Kwanini iwe CHADEMA tu? Kuna mkono wa mtu, Si bure!

Kwanini iwe CHADEMA tu? Kuna mkono wa mtu, Si bure!

Chadema Ndio Nulu Ya Taifa Na Ndio Dila Ya Kuwavusha Watu Kwenda Katika Nchi Ya Ahadi, Kwahiyo Mwenye Usilias Wa Kulikukomboa Taifa Lazima Aelekee Chadema, Ila Anaeigiza Ataelekea, Huko Kwa Kina Tadea
 
kule wameenda kuchukua majimbo tu baada ya kuona alama za kukatwa na Ccm, kama wasira alivyofanya miaka ya nyuma lakini baada ya hapo mbona alirudi mwenyewe.
Hivi ukimkata mtu kama Lembeli na Bulaya utakua unatumia akili kweli? Hebu tuwe wawazi badala ya kuongea kimahaba mahaba tu na chama chetu.
 
Binafsi sioni ata umuhimu wa chadema kuwapokea hao ma ccm kwasababu waweza kuja kuwa ndo wasaliti wao wazuri. Na pia kama ccm ndo mafisadi, wanapohama ufisadi wanamwachia nan??. Chadema kuweni makini coz hao wahamiaji naamini wanakuja baada ya kupoteza tumaini lao😀
Kwa jinsi nilivyomuelewa mtoa mada ni kwamba, huo uhamiaji unaweza ukawa na hidden issue ndani yake ambayo huenda ikawa ni detrimental kwa wanao wapokea. Umakini mkubwa sana unahitajika ktk kuwapokea wakimbizi, kwani ccm huenda wakaitumia hii opportunity kupenyeza mamluki watakaokuja kufitinisha na kuzuia harakati kusonga mbele. Ila ukilitizama kwa haraka haraka ni rahisi kujibu "ULITAKA WAENDE WAPI...CUF,UDP AU TADEA?" Kama ambavyo baadhi wamejibu.

Ni mtazamo tu
 
Kuna ishara tosha ya mabadiliko makubwa kutokea katika nchi hii na Chadema kimekuwa kinara wa mabadiliko haya ndiyo maana kimekuwa na mvuto mkubwa
 
wangeenda kafu ila ile chama haitabiriki
sitaki nataka
 
Chadema ni wodi ya majeruhi wa kisiasa, wanakuja kupata pumziko baada ya kuumizwa kwenye vyama vyao.
 
bado ambao tutakisurubu kimya kimya bila kuhama ndio balaa, sharti la kuua panya ni lazima uingie ndani.
 
Huwezi kuwa mkimbizi kutoka Burundi ukaenda Sudani,Somalia, Rwanda au Congo......lazima uende mahali palipo salama na uhakika wa maisha tofauti na ulipotoka......tukirudi kwenye siasa zetu Tanzania kwa sasa CHADEMA pekee ndio mahali salama na kimbilio la wanyonge.
Kuwe na mkono wa mtu au mguu wa mtu ula ukweli ni kuwa ukiwa ndani ya CDM upo mahali salama.
Tunakusubiri na ww Mzee wa Lumumba.

Kweli chadema mmeamuwa kuwatukana watanzania. Leo hii majambazi waliotoroka ccm mnawaita wanyonge ,kwamba eti chadema ni kimbilio la wanyonge kama hilo genge la lowassa? Asante sana
 
Kuna ishara tosha ya mabadiliko makubwa kutokea katika nchi hii na Chadema kimekuwa kinara wa mabadiliko haya ndiyo maana kimekuwa na mvuto mkubwa

Ulisemalo ni kweli mkuu
 
Kweli chadema mmeamuwa kuwatukana watanzania. Leo hii majambazi waliotoroka ccm mnawaita wanyonge ,kwamba eti chadema ni kimbilio la wanyonge kama hilo genge la lowassa? Asante sana

Huyo lowasa unaye muita mwizi hadi leo yupo mwanachama hai ndani ya chama chenu ccm,kwanini hamjamfukuza?au unataka kutwambia kuwa ccm ni chaka la kuwahifadhi wezi?naomba majibu yako
 
namshukuru mwanzilishi was jf. maana imekua shamba darasa kwangu
 
Kwa jinsi nilivyomuelewa mtoa mada ni kwamba, huo uhamiaji unaweza ukawa na hidden issue ndani yake ambayo huenda ikawa ni detrimental kwa wanao wapokea. Umakini mkubwa sana unahitajika ktk kuwapokea wakimbizi, kwani ccm huenda wakaitumia hii opportunity kupenyeza mamluki watakaokuja kufitinisha na kuzuia harakati kusonga mbele. Ila ukilitizama kwa haraka haraka ni rahisi kujibu "ULITAKA WAENDE WAPI...CUF,UDP AU TADEA?" Kama ambavyo baadhi wamejibu.

Ni mtazamo tu

Alitaka waende ACT kigoma
 
cdm kimbilio la wanyonge.Nauku kwetu wamefika kwa kishindo
 
Huyo lowasa unaye muita mwizi hadi leo yupo mwanachama hai ndani ya chama chenu ccm,kwanini hamjamfukuza?au unataka kutwambia kuwa ccm ni chaka la kuwahifadhi wezi?naomba majibu yako

Ha ha haaaaa,sina mengi
 
Back
Top Bottom