Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,998
- 54,267
Kupitia mtandao huu wa kijamii ni wazi,watu wengi wananufaika hasa mpangilio mzuri wa majukwaa. Shida na maswali mbalimbali yamekuwa yakipatiwa ufumbuzi kwa njia tofauti. Nadhani yote mazuri mazuri ndani mtandao huu ni kutokana na watu wa rika zote kutoa michango yao,pia watumishi wa umma na wasio watumishi.Wkt wote jf nionavyo mimi inashinda zaidi ya kushindwa. Kama kuna wkt jf imeshindwa nijuzeni waungwana zaidi jumapili na sensa njema,tuhesabiwe.