Mkuu, unataka kusema wote wanaohama ccm kwenda CHADEMA ni mamluki wanakwenda kwa kazi maalum ya kuchinja, kuiba na kuharibu mabadiliko?
Kwamba watakapogombea kupitia CHADEMa watafanya makusudi ama kuharibu form ili wawekewe pingamaizi? Kwamba watajichelewesha kurudisha forms ili wajifanye kushituka muda umepita ili ccm wapite bila kpingwa? Au watajitoa dakiks za mwisho kwa sababu mbali mbali ili chadema isiwe na mgombea?
Kwamba watakuwa wakipiga kampeni za hapana kwa CHADEMA kisirisiri?
Kwamba watakuwa wanatafuta taarifa na mikakati ya CHADema na kuipeleka Ccm ili ccm wawe na taarifa kamili kusudi wakamilishe uhaini na ugaidi wao?
Kwamba watakuwa makada kwenye kura halafu wauze number kwa ccm?
Au shida kubwa unayoiona ni nini? Kama ni haya CHADEMA wanafahamu katika msafara wa mamba na kenge wamo. Hili wamejiandaa. Ila kama unatahadhari nyingine, naomba uweke bayana!.
Or else ccm bye bye!
Tumeshatunga nyimbo.
CCm ilizaliwa visiwani Zanzibar, Sherehe za kwanza mkoani Dodoma.
Kilikufa kule Magogoni, mazishi yake yakafanyika kule CHATO mkoani geita.
Kitakumbukwa kwa kudidimiza maisha ya Watanzania, kuimarisha rushwa na ufisadi.
Zaidi sana kitakumbukwa kwa uvunjaji wa katiba ya nchi, mauaji ya raia wasio na hatia,
Matumizi mabaya ya raslimali za uma na madaraka.
Upendeleo na ubaguzi.
Ccm ulikuwa nasi katika raha, na katiba tabu ulitupeleka na kutelekeza.
Mafisadi walikupenda, lakini shetani amekupenda zaidi.
Kwa heri ccm. Ulale kwa pasipo amani.