAC member states may not survive without Tanzania!

HONGERA SANA SANA RAIS WETU JAKAYA M. KIKWETE KWA ULIZI WA TANZANIA NA MIPAKA YAKE:fencing::clap2:
 
Mkuu Nyami2010 nimekubali mchango wako,wakija wasipokuja Tanzania inaweza kucmama kama yenyewe...huyu Rutashumanyuma a person frm Kigali(wanatamka wenyewe Chigali) amekuelewa
 
TZ tukubali au hata tusipokubali na wavivu wa kufanya kazi................................na mvivu siku zote atatawaliwa na yule mchapakazi...................usichojua ni kuwa uchumi wa TZ nchi inayoongoza kuwekeza ni Kenya halafu UK inafuata.................na uwekezaji huu unahusisha moja kwa moja umiliki wa ardhi..............................kwa hiyo uwapende usiwapende Kenyans are here to stay and rule over the lazy TZ...............................shirikisho kulikubali au kulikataa siyo ufumbuzi............................utashangaa ukienda pangani na karibu maeneo mengi ya mpaka wa Kenya jinsi wakenya ambavyo tayari walikwisha kuhamia siku nyingi..................................EAC haikuweza kuwakwamisha...................tafuta hoja nyingine hizi ni hoja simuliwa tu....

Rutashubanyuma hatuwezi kuingia kwenye kinyang'anyiro bila kujiandaa toka tupate uhuru mwaka 1961 Tanzania tumepoteza muda mwingi tukisaidi nchi zingine kupigania uhuru na kuzikomboa toka kwa watawala wabovu nchi kama Angola, Msumbiji, Zimbabwe, shelisheli, Uganda na Afrika ya Kusini wakati wenzetu wakenya toka uhuru wanashughulika na biashara wanajua umuhimu wa ardhi na wanaelimu ya masoko ya hisa toka mwaka 63 wakati watanzania tumeanza juzi maana muda mwingi pia tulikuwa kwenye siasa ya ujamaa na kujitegemea

Kawhiyo haitakuwa haki kutuunganisha na watu wenye uzoefu undercover ya kuwa nasi tutapata bidii hakuna kitu kama hicho inabidi watanzania wapate muda wa kujiandaa ili kuingia kwenye shirikisho kitendo cha kulazimisha Tanzania kuingia sasa hivi ni sawasawa na mwanafunzi wa darasa la nne umpeleke kufanya mtihani wa darasa la saba eti atajifunza mbele kwa mbele bila kuandaliwa ili afikie kiwango cha mwanafunzi wa darasa la saba au ni sawaswa na kupeleka timu ya Olyimpic kwenye mashindano kabla haijafikia kiwango eti itajiongeza mbele kwa mbele itaishia kuwa msindikizaji

Wenzetu nchi za ulaya zina jiandaa kwanza kabla ya kuingia European Union haziendi kichwa kichwa halafu katika EU kuna nchi viongozi zimeset standard ili mwanachama aweze kuingia ili wanachama wawe ni member wanaofanana. sasa sisi tutaunganaje na madikteta kama Museveni? Kibaki au Kagame lazima wawe na mifumo yenye kuheshimu katiba bila kubalidi term limit kwa mtu kama Museveni na Kenya waondoe dhana ya kuwa bila wakikuyu nchi haitawaliki pia Kagame kujifanya nabii wa Rwanda kuwa bila yeye hakuna Rwanda
 
Kuna siku nimetelemka Jomo Kenyata wakati niko passport control on EAC/SADC queue nikaona immigration ofcer upande wa Kenya citizens hakuna mtu... Nilipoenda akagoma kunigongea pasipoti akajibu 'hapa wakenya' nikasema hata hivyo hawapo akanijibu 'nitawasubiri'.

If on the ground we dont feel for one another then EAC will not be people centered.

Kenyans and Ugandans see Tanzania nationals kuwa second best. Na ule utaratibu wa kupeleka watoto wetu kusoma kule unatudunisha zaidi machoni pao.
Rwanda is abandoning french to english kumaanisha wanaangalia soko.....sie hatuna mikakati

Tunahitaji kufanya maamuzi magumu na JK is good at dilly-dallying. This thing needs strong leadership, so better wait until we have one!

Its either wasubiri that we make up our mind or they move forward.
 
EAC kama shirikisho itakuja upende au usipende baada ya hawa mafisadi kuilmaliza kugawana hii ardhi............na hoja ya ardhi itakapokuwa haipo............kama kweli JK ndiyo salama ya wanyonge huu umasikini mbona unaongezeka wakati wa kipindi chake?

kila kitu bei mbaya ...........kuanzia mfumuko wa bei....n.k................................JK anaiogopa EAC siyo kwa sababu za kiuchumi kama unavyodhani bali kwa sababu aona wakristu watawafunika waislamu..............................hiyo ndiyo hoja yake.......
..@Red, Mkuu sasa naona unaanza kutoka nje ya Mada, hivi hapa hoja ya Ukristu na Uislamu katika EAC inatoka wapi, na kama tunaye Rais ambaye anaamini haya unayoamini basi tuna safari ndefu.
 
kukubalika kwa mtu na kuakataliwa kwa mtu kunatokana na matendo yake huenda matendo ya Jk sio
 
EAC kama shirikisho itakuja upende au usipende baada ya hawa mafisadi kuilmaliza kugawana hii ardhi............na hoja ya ardhi itakapokuwa haipo............kama kweli JK ndiyo salama ya wanyonge huu umasikini mbona unaongezeka wakati wa kipindi chake?

kila kitu bei mbaya ...........kuanzia mfumuko wa bei....n.k................................JK anaiogopa EAC siyo kwa sababu za kiuchumi kama unavyodhani bali kwa sababu aona wakristu watawafunika waislamu..............................hiyo ndiyo hoja yake.......


Umeongea vitu vingi lakini hii point uliyokazia ndio imefanya nidharau kila kitu kuhusu wewe....
 
Kwahili naweza kumtetea JK kwamba hakubaliki na hii ni kutokana na yanayoendela katika shirikisho, ikumbukweTanganyika inaonekana kama lulu miongoni mwa nchi za ukanda huu wa Afrika Mashariki, sasa kwa hayo yaliyojiri juzi kati wakati wa utiaji sign wa mkataba ambapo Tanganyika chini ya Samweli Sita waligoma mpaka baadhi ya vipengele vilipowekwa sawa umewakasirisha hawa jamaa!
walitegemea turuhusu ardhi yetu iwe yao, siasa na hata majeshi kitu ambacho kingetugharimu
Nimshukuru binafsi kwa mara ya kwanza JK kwa kutowapa vilaza hii wizara ya Afrika Mashariki maana naamini wangekuwa ni Malima,Kombani,Ngeleja, Nchimbi,Sofia simba, wamekamata hii wizara wangesign haraka haraka maana ni vihiyo watupu

nakubaliana nawe 100%. Ardhi yetu inawatoa udenda nchi wanachama EAC hasa Kenya. Kwa hili nami nawapongeza rais JK, PM Pinda & waziri/ naibu wake ktk kuwa na msimamo juu ya hili. Ardhi ni ya watz, si vinginevyo. Bravo Tz!
 
mengine tutakubaliana ila likiaj suala la ardhi ..nope ..JK yupo right pamoja na sitta wake
 
Umeongea vitu vingi lakini hii point uliyokazia ndio imefanya nidharau kila kitu kuhusu wewe....

kudharau ni haki yako na mimi kukosoa upuuzi unaoendelea kwenye nchi hii ni haki yangu..................wengi mliochangia mada hii mnafikiri mnasauti juu ya ardhi........ukweli ni kuwa wengi wenu maeneo mnaokaa mtaondolewa kwa nguvu ya dola kupisha wageni.....................wengi wao ni hao hao wakenya..............................labda muache uvivu na muanze kuchapa kazi.......
 
nakubaliana nawe 100%. Ardhi yetu inawatoa udenda nchi wanachama EAC hasa Kenya. Kwa hili nami nawapongeza rais JK, PM Pinda & waziri/ naibu wake ktk kuwa na msimamo juu ya hili. Ardhi ni ya watz, si vinginevyo. Bravo Tz!

kila mmoja wa hao unaowapongeza ummiliki wao wa ardhi ni zaidi ya ekari 1,000 kila mmoja wao...................na hawakutoa hata sumuni na wala hata hawaiendelezi...........................sheria za nchi hii ziko wazi ardhi ni mali yako pale unapoitumia...................usipoitumia mwingine mwenye uwezo wa kuitumia anaruhusiwa kukunyang'anya.................EAC haitaongeza bali itapunguza kasi ya wanasiasa kutupora ardhi..........................................mapungufu ambayo yamo kwenye sheria zetu...............uchoyo huu mnaoupigania ni kilio chetu................................think out of the box at least for now...............
 
mengine tutakubaliana ila likiaj suala la ardhi ..nope ..JK yupo right pamoja na sitta wake

mbona wanaiuza hiyo ardhi hata leo??????????? na wao wamejimilikisha ardhi maeneo makubwa huku hata sumuni hawajalipia na kodi za ardhi wala hawalipi???????????????????
 
nakubaliana nawe 100%. Ardhi yetu inawatoa udenda nchi wanachama EAC hasa Kenya. Kwa hili nami nawapongeza rais JK, PM Pinda & waziri/ naibu wake ktk kuwa na msimamo juu ya hili. Ardhi ni ya watz, si vinginevyo. Bravo Tz!

ardhi ipi na kila siku wenzenu wanawamilikisha wageni hao hao............................utashangaa kufahamu wakenya ndiyo wanaongoza katika kununua ardhi hapa nchini kwa sababu ya mapungufu ya kisheria yaliyopo.................EAC itapunguza uporaji wa namna hiyo..................tatizo la waTZ wengi ni kuwa kama nyumbu.................ni wavivu wakufikiri...........hizo hoja zenu ndizo mnaghilibiwa kila siku na wanasiasa..................................lakini wao wanazidi kuwafukuza hata kwenye vijiji vya ujamaa maeneo ambayo mlimilikishwa kisheira.......na kuwapa wawekezaji feki....................
 
..@Red, Mkuu sasa naona unaanza kutoka nje ya Mada, hivi hapa hoja ya Ukristu na Uislamu katika EAC inatoka wapi, na kama tunaye Rais ambaye anaamini haya unayoamini basi tuna safari ndefu.

usiogope kujadili kila kitu kama unataka kufahamu ukweli halisi.............................kumbuka JK aliwakosoa EAC pale ule wimbo wa Kenya ulipochaguliwa kuwa wimbo rasmi wa Shirikisho akidai mbona ni "gospel"......................................wao walimjibu hawa ndiyo waliojitokeza hizo taarabu mbona hazikujitokeza??????????????????

hakuwa na majibu..............................................sasa wafikiri kwa nini aligusa suala la "gospel".........................udini ni urithi wetu na usipojadiliwa na jinsi unavyosukuma maamuzi ya kisera ujue hatutafahamu tupo wapi na kwa sababu zipi achilia mbali twaelekea wapi...................
 
na ndo hoja ya thread yako na bora umejidhihirisha baada ya kukosa utetezi katika uzi wako. jaribu kuangalia madhara yake kitaifa zaidi na uweke dini pembeni ndo utaona ugumu unaokuja katika suala la ardhi pamoja na ukristu wako. sidhani kama hao wakenya, uganda na rwanda wanafikra mgando za kidini zaidi ya maslahi yao binafsi au ya taifa lao. udini ....... udini...... udini ........ utakupeleka pabaya. kumbuka shirikisho kama hilo lilikuwepo kabla na lilikufa kifo cha mende na yawezekana 7bu ya mapungufu ya huo mkataba kama unavyotaka kutuaminisha eti tujiunge tu 7bu walioko watakufa lkn unasahau kuwa mkataba huo wa kijinga utaendelea kuwepo.

tatizo ambalo hulioni ni kuwa viongozi tulionao hawana uchungu wa hiyo ardhi...............wangelikuwa nao wasingelimilikisha ardhi kwa kila mtu mwenye noti.......................ikijumlisha na hao wa EAC wenye vijisenti vyao....................................kwa hiyo umiliki wa ardhi hapa nchini sera iliyopo siyo ya kumlinda mnyonge ila kumtosa.................................tafuta sababu nyingine..........

sababu ni kuwa JK anaona ndani ya EAC waislamu wa TZ watakuwa "minority"..............................na ndiyo maana anaupigia vijembe...................................na ndiyo maana ana migongano ya kujielezea kwa nini muungano na wazneji haupaswi kujadiliwa kwa sababu unawahakkikishia waislamu kuwa "over-represented" kwenye vyombo vya maamuzi...........................kwa maana ya kuwa Zenji ni nchi na itoe asilimi 50 ya uwakilishi ambao wote ni waislamu..........................na huku bara bado waislamu watakuwepo......................................na hili linaewlezea kwa nini JK ameng'angania kabisa kuteua tume ya kukusanya maoni 50%-50% kati ya bara na zenji..............................lengo ni kuwa masula nyeti kwa waislamu kama mahakam za kadhi yapate mwendo mdundo...............................
 
Kuna siku nimetelemka Jomo Kenyata wakati niko passport control on EAC/SADC queue nikaona immigration ofcer upande wa Kenya citizens hakuna mtu... Nilipoenda akagoma kunigongea pasipoti akajibu 'hapa wakenya' nikasema hata hivyo hawapo akanijibu 'nitawasubiri'.

If on the ground we dont feel for one another then EAC will not be people centered.

Kenyans and Ugandans see Tanzania nationals kuwa second best. Na ule utaratibu wa kupeleka watoto wetu kusoma kule unatudunisha zaidi machoni pao.
Rwanda is abandoning french to english kumaanisha wanaangalia soko.....sie hatuna mikakati

Tunahitaji kufanya maamuzi magumu na JK is good at dilly-dallying. This thing needs strong leadership, so better wait until we have one!

Its either wasubiri that we make up our mind or they move forward
.

ili wanedle sisi ni kikwazo hatutaki sheria ya EAC ya maamuzi ya pamoja kurekebishwa lakini tunawazuia wasiendelee mbele................na ndiyo maana maraisi wengine wamemchoka JK.........................kama yeye hayuko tayari...........fine lakini aache kuwakwamisha wenzie ambao wanataka kusonga mbele without TZ>>>>>..............
 
Back
Top Bottom