frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Tangu juzi nimekuwa nikitazama habari za itv bila kuona habari za chadema na matamko/sera/taarifa n.k
sasa sijui wamepingwa mkwala na jack zoka, kwani ukitaza habari cloud tv, mlimani tv utaona habari hizi pamoja na mic ya ITV ikiwemo.... kwanini tena wanakua hivi sasa
ok ITV jilekebisheni bhana balance habari zenu hili heshima yenu itukuke.
sasa sijui wamepingwa mkwala na jack zoka, kwani ukitaza habari cloud tv, mlimani tv utaona habari hizi pamoja na mic ya ITV ikiwemo.... kwanini tena wanakua hivi sasa
ok ITV jilekebisheni bhana balance habari zenu hili heshima yenu itukuke.