Kwanini Januari Makamba anawatesa

Kwanini Januari Makamba anawatesa

Wapuuzi flan wakipewa 10,000 basi wnaanza kuhrisha na kutapika uchafu kama huu. Makamba awe rais wake yey na wazazi wake.na kama anampenda sana akaolewe naye waishi pamoja

Haya ni matusi eti january naye anafaa kuwa rais? Kweli ccm imekufa
Labda kama hawamjui huyo kijana!
 
Smart guy.. As long as upinzani hauwezi kushinda nchi hii, I'll vote only January au Riz au Mwinyi kule CCM..

Reason; Ni watoto wa mjini sio washamba na walugha lugha kama hawa wakolomije..
 
Nyie ndio mnaweka? Ni kina nani nyie?
hatutaki mtu sijui mstaarabu,sijui mwadilifu,huo uadilifu apeleke kwenye family yake,baada ya jpm,tunaweka kitu kingine mfano mkuchika,au lugola
 
UMAKINI WA MAKAMBA UKO WAPI AU MMEANZA KUMPIGIA DEBE, KWANZA NI MIONGONI MWA WATOTO WA VIGOGO WALIOTAFUNA KODI YA WANANCHI TOKEA BABAKE ALIPOKUWA JESHINI HADI BADO TU MNAMPIGIA DEBE KWAMBA AZIDI KUNUFAIKA NA PESA ZA MASKINI WALIOWENGI. KAMA MNAKUMBUKA USEMI WA MAREHEMU MTIKILA ALIPOHOJI HAWA WATOTO YAANI JANUARI MAKAMBA NA RIDHIWANI WANAPATAJE JEURI KTK TAIFA HILI ? . NI MIONGONI MWA MAWAZIRI WANAOMBEZA RAIS AKIWEMO RIDHIWANI, MEMBE, MSTAAFU, NA WENGINE WENGI.
 
Kabisa

Hamna alichofanikiwa kama waziri
Madhara ya mifuko ya plastic ni makubwa sana,tena marufuku hii imechelewa,tafiti zinaonyesha mifuko hiyo kuchangia uwezekano mkubwa wa saratani kuliko hata uchafuzi wa mazingira,Hongera January,unatuepusha na SARATANI
 
Kapungua kidogo

Jiwe anatukondesha. Ramani / ndoto hazisomi. Ndoto za Urais zinazidi kudidimia. Ila Mungu nae ni wa kuogopwa ‍♀️. Huyu kijana nahisi hakutegemea kama wakati wake ungeisha haraka vile.
 
Nasikia alitaka apewe angalau uwaziri mkuu maana alimpigania sana mkulu alafu mkulu nae anamgeuka saa hivi jamani !!!
Jiwe anatukondesha. Ramani / ndoto hazisomi. Ndoto za Urais zinazidi kudidimia. Ila Mungu nae ni wa kuogopwa . Huyu kijana nahisi hakutegemea kama wakati wake ungeisha haraka vile.
 
Mpambeni ila jua sisi si wajinga tunatunza kumbukumbu vyema... Huyu ndiye yule aliyepitisha sheria za mitandao..... Hastahili hata kuwa mbunge sembuse urais.....
Lisu is our next president.. Hutaki, hama nchi mapema
Ndo bora ungemtabila mondi urais lakini lisu duu sijui unakwama wapi?
 
Mastermind wa kuiba kura za urais 2015 ,Jamaa halina shukrani linataka kumfyeka linamtafutia sababu .
 
mtu mkimya sana huku anacheza draft lake kisawasawa
IMG_20190402_165140.jpg
 
Kuhusu mifuko hakukurupuka kumbukeni alivyokamjibu mama sakaya wa cuf na baadae akalibeba waziri mkuu na kulitolea maamuzi ya suluhisho hapa makamba hausiki
 
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom