Msolid1990
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 144
- 49
Mi nashauri jf management wawe wanatoa zawadi kila mwaka kwa member ambaye amepost thead ambazo zimepata wachangiaji wengi. Mfano thread zako nyingi ziwe zinachangiwa na member kuanzia 150+ sio wanachangia watu 20 then inaachwa No!. So hao watu wawe wanatangazwa kwenye media then wanakuwa awarded! Kama vipi waweke namba yao ya M-pesa/tigo-pesa tuwe tunachangia. Afu toa na ushauri tuwe tunaziitaje hizo awards?